@mswahili___
Jamaa anatumia energy kubwa Sana kuaminisha watu kuwa yeye ni mkali na Bora Ila ukweli ni kwamba watu wanataka muziki mzuri hizo zote mbwembwe, kina 50 cent, p Diddy, na wengine wakongwe wa USA wanajaza show na hawana hits mpya tofaut na za miaka ya 2000