Fikiri SM Profile
Fikiri SM

@fikirism

Followers
2K
Following
104K
Media
2K
Statuses
11K

Tanzania
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@fikirism
Fikiri SM
2 months
Kwa mwaka huu 2026 nimejiwekea lengo la kupata angalau shilingi milioni ishirini (Tsh. 20,000,000/=) kupitia kazi na bidhaa za TEHAMA kwa ajili ya kuendesha maisha Ninaendelea kujenga na kukamilisha bidhaa zangu na kazi za wateja (School Management System & client solutions).
@fikirism
Fikiri SM
1 year
Mwaka huu 2025 nahitaji nipate shilingi milioni kumi na mbili (12,000,000/=) kukidhi mahitaji yangu. Ni mwalimu wa Physics & Information Technology. Pia naweza kutumia JavaScript (React js), Python(Fastapi, Flask), PHP(Laravel, Yii2), Dart(Flutter) Na shughuri zaTEHAMA
2
2
9
@fikirism
Fikiri SM
5 days
Unatafuta taarifa muhimu za Bima kwa wote unakutana na hii AI na NHIF wamepost kabisa kwa kuridhika. Ukiangalia namba 2, 4, 5 na 3 (ya pili) Kilichoandikwa hakieleweki @nhiftz
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
23 days
It's funny until it's your sister.
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
27 days
Kwa nini mna laminate vyeti?
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
28 days
Washikilie bomba
0
0
0
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
28 days
Retweet ifike mbali ๐Ÿ™๐Ÿผ
7
359
784
@fikirism
Fikiri SM
28 days
Humu ndani hakuna mtu yupo NYASA Ruvuma?
0
0
1
@fikirism
Fikiri SM
29 days
Habari. Mtu yeyote aliyeko Wilaya ya Nyasa - Ruvuma. Tafadhari naomba tuwasiliane
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
29 days
Una lawyer kwa ajili ya legal consultant, lakini huna health, financial, wala education consultant vyote hivi vinaendeshwa kwa "Mungu nisaidie" Hii ndiyo sababu maisha yako yana "cases" nyingi kuliko mahakama.
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
1 month
Nimemaliza kudownload, ku-register na ku-verify app ya Binance. Kwa hiyo baada ya hapo nafanyaje wakuu?
0
0
0
@Positivenga1
Haulay
2 months
Tafuta Pesa Ikusaidie Kuajiri Watu Wenye Akili Zaidi Yako.
2
34
169
@fikirism
Fikiri SM
1 month
Nimeondoka na huu mstari kaka. "Then he hired top well-educated people for scale"
@Positivenga1
Haulay
1 month
So Bhakresa Group isnt organization? Founded by someone who donโ€™t have our common education ya darasani. Then he hired top well educated people for scale. Tofauti ya wasomi na wasio wasomi; Mara nyingi sio mara zote; Wasiosoma ni wanajua hasa strength zao (execution,
0
1
1
@fikirism
Fikiri SM
1 month
Nipate watu 40 wanaotumia Canva niwaunge kwenye Team kwa miezi 12 kwa shilingi 50,000/= kwa kila mmoja.
1
1
0
@shubhvanii
Shubhvani
1 month
Obama retired at 45. Trump started at 70. Tatum O'Neal won an Oscar at 10. Jesse Plemons won an Oscar at 94. Bill Gates founded Microsoft at 20. Colonel Sanders founded KFC at 65. Zuckerberg was a billionaire at 23. Warren Buffet was a billionaire at 56. People might seem
281
4K
20K
@patrickpotter_1
Patrick Potter ๐Ÿ”ฎ
4 years
"Tatua kwanza issue ya njaa.....it's very difficult to inovate if you are hungry" @KneeNjure
9
42
201
@bhazenga_
๐•ญ๐–๐–†๐–Ÿ๐–Š๐–“๐–Œ๐–†
1 month
@gabyconscious Cash flow business. Ukikosa kipato au biashara inayotoa ziada, huwezi kuwekeza kwenye HISA. HISA sio mwanzo wa safari kwa wengi. Ni ngazi ya pili. Tatizo kubwa ni financial influencers. Wamegeuza HISA kuwa hadithi ya kuanzia, badala ya kuwa hatua ya pili. Wanauza ndoto rahisi
9
21
76
@fikirism
Fikiri SM
1 month
Unaweza pia kufanya saving ya kila wiki kwa lengo la kufikisha 1,378,000/= kwa mwaka. Kwa kuwa mwaka una wiki 52 Kila wiki kuanzia wiki 1 - 52 unazidisha na 1000 Mfano Wiki ya 1 = 1000 Wiki ya 2 = 2000 Wiki ya 10 = 10000 Wiki ya 30 = 30000 Na Wiki ya 52 = 52000
@NajjatOmar
Odo
1 month
Salaam Fam mwaka tuna weka akiba kulingana na mwezi #Roadtodecemba2026 January10,000 February20,000 March 30,000 April 40,000 May 50,000 June 60,000 July 70,000 August 80,000 September90,000 October 100,000 November110,000 December120,000
2
1
10
@realDonaldTrump
Donald J. Trump
9 years
Happy New Year to all, including to my many enemies and those who have fought me and lost so badly they just don't know what to do. Love!
54K
116K
314K
@fikirism
Fikiri SM
2 months
Mungu ni mwema, Nilifanikiwa kupata mapato kwa mwaka 2025 ambayo yaliwezesha malengo kufikia.
0
0
0
@fikirism
Fikiri SM
2 months
Utopolo
@Matt_Pinner
๐Œ๐š๐ญ๐ญ ๐๐ข๐ง๐ง๐ž๐ซ
2 months
First thought when you see this kitchen?
0
0
0