Explore tweets tagged as #mtanzaniadigital
Uzinduzi wa jukwaa jipya la Ongea Hub kwa njia ya SMS. Makala kutoka Mtanzaniadigital. Bofya kiunganishi hapo chini kwa taarifa zaidi. https://t.co/4zBbH3Taba
#hakihaiuzwi
0
0
2
Hii ni faida ya tatu ya social media katika kampuni, taasisi au biashara yako. Ukitaka kujua faida zaidi endelea kufatilia page zetu. Like, share & comment #wasafi #wasafi #media #homedecor #graphicdesign #lyerokainvestment #mtanzaniadigital #socialmediamarketing #crownmedia
0
0
1
Hii ni faida ya nne ya social media katika kampuni, taasisi au biashara yako. Ukitaka kujua faida zaidi endelea kufatilia page zetu. Like, share & comment #graphicdesign #crownmedia #media #mtanzaniadigital #wasafi #socialmediamarketing #cloudsmedia
0
0
1
"Transforming the healthcare Industry, one solution at a time. Explore our services Suit designed for Your Healthcare institution's excellence. 🌟 Join us on the journey to better health! 🚀 #AfyaBlocks #HealthcareRevolution #InnovateWithUs #HealthcareExcellence #mtanzaniadigital
0
1
1
#PICHA: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan aliposhiriki Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa wa mwaka 2025 uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete JKCC jijini Dodoma leo Machi 29, 2025. #MtanzaniaDigital
0
0
0
ametoa wito kwa Wazazi kuwapeleka wototo shule. Rais Dk. Samia amezindua shule hizo wakati wa ziara ya kikazi mkoani Singida ambapo pia amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu na kumuandaa mtoto kuanzia awali mpaka elimu ya juu. @IkuluTanzania
#MtanzaniaDigital
0
0
4
Rais Tanzania, Dk. @SuluhuSamia alipotembelea na kukagua Mradi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato Mkoani Dodoma wakati wa ziara yake Mkoani humo leo Juni 14, 2025. #MtanzaniaDigital
0
0
0
#PICHA: Rais @SuluhuSamia katika matukio tofautitofauti aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha leo Machi 8, 2025. #MtanzaniaDigital
0
0
2
DK. SAMIA: TUMEKARIBIA 80% YA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI VIJIJINI @SuluhuSamia
#MtanzaniaDigital
0
0
0
DK. SAMIA: TUMEPUNGUZA KIWANGO CHA UMASIKINI KWA ZAIDI YA ASILIMIA 26 @SuluhuSamia
#MtanzaniaDigital
0
0
0
ACT Wazalendo ni kuchagua mabadiliko"- Sheikh Issa Ponda. #MtanzaniaDigital
0
0
0
wa Mjini, Maĥmoud Ali Mahinda, Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo Zanzibar, Halima Ibrahim na Mwanachama ŵa Chama hicho, Badru Adam Ali. #MtanzaniaDigital
0
0
0