Simba Queens Tanzania
1 year
Tumefanikiwa kuchukua tuzo ya timu bora ya mwaka iliyofanya vizuri kwa upande wa Wanawake katika hafla ya tuzo iliyotolewa na Baraza la Michezo la Tanzania (BMT) usiku wa kuamkia leo.
Queens ni Mabingwa wa Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women's Premier League),