iharidi Profile Banner
fatherfarm_agro Profile
fatherfarm_agro

@iharidi

Followers
2K
Following
122K
Media
578
Statuses
7K

Technical Sales Agronomist. Horticultural and other crops specialist. farming ideas & guide e-books writer #owner_fatherfarm agro Yanga fan πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Tanzania
Joined July 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@iharidi
fatherfarm_agro
3 months
Unaenda tembea uonane na wakulima shambani kutazama hali na kubadilishana mawazo, unakuta pest aliepita usiku ni tembo na kiboko 🀣🀣🀣 Bunda sio pa kitoto, nchi kavu tembo na viboko ukifuata maji kuna mamba. Kilimo si cha watu lelemama πŸ’πŸ’₯πŸ™ @Mazikuagric
3
2
6
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Utajuaje kama umefika Bukoba πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
2
0
5
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Simba fans ndio mfano halisi wa tofauti kati ya Raha na Furaha 🀣🀣🀣 Wana raha sana leo ila furaha hawana, acha tuje tuwaoneshe maana ya Furaha
0
0
3
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Kilimo kimenifikisha mwisho huu wa Tanzania. Vijana kabla hamjaoa nawashauri tena Mfike mkoa wa Kagera, msijejutia baadae πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ @Mazikuagric @msakufarm @Nalimasaumu
10
3
20
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Kamachumu ndani ndani huko, Mwenge umalize tu ukanda wa Kagera tuwe huru πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’πŸ’πŸ’
0
0
5
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Streets of Karagwe πŸ’πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
1
0
5
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Ng'ombe anadungwa cc 1 kwa kg25. Vijana wanajidunga mls 5. Mtakufa vibaya sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
4
3
7
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Daraja toka enzi ya Mwalimu Tanzania Tanzania Tanzania Sijui nilitaka kusemaje ila hapa kama Burundi aise πŸ˜‚
2
0
7
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Kuna sehemu kufika kama sio kwaajili ya kazi basi basi huwezi ifika na ni Tanzania hii. #Nzaza mpakani na Burundi #Rulenge eneo la kilimo Ngara, kufika Rulenge kuna hizi kona ziko 16 ukizimaliza unamshukuru Muumba πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ˜‚
2
2
14
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Sikujua kama neno CHUGA ni tusi baya sana kwa WAHAYA, kidogo mzee anitoe meno leo dah Ukiwa kwa wahaya usije tamka neno hili 🀣
3
1
8
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Munyige Chakula cha kiganda, ndizi na samaki vimenibariki sana, sio hayo tu juice #Oner ina taste haswa ya tunda kwa hili nawapa pongezi majirani. Nimeenjoy good food Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ Sasa muda wa good music Bukoba πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3
1
9
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Let's go Tanzania #hilitunabeba
1
1
4
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Everyone is celebrating #Jiraniiiiiiiiiiiiiiii πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
2
1
7
@iharidi
fatherfarm_agro
4 months
Naona Azam kawakumbuka wachaga na wahaya, hatimae juice yao nimekutana nayo sokoni hapa KasuluπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Huko kwenu iko hii πŸ€”πŸ‡ΉπŸ‡Ώ?
2
0
6
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
Kichane cha ndizi ni Tsh 500, yaan jero. Niliambiwa mia 5 nikasema nipe 2 kumbe kwa buku ni vichane viwili ndizo 10. Sema tena laki 5 ya Dar ni sawa na laki 5 ya mkoani 🀣 @Mazikuagric @PichaNzuri
1
1
9
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
0
0
0
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
Tangu 2019 niifahamu Total petrol station basi chaguo la kwanza ni Total. Mafuta bora sijawahi kutana na ya kuchakachuliwa kamwe au yenye maji, sema @TotalEnergies ongezeni mawakala au stations zaidi haswa mikoani ukitoka Mwanza unapata station ya pili Kigoma au Makuyuni Arusha
1
2
7
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
Ikiwa umewahi kusikia 'WEUSI WA KUNG' AA NA KUPENDEZA' na mpaka leo hujawahi uona. Ushauri wa bure fika Kigoma utaona. πŸ˜…πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
3
1
5
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
365 days watu wako kazini Oct mpaka jan wakati wa mvua za vuli Mar mpaka jun wakati wa mvua za mwaka Jul mpaka oct wakati wa kilimo cha umwagiliaji Hapa ndio penye maharage, karanga, mahindi na mpunga bila kusahau mafuta ya mawese. TATIZO soko la uhakika, #FURSA
2
5
14
@iharidi
fatherfarm_agro
5 months
Wakulime wa kanda ya ziwa tukutane 88 Mwanza tuyajenge mawili matatu, on my way there. #tukutane88 #tukutaneMwanza #882025 @msakufarm @Mazikuagric @
2
3
10