Habari Tanzania 🙋
Karibu ujipatie iphone kwa bei nafuu sana 💸📍
Location: Ubungo njia panda ya chuo
Kwa mawasiliano zaidi
👇
0659808185 Au 0742906669
Tafadhali "RT" ifike mbali asante 🙏
Lijinaume unaliamini mpaka umelipa likutoa bikra likiwa halina hata hela unalivumilia mpaka linapata hela unadate nalo miaka mitatu alafu linakuja kukwambia am sorry naomba tuachane nina mwanamke mwingine aise Lijitu kama hili si life tu 🥹
Kuna jamaa kaniomba picha kule green app nikatuma moja ya selfie
Akaniambia yeye haitaji selfie anataka full picture!!! 😅
Hapa najiuliza anataka Full picture ya kazi gani !! Kwan selfie ina shida gani?
Ikiwa mwanaume anaweza kuacha mwanamke mwenye mimba yake ama mtoto wake!!!
je wanawake tunashindwaje kuachana na hawa wanaume wasio na pesa? 🤔
Hebu tuache huruma jamani.
Kuna jamaa nili exchange nae namba humu tweeter
tumechat kama miez mitatu hivi
Heti akaniomba mechi
nilipokataa heti akaniblock 🤣
Nyie watu sijui mnatuchukuliaje wadada wa humu 🤣🤣🤣
Aise bongo kuna mambo!! Kuna clip niliiona jana dudubaya alikuwa anahojiwa,,mwandishi akamwomba arudie kutaja ile list ya mashoga Tanzania nilisikitika kusikia akimtaja Harris kapiga,,daa ila dudubaya 🙌🙌
Kuna wale wanaume they dont go with trends yaani huwez mkuta amempost babe wake siku za valentine’s ,birthdays ,woman’s day,nk
mwanaume wa hivi yuko real kuliko mwanaume yoyote yule trust me 📌
Na hiv ndivyo wife material tunavyo paswa kuongea na ma babe zetu sema babe wangu ana enjoy sana na hapa bado hajaniweka ndani 😅😅🙌
Dear dadaz wanyenyekeeni ma-babe zenu
wanaume wakipishana manjiani husalimiana utadhani wanajuana!! kumbe bas tu ndo vibe yao njoo sasa kwa sisi wadada hatupendi kusalimiana tunapopishana manjiani sijui kwann 🤔 ??
Jobless mmoja aliniambia
👇🏽
‘Plz Recho naomba unikubalie niko tayar kukupa chochote unachotaka uwe na mimi ”
Mimi 👉🏽: “Chochote my foot! Hela
huna sasa utanipa nini!! 😅😅??
NB:Kama huna hela usitongoze
Leo nime gain followers wengi sana asanteni nyote mlio nifollow ☺️💕
Am restricted natumikia adhabu ya three days ikiisha nitafollow back kila mtu
Much love 🙏🏼💕