Chimami💋💋 Profile
Chimami💋💋

@chimamy153

Followers
5,434
Following
4,400
Media
61
Statuses
5,707

My name is Rachel |last born😉|a girl from Bongo Tanzania 🇹🇿 🧡💜| BBA 🎓|

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Kumbe AlchatGPT inamtambua baba yangu 😱 my Dad was very genius🙌,,continue resting easy my handsome Dad 🙏🏽
Tweet media one
Tweet media two
23
19
161
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Usiku wa kuamkia leo nimepoteza baba yangu mzazi,,😭 R.I.P my lovely Dady Upumzike kwa amani DR Kitinya🙏
679
138
3K
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Mimi nikienda on date na mwanaume naombaga kulipia bill mwanaume akiridhia Basi huo ndo unakuwa mwanzo na mwisho wa yeye kuniona 😎
271
37
807
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Kwa miaka minne Nimeishi nyuma ya huyu cartoon mrembo 😅 itoshe kusema tulikuwa na wakat mzuri sana ☺️ todei i say bye bye
Tweet media one
75
39
746
@chimamy153
Chimami💋💋
4 months
Ladies mkiombwa namba muwe mnatoa ! Sio dhambi mtu hujaolewa unaombwa namba hutoi,,et kisa una kaboyfrend ambako hakajulikani hata kwenu acheni ushamba guys 🚮
192
85
676
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Umeshawahi kukaa siku tatu bila kuongea na babe wako ?? 😕??
102
51
600
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Umeshawahi kuuliza mpenz wako alishadate na watu wa ngapi kabla yako ??
65
31
377
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Habari Tanzania 🙋 Karibu ujipatie iphone kwa bei nafuu sana 💸📍 Location: Ubungo njia panda ya chuo Kwa mawasiliano zaidi 👇 0659808185 Au 0742906669 Tafadhali "RT" ifike mbali asante 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
21
115
264
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Umewahi kuuliza babe wako amewahi sex na watu wa ngapi kabla hamjakutana??
62
25
246
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Nifanyeje ili babe wangu anione wife material? 🥺 ??
63
22
239
@chimamy153
Chimami💋💋
4 months
Nyie watu mnao kuja dm kuniomba namba mna helaaaaa !! 😂😂😂 !!
62
25
206
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Heri nitembee kilomita 1000 kwa mguu kuliko kudate na mwanaume handsome.
27
17
180
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Kwenye poz la kisukuma 😂 Happy birthday to me 🎂🎉
Tweet media one
34
24
174
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Lijinaume unaliamini mpaka umelipa likutoa bikra likiwa halina hata hela unalivumilia mpaka linapata hela unadate nalo miaka mitatu alafu linakuja kukwambia am sorry naomba tuachane nina mwanamke mwingine aise Lijitu kama hili si life tu 🥹
40
21
167
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Mna wachukuliaje wanawake walio toboa pua ?? Wanaume naomba majibu yenu Kabla na Mimi sijatoboa ???🙈😅
Tweet media one
67
8
173
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Kuna namna mwanaume akijiona ya kuwa anapendwa sana anaanza madharau.🚮😏
38
31
170
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mwanaume handsome ni yule mwenye pesa tu. Nyie wengine mtupishe. 😎
38
21
154
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Mimi siwez date na mwanaume ambae hanichekeshi 😒😒
44
18
158
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Ndugu!,, tupo hai leo si kwa ujanja wetu bali ni mapenzi ya Mungu,, hivyo tukumbuke kusema asante. Muwe na jumapili njema goodmorning🙋🏽‍♀️
17
21
155
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Hakuna kitu napenda Kama nywele zangu 😍🥰
Tweet media one
Tweet media two
45
21
155
@chimamy153
Chimami💋💋
4 months
Jamani eh ! Jobless Anaomba namba yangu 😆 Nifanyeje!! 😕??
Tweet media one
62
15
154
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Nimepishana na mkaka mmoja ananukia jamani mpaka nikatamani nimsalimie niombe na namba sema ndo bas 😆
27
30
149
@chimamy153
Chimami💋💋
5 months
Hatimae namaliza mwaka bila kuwa na mpenzi ,,hivi wanaume! Hua mnazingatia nini mnapomfuata Mwanamke ?? 🤔
36
18
146
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Wife material😂😂🥰 Pisi ya flani "🥰☺️ Jumapili njema guys. 😌
Tweet media one
24
16
139
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Handsome boys kwangu hawana nafasi kwasababu uwanaume sio sura bali ni kuwa na nguvu ya kutafuta pesa 😁
24
19
127
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Honestly. Husband material ni yule mwanaume mwenye kiwanja. sauti inatosha ?? 😇 .
27
20
122
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Babe wangu hataki kuniambia anafanya kazi gani nifanyeje?? 🤔??
33
21
127
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
I date for marriage not for fun
29
48
112
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Wanaume ukienda na babe wako super market akaanza kuchagua ice cream badala ya unga piga chini 😂
9
21
121
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
As a woman siwez kuruhus mwanaume yeyote anishike hiv
Tweet media one
38
10
119
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Uwe bebe wangu alafu nipige simu moja usiipokee aise tunaachana papo hapo stakagi utani kwenye mapenzi 😎😎
24
23
106
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
“Babe unataka mtoto wetu wa kwanza aitwe nani”😂!! Swali niliwahi kuuliza mtu nilie date nae when i was 17 yrs old “nilikuaga kajinga 🙌🤣
16
15
106
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Nimekuwa added kwenye group la harusi na mimi ni jobless nifanyeje wandugu??
25
16
104
@chimamy153
Chimami💋💋
10 months
Mnaambiwa zaaneni mtimie bila hivyo mtakesha 😆🤚
Tweet media one
11
11
109
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Heri nitembee kwa mguu kilometa 1000 kuliko kutongoza mwanaume🙅🙅.
21
9
96
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Duuuh so sad jamani 💔 hiv huko south Africa kuna nn jmn mbona wanaua aana masuper star wao!!
Tweet media one
13
8
88
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
"Mwanaume wangu hataki kusema anafanya kazi gani,, pia nikimuuliza anakuwa mkali, nifanyeje na nampenda sana." ?? "Mdau anaomba ushauri"??
32
13
82
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Nani kapata breakfast kama yangu? ☺️☺️
Tweet media one
14
8
91
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Kudate mwanaume ambaye ameacha kazi na hana plan B ya kutafuta pesa aise inakata stimu. hata penzi lake halinogi🥴
19
20
77
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Ni heri nitembee kwa miguu kilomita elfu moja kuliko kudate na mwanaume handsome👐👐☠️😎
24
11
76
@chimamy153
Chimami💋💋
1 month
Kuna jamaa kaniomba picha kule green app nikatuma moja ya selfie Akaniambia yeye haitaji selfie anataka full picture!!! 😅 Hapa najiuliza anataka Full picture ya kazi gani !! Kwan selfie ina shida gani?
24
14
84
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Ikiwa mwanaume anaweza kuacha mwanamke mwenye mimba yake ama mtoto wake!!! je wanawake tunashindwaje kuachana na hawa wanaume wasio na pesa? 🤔 Hebu tuache huruma jamani.
25
14
80
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Twitter Misosi. Welcome for breakfast😋😋
Tweet media one
12
16
68
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hiv kuna uhusiano gani kati ya kuwa mwembamba na kuwa na makasiriko !!
15
10
77
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Kuna jamaa nili exchange nae namba humu tweeter tumechat kama miez mitatu hivi Heti akaniomba mechi nilipokataa heti akaniblock 🤣 Nyie watu sijui mnatuchukuliaje wadada wa humu 🤣🤣🤣
28
15
79
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hapa nasemwa Mimi na iPhone 6 yangu 😆
Tweet media one
7
10
76
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hakuna watu walijua kunikwaza kama wale walokuwa wanadate shule aise 😖
14
18
77
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Ujinga siwezi fanya kwenye hii life ni kutongoza mwanaume😎😎🚮
14
13
70
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hivi wanaume wanao jua kuhonga wanapatikana wapi ?? 🤔??
13
11
77
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Ujinga siwezi fanya kwenye hii life ni kudate mwanaume jobless 👐🚶.
11
13
70
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mwanaume haipendezi kuwa na gubu 😎
18
12
67
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hii familia inafurahisha sana 😂 hawa ni baba, mama na kijana wao alafu wote wanajua kudance ukiwaangalia lazima ufurahi 👇🏽
8
18
72
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Kudate na mwanaume handsome ni risky sana kwasababu muda wowote anaweza kuumiza moyo wako,,,😑
9
6
65
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mwana basi atokee,, aje anichekeshe tu nina muda sijacheka.😒
10
13
60
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mimi ni jobless lakini siwezi kudate na mwanaume jobless 🥺😎
18
11
67
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Aise bongo kuna mambo!! Kuna clip niliiona jana dudubaya alikuwa anahojiwa,,mwandishi akamwomba arudie kutaja ile list ya mashoga Tanzania nilisikitika kusikia akimtaja Harris kapiga,,daa ila dudubaya 🙌🙌
3
7
68
@chimamy153
Chimami💋💋
10 months
Mwanaume anakutumia tafadhali nipigie alafu uyo uyo et anataka ukubali kuolewa naye ,, 🚮😏
8
6
65
@chimamy153
Chimami💋💋
11 months
Kudate na mwanaume anaye ishi kwao ni kazi sana 🥲🥲
15
10
68
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Aisee ,, 🤣🤣
Tweet media one
13
7
59
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Cwezi kudate na mwanaume handsome,, kwasababu u-wanaume sio kuwa handsome bali ni kuwa na nguvu ya kutafuta pesa. 😎
19
19
64
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hi my people twitter wali lock account yangu for a week imerudi sasa 🥰 nawatakia Christmass njema ❤️
10
9
61
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Kuna watu wanashinda twitter siku nzima mnafanya kazi gani? au ndio nyinyi jobless🤔
21
16
54
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Umeshawahi kupata mpenzi facebook na mkaachana bila ya kuonana ?? 😅
21
9
63
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
I need a God fearing man 😫
17
11
55
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mwanaume kukosa pesa ni kosa kisheria yani haitakiwi. 🙅
17
8
56
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Kumpikia na kumfulia babe wako ndo kipimo cha u-wife material dear dadaz
11
11
60
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
kumbe hata mimi sura ya baba kuna wakat naweza kuwa na cute face aloo ,,, i love you snap chat🔥🔥🤭
5
8
56
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Kuna wale wanaume they dont go with trends yaani huwez mkuta amempost babe wake siku za valentine’s ,birthdays ,woman’s day,nk mwanaume wa hivi yuko real kuliko mwanaume yoyote yule trust me 📌
11
11
59
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Na hiv ndivyo wife material tunavyo paswa kuongea na ma babe zetu sema babe wangu ana enjoy sana na hapa bado hajaniweka ndani 😅😅🙌 Dear dadaz wanyenyekeeni ma-babe zenu
Tweet media one
19
6
56
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Aise 😂😂🙌🏽
Tweet media one
3
4
57
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Right now the only thing i need from a man is his money 🥰😎
9
8
57
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Mimi iphone15 ,,wewe ipi?
Tweet media one
7
7
57
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Tweet media one
7
5
58
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
We tweet yes but deep down some of us are in sorrow 😥 ,,be kind🙏
12
16
51
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Wanaume hata kama hauna hela usiache kudate mwanamke mzuri 📌
18
13
58
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
wanaume wakipishana manjiani husalimiana utadhani wanajuana!! kumbe bas tu ndo vibe yao njoo sasa kwa sisi wadada hatupendi kusalimiana tunapopishana manjiani sijui kwann 🤔 ??
11
12
51
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Dear men,,, stop playing with woman hearts 🥲
7
6
54
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Hiv kwanini wanaume wa sikuhiz hampendi kutongoza wanawake?? mnaogopa nini??
20
11
50
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Ikiwa mwanaume atanipa nusu ya mshahara wake kila inapofika mwisho wa mwezi. Ndipo nitaamini ya kuwa ninapendwa kweli😎💯
22
12
47
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
mdada jobless. Akidate na mwanaume jobless hata haipendezi 🚮😏
9
6
51
@chimamy153
Chimami💋💋
2 months
Kuna ule uvivu wa kujibu watu sms broo!,,,ukisha anza there is no going back Nimekutana na unread meseji 200 🤦🏽‍♀️😅
10
9
54
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Siwez kudate na mwanaume handsome kwasababu uwanaume sio sura bali ni kuwa na nguvu ya kutafuta pesa.😎😎
10
10
53
@chimamy153
Chimami💋💋
5 months
Jobless mmoja aliniambia 👇🏽 ‘Plz Recho naomba unikubalie niko tayar kukupa chochote unachotaka uwe na mimi ” Mimi 👉🏽: “Chochote my foot! Hela huna sasa utanipa nini!! 😅😅?? NB:Kama huna hela usitongoze
25
13
55
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Asante Mungu kwa zawadi ya uhai na afya njema,,good morning 🙋🏽‍♀️
9
11
52
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
If kind was a person 🥰
Tweet media one
5
6
51
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
If your not funny you can’t be my boyfriend. 😒
11
10
50
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
mwana flani"kila nikipishana nae hunikuta nimevaa nguo hio hio moja leo nilivyomuona tu nikala kona,,,niko na nguo ile ile sitaki kuaibika😥
8
6
46
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Twitter misosi. Things i like 😋
Tweet media one
6
11
46
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Daaa watu wanajuaga tuko serious muda wote sio kila kitu mtu anachopost anamaanisha jamani 🤣
Tweet media one
16
13
46
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Mimi kwa picha sina mvuto kabisaa. Lakini kwa " live" hehehehe ladies hide your boyfriend😅😅
11
12
44
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Tweet media one
5
3
44
@chimamy153
Chimami💋💋
6 months
Wanaume,,et hua mna elewa nini Mwanamke akikufanyia hivi ???🤔
Tweet media one
11
9
46
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Umeshawahi kuwaza kunywa sumu kwasababu ya mapenzi?? 😕??
16
7
42
@chimamy153
Chimami💋💋
2 years
Waliosema Kenya ni mfano wa kuigwa kwenye maswala ya uchaguzi,, kwa mwenendo huu wa uchaguzi Kenya bado kenya ni mfano ?? 🤔 ??
6
9
41
@chimamy153
Chimami💋💋
4 months
Ndio mie kwani unasemaje ??
Tweet media one
@ChoperWang
Çhøpër
4 months
Mtu Mwenyewe UnaeUliza Hela Huyu ndio Wewe ??
Tweet media one
7
1
21
17
1
43
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Mimi wa kwenye picha ni mzuri meet me personal sasa 😖,, nina shuhuda mbili za kukimbiwa na watu baada ya kuniomba tuonane🥺🥺
9
10
42
@chimamy153
Chimami💋💋
1 year
Wanaosema madem wenye matacore makubwa hawana akili,, mbona mimi ninazo sasa 😂😂
17
8
41
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Leo nime gain followers wengi sana asanteni nyote mlio nifollow ☺️💕 Am restricted natumikia adhabu ya three days ikiisha nitafollow back kila mtu Much love 🙏🏼💕
2
3
40
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
“Bado hujasema mpaka usemee” huu msemo kaanzisha nani????
5
5
39
@chimamy153
Chimami💋💋
8 months
Hiv kuna wanaume bado wana amini kwamba sura zao zina wabeba yan wao kuepua pisi ni dakika zero shauri ya kuwa ni ma-handsome??? Bado wapo ???
8
11
39