
WUNNA1
@therealodoi1
Followers
1K
Following
21K
Media
1K
Statuses
13K
chelsea fc ๐
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2025
WUNNA Fuckumean -Gunna๐ฅ๐ฅ๐ฅ Nimeitwa msenge kisa hii nyimbo nifanyaje wakuu?
6
16
30
KANJI LEO HATOBOI ๐๐ฅ Nottingham forest vs Chelsea - Away win or draw. Man city vs Everton - Home win or draw. Torino vs Napoli - Away win or draw. ODDS : 10.46 CODE : 79G5K Huna account paripesa? jisajili ๐ https://t.co/5dm6RpMYhb MUHIMU : Sehemu ya promocode jaza GIAN.
3
7
7
Pray for Nottingham forests I can't wait lavia+Santos combination ๐
3
4
7
LED SOFT RING LIGHT KWA UBORA๐ธ LED Soft ring Light INCHI 10โ 25,000Tsh INCHI 12โ 35,000Tsh INCHI 14โ 55,000Tsh INCHI 18โ 80,000Tsh INCHI 22โ 90,000Tsh
8
23
29
UNAMIAKA ZAIDI YA 25. ๐bado unaishi kwenu ๐Huna demu wa uhakika wewe ni kupiga na kupita ๐Kitu cha gharama unachomiliki ni simu ๐Matusi mengi kama under 20 Itoshe kusema wewe ni ZUNYE Tu.
2
12
20
Sidhani kama mnamzingatia lakini moja ya Album zilizotoka leo pia yupo mwanetu๐ถ MONEYMAN na album yake "30Days" Ikikupendeza kampe sikio.
4
9
19
ni ngumu kurecorver hii japo nilikuaga mdogo ila kuna muda inatokea unakua mpweke hakuna budi kujikaza na kuomba mungu akupe nguvu katika kipndi iki kgumu unachopitia. Stay strong, everything gonna be aight. Mungu akusimamie na akupe nguvu katika ili mpendwa๐
Nikisema nijikaze nashindwa, nikisema nipotezee nashindwa naona ndio nazidi kudidimia kabisa,mama yangu kafariki akiwa bado kabisa inaenda wiki sasa lakin kila siku naona maumivu bado muliwezaje muliopitia huku nahitaji msaada kiukweli na nipo mwenyewe yaan
0
0
0
Nikisema nijikaze nashindwa, nikisema nipotezee nashindwa naona ndio nazidi kudidimia kabisa,mama yangu kafariki akiwa bado kabisa inaenda wiki sasa lakin kila siku naona maumivu bado muliwezaje muliopitia huku nahitaji msaada kiukweli na nipo mwenyewe yaan
109
45
265
Unaongeza tu rate anyway ngoja niendelee kuichambua.
Ukiachana na ukali na ubora wa album mpya ya GUCCI MANE ya EPISODE ambayo imetoka siku ya leo ndio album pekee unayoweza kusikilza ngoma zote 23 na ukaelewa kile kimeimbwa Achana na melody,beats na vibe kwenye album hii maneno na matamshi yanasikika kwa ubora Rate 9/10 ๐
0
0
0
Umetisha sana kaka mkubwa. Respect ๐ช๐ชโ๏ธ
Kutoka kwa @Noedson_tz mzigo umenifikia salama kaka nashukuru sana kwa Uaminifu wako. kama unashida na TV, fridge, soundbar usiste kumchek pia anaviitu vzr sana๐ฏ๐ฏ
2
4
14
Kama Kuna kitu wanaume huwa tunajidanganya ni hii kudhani kwamba kuna kitu kitawapata wanawake ambao walitukataa kipindi hatuna kitu, nothing will happen bro, tafuta maisha yako kipaumbele kikiwa ni wewe mwenyewe na Familia yako, mambo mengine yatajipa tu๐ค
10
28
119
๐ฅ ๐ฅ ficha wasione hii
1
0
1
Unaambiwa Domi machips ana Diploma of chips making in degree with applied PHD๐๐
21
15
315
Sina maaana io na sijampinga Gucci labda kosa lang ku rate 6/10 io album
@therealodoi1 Wewe ukitoa Gunna wasanii wengine wakawaida same kwa yule mwanao wa NBA๐๐๐ฎ
1
1
2