Nice_Gisunte Profile Banner
Nice Gisunte Profile
Nice Gisunte

@Nice_Gisunte

Followers
10K
Following
16K
Media
1K
Statuses
3K

Mwenyekiti wa Bawacha Mkoa wa Ilala I Mweka Hazina Bavicha Taifa 2019 - 2024 | Diwani Kata ya Kitunda 2015 - 2020.

Ilala - DSM
Joined August 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
7 hours
RT @HecheJohn: TAARIFA KWA UMMA. Kama chama tunalaani kwa nguvu zetu zote tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wetu akiwa katika viunga vy….
0
325
0
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
7 hours
RT @HecheJohn: Afrika ni masikini sio kwasababu hatuna rasimali. Afrika ni masikini kwasababu inaongozwa na watu wasiokuwa na uwezo hata k….
0
256
0
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
6 days
MCHUNGAJI AKIOMBEA CHADEMA NA VIONGOZI WAKE. Walinde viongozi wa Chama hiki cha Chadema, kipekee Mwenyekiti wao ambaye yupo kizuizini, naomba siku isiyojulikana utamtoa na kumpa nafasi ya kuendelea kufanya harakati kadiri ulivyomjalia. Mungu ulinde afya yake, uhai wake na uzima
2
31
102
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
8 days
Risiti
Tweet media one
1
27
90
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
8 days
"Huyu anayefunga makanisa yanapomwambia acha kuteka watu kwanini tumuonee aibu na kumwogopa, mimi Heche sitamwogopa na tutasonga mbele." Mhe. @HecheJohn
16
123
510
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
10 days
Hii ndio maana Chadema tunataka reforms. #NoReformsNoElection.
1
23
104
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
15 days
“Mimi huwa natoa ushauri sasa sijui kwenye suala hili nimeshauri kuwe na Reforms ni kitu gani kingine kitafungwa tena baada ya hapa” - Askofu Josephat Gwajima.
2
30
165
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
16 days
"Huko mbele tutatoa muelekeo mgumu zaidi kwenye No Reforms No Election na tunajua wananchi watatuunga mkono" - Mhe. @HecheJohn
4
37
144
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
17 days
Wanawake wote wa kikurya nimewawakilisha kwa kula cake ya birthday ya kaka yetu leo. Happy birthday kaka @HecheJohn
10
47
318
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
17 days
Tulipata wasaa wa kukata cake na Mhe. @HecheJohn na kutakiana kheri katika siku yake muhimu ya leo. Happy birthday kiongozi wetu.
4
25
141
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
17 days
Happy birthday kaka @HecheJohn Mungu akutunze 🙏
Tweet media one
5
61
470
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
18 days
Happy Birthday Mhe. @HecheJohn Mungu akutunze kwa kazi njema unayofanya kwa maslahi ya Chama na Taifa letu.
6
23
94
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
18 days
Taarifa kwa umma juu ya kushikiliwa kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Mhe. @BrendaRupia na Jeshi la Polisi.
Tweet media one
0
20
92
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
19 days
TAARIFA KWA UMMA. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA @BrendaRupia amekamatwa na maofisa wa Uhamiaji akiwa ofisi za Uhamiaji katika mpaka wa Namanga wakati anafanya process ili aweze kusafari kuelekea nchini Kenya. Maofisa wa Uhamiaji wanasema kwamba wamepewa maelekezo kwamba
Tweet media one
13
57
250
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
20 days
Mzozo waibuka Askari Magereza wakimzuia Mhe. @TunduALissu kuzungumza na Mawakili wake. "Hili ni la kufunguliwa kesi, hatuwezi tukachezeana namna hii." Mhe. @TunduALissu
0
15
55
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
20 days
One love ❤️.One heart ❤️
Tweet media one
4
52
605
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
22 days
Siku ya leo wanachama mbalimbali wakiwa wamefika Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya kusikiliza maamuzi madogo ya kesi ya Mdude yanayopangwa kuamuliwa leo, chini ya Jaji Mh. Kalunde. Mawakili wa Utetezi wanaongozwa na Adv. @Mwabuk2Boniface na Adv. Hekima Mwasipu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
28
164
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
23 days
Mmemsikiliza kwa makini Padri Charles Kitima alivyohitimisha mahojiano yake hapa mwishoni?
16
105
351
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
23 days
“Kusifia mtu ili kufunika maovu siko tayari, siwezi kusifia kwa kufunika maovu yanayofanywa, sitafanya” - Padri Charles Kitima.
4
69
250
@Nice_Gisunte
Nice Gisunte
23 days
Jamii yetu inahitaji viongozi wa dini wenye uthubutu wa kusema ukweli kwa ujasiri kama Padri Kitima.
5
43
170