Ila wateja mtakuja kutuua , nimepelekea pressure cooker nimekuta kaniandalia na maharage kabisa tupike ndani ya hzo dk 40 kama tulivyosema kwenye video 🤣🤣🤣🤣🤣 , asante tanesco umeme shwaaaa
Ni vile tu huwa tunakataa ukweli, ila mwanaume akiwa na mipango na wewe unajua kabisa & akiwa hana mpango pia unajua basi tu unaamua kukaza shingo na kujipa mahope 🥺 ,Pole kwake bidada
Ukienda Kwa rafiki yako Nyumban kwao anakukaribisha mezani Chakula na wewe unajisogeza taratibu Mara ghafla unasikia mama yake chumban anasema
"nisikie mtu kapakua Chakula huko"
Kwa mahitaji ya vyombo vizuri na bei nzuri karibu Kitchen essential. Tunakuletea aina mbalimbali za vyombo.Tunatoa huduma kwa wateja wote walio ndani ya Dar na mikoani. Tunakufikishia bidhaa mpaka mlangoni kwako.
KARIBUNI SANA
Mwenyezi Mungu Hutupa Vinavyo Stahili Sio Tunavyovitaka!!! Na Hajawahi Kufikiria kutupa Vituumizavyo Ila Huwa Anaruhusu Tupite Pagumu Ili Ajitengenezee Ushuhuda Na Ukuu Wake Asante Mungu Wangu🙏🙏
Ijumaa Kareem my brothers & sisters