@TitoMagoti
Kuna watu wanasambaza picha zako ukiwa na kitambi wakati hizi hauna, sasa naamini kuna watu wanakuhujumu kaka π Hili naendelea nalo kulifanyia uchunguzi lazima waseme kwann wanaedit?
@TitoMagoti
Homeboy kumbe ulisharudi mjini asee, nlidhani bado uko kwa Malkia.....Hongereni kwa utii wa sheria na kuandamana kwa amani homeboy...Mmeenjoy tafsiri halisi ya 4Rs au vipi homeboy