๐ฃ๐ฎ๐ธ๐ฎ แตฬ ๐
@paka2104
Followers
4K
Following
23K
Media
135
Statuses
5K
Kuanzia kesho tarehe 10/12 mpaka tarehe 21/12 kila siku saa 12 asubuhi tutakuwa na space tukisali pamoja NOVENA YA MTAKATIFU RITA WA KASHIA kama upo tayari kushiriki pamoja andaa maombi yako maalumu kwa siku hizo kumi na mbili tusali na kufunga pamoja โจโค๏ธ๐
20
79
451
Niwake kabla mwaka haujapinduka ๐ซ Happy new year all friends ov mine โค๏ธ
5
0
22
I am so lucky to have you as my friend hope your Birthday is as special as you are May God grant all your wishes and all of your dreams come true Thanks for being such a great friend I love you so muchโจโค๏ธ @NyamboTina
6
4
24
๐ Ni Baraka kwa siku nyingine, mwaka mwingine, na fursa nyingine! Asante kwa kila mmoja, tuko pamoja, Heri ya Krisimasi! ๐ฅณโค๏ธ Nakupenda @paka2104 ๐ฅฐ๐ฅฐ
1
1
7
๐ Grateful for another day, another year, and another chance to embrace life! Thank you to everyone who has been part of my journey. Hereโs to making more beautiful memories together! ๐ฅณโค๏ธ ๐ฅฐ๐ฅฐ @paka2104 ๐ฅฐ๐ฅฐ
18
5
30
Heri ya siku ya kuzaliwa mahi wangu @iamZature mwaka huu ukulete karibu na ndoto zako na kukupa furaha upendo usio na mwisho na mafanikio ambayo moyo wako unatamani ๐คฒ Nakupenda zaidi ya maneno yanavyoweza kueleza โจโค๏ธโค๏ธ๐น.
5
1
19
Heri ya siku ya kuzaliwa mama Asali โฆโฆ@Mrsdavieeโฉ yesu wa mbinguni akupe umri mrefu na kukutunza vyemaโค๏ธ
5
5
71
Kuna watu wameingia kazini leo maskini ya Mungu hapo ndio utajua umuhimu wa kuwa jobless ๐๐๐
28
49
828
Hii Week nayo nimeshajichanganya wazee ๐ Ikwishe tuu nitajipanga Mwakani ๐ถ๐พโโ๏ธ
15
21
97
YES to david 22.12.2024 โค๏ธ Nakupenda mume wangu Asante ๐
185
80
2K
NENO LA ASUBUHI:Wakorintho 15:57-58 Lakini Mungu ashukuriwe Yeye anatupa tia ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristoย Kwa hiyo ndugu zangu simameni imara Msitikisike Mzidi sana kujitoa kwa ajili ya kazi ya Bwana kwa maana mnajua ya kuwa juhudi yenu si bure katika Bwanaโจ๐
2
6
32
Dada zangu mshawekwa Kwenye Bajeti Ya Christmas Allowance Au Kikubwa Mle Pilau ๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ @Zeeswitcher @Iamcleopatricia @itc_zennah @Kahawa260 @MSAFWA_OG @paka2104 @fantasy_FGP @bitilisi
5
3
23
NENO LA ASUBUHI:103:2 Barikiwa Bwana ee nafsi yangu na kumsitu Bwana kwa yote aliyoyafanya Hivyo Shukrani kwa Mungu Baba" ni njia ya kutoa sifa kwa Mungu kwa kuwa mwema na mwenye huruma kwetu
1
8
29
NENO LA ASUBUHI:zaburi 136:1 Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema Kwa maana fadhili zake ni za mileleโจ๐
3
9
38
NENO LA ASUBUHI: Zaburi 89:13 Mkono wako ni mkono wenye uweza Mkono wako una nguvu Mkono wako wa kuume umetukuka Ndugu yangu hata kama moyo wako unaugua na taabu basi mweleze Bwanaโจ๐
2
8
22