Explore tweets tagged as #evidencebasedprogramming
@VwalaViola
viola julius
4 years
Samwel Likindikoki,Lecture MUHAS Jinsi tunavyoweza kutumia tafiti ili kuweza kutengeneza sera kwenye Ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto #KomeshaUkatili #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
6
15
@massawejk
James Massawe
4 years
"Kwenye hospitali nyingi wamejitahidi kukusanya data za watu wote wanaopitia Ukatili wa Kijinsia ili kupata taarifa zao. Hii ni hatua muhimu sana." - Dr.Katanta Lazarus #KomeshaUkatili. #DataDrivenAdvocacy. #EvidenceBasedProgramming
0
8
14
@VwalaViola
viola julius
4 years
Anna Kulaya:Leo kwa mara kwanza tunataka kusikia tafiti mbalimbali zinazohusiana na maswala ya ukatili wa kijinsia,Tafiti hizi zitatusaidia katika msukumo mbalimbali wa mabadiliko wa sera. #KomeshaUkatili #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
6
10
@sekuru03
Mathew
8 years
From the offices to the coal face. #evidencebasedprogramming. Full stakeholder engagemenent. #NPCC @faosfsafrica @PalladiumImpact @LFSPZim
0
8
5
@TNTDOC1
Dept of Correction
8 years
A shout out to all our rehabilitative services staff! You guys rock! #EvidenceBasedProgramming #SeamlessSupervision
0
0
1
@VwalaViola
viola julius
4 years
Mijadala mtawalia ndani ya Siku 16 za Uwanaharakati dhidi ya Ukatili wa Kijinsia inaendelea. @WiLDAFTz wameandaa 'Kongamano la Kitaifa la Utafiti Kuhusu Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto.' Fuatilia matukio ya moja kwa moja kupitia #EvidenceBasedProgramming. #KomeshaUkatili
0
4
18
@VwalaViola
viola julius
4 years
"Kuongelea ukatili wa majumbani haswa wanaopitia wadada wa kazi,Pia tuzungumze Ukatili wa Kihisia majumbani." @neemalugangira #magiriKomeshaUkatili #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
6
15
@massawejk
James Massawe
4 years
"Leo kwa mara kwanza tutazisikia tafiti mbalimbali zinazohusiana na masuala ya ukatili wa kijinsia. Tafiti hizi zitatusaidia katika msukumo mbalimbali wa mabadiliko ya kisera." - Anna Kulaya - Mlkurugenzi, @WiLDAFTz #KomeshaUkatili. #DataDrivenAdvocacy. #EvidenceBasedProgramming
0
8
19
@TNTDOC1
Dept of Correction
8 years
The STRONG-R is helping us create a better, more efficient case-plan for our offenders and streamlines our seamless supervision model. #evidencebasedprogramming #industrybestpractices
0
1
3
@massawejk
James Massawe
4 years
"Ni muhimu sana kuuongelea ukatili wa majumbani hasa ukatili wa kimwili na kihisia wanaopitia wasaidizi wa kazi za nyumbani." - Mhe. @neemalugangira, Mbunge Viti Maalum. #KomeshaUkatili. #DataDrivenAdvocacy. #EvidenceBasedProgramming
1
7
13
@massawejk
James Massawe
4 years
Mijadala mtawalia ndani ya Siku 16 za Uwanaharakati dhidi ya Ukatili wa Kijinsia inaendelea. Leo @WiLDAFTz wameandaa 'Kongamano la Kitaifa la Utafiti Kuhusu Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto.' Fuatilia matukio ya moja kwa moja kupitia #EvidenceBasedProgramming. #KomeshaUkatili
0
10
17
@AylaBonfiglio
Ayla Bonfiglio
6 years
Today: @Mixed_Migration roundtable on the information gaps of INGOs in #Libya + how MMC data can be used to inform programming for #refugees + #migrants. #evidencebasedprogramming #partnerships
0
4
12
@winharder_
winharder_
4 years
Tulifanya utafiti kwa wanawake wenye kuanza balehe zaidi 403 miaka kati 15-24 wanasiachana wengi walisema Ukatili wa Kijinsia ni vitendo vya kupigwa,au kubakwa ~|Caroline Mtaita (Heidelberg,Institute of Global Health) #KomeshaUkatili #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
8
21
@youthimpactorg
Youth Impact
6 years
Excited to share snippets in the next few days of the end line results of our #TaRL program for the implementation in the 3rd term. **90% of students in the program learned a new operation from Baseline to Endline** #EveryChildCan #EducationForAll #EvidenceBasedProgramming
0
2
7
@youthimpactorg
Youth Impact
6 years
The Panel Discussion is on. The panel is comprised of program beneficiaries, teachers, facilitators and Tirelo Sechaba particpants. #Young1oveTurns5 #Partnershipevent #evidencebasedprogramming
0
1
5
@massawejk
James Massawe
4 years
"Mradi huu wa kuwafikia watu wenye ulemavu unafanyika kwenye mikoa ya Geita, Dodoma, Morogoro, Pwani, Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Dar es salaam na Zanzibar." - Dkt. Katanta Lazarus. #KomeshaUkatili. #DataDrivenAdvocacy. #EvidenceBasedProgramming
0
1
1
@massawejk
James Massawe
4 years
PICHANI: Dkt. Samuel Likindikoki akielezea namna matumizi ya utafiti katika kujenga sera na programu zenye msingi wa ushahidi kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini Tanzania. #KomeshaUkatili | #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
1
2
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
4 years
"Ni lazima kutekeleza vipengele vyote saba kwa pamoja ndipo tutaweza kutokomeza ukatili dhidi ya watoto kufikia mwaka 2030." - Likindoki #KomeshaUkatili #DataDrivenAdvocacy #EvidenceBasedProgramming
0
4
6
@yose_hoza
Holy
4 years
"Tanzania Violence Research Network (TVRN) ni jukwaa lililoanzishwa mwaka 2019 linalolenga kuwasaidia watafiti kufahamu vizuri kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto." - Likindikoki TVRN inaratibiwa na MUHAS, NIMR, LSHTM #KomeshaUkatili #EvidenceBasedProgramming
1
1
4