@TitoMagoti
Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana BWANA, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha.
Kumbukumbu la Torati 31:6
@TitoMagoti
Kuna Bunge Basi Kaka...Wanapiga Umbea Tu Yaan...Imagine Hotuba Ya
@freemanmbowetz
Inavyojadiliwa Kimbea Mbea...Eti Ni Muhimili Jaman...Khaaai!!!
@TitoMagoti
Na itafika wakati wale wachache wenye busara wachache walioko bungeni hawataongea tena kitaalam watawaacha darasa la saba na waimba mapambio maana ndio wanajiona ndio wenye bunge sasa.
@TitoMagoti
@MariaSTsehai
Kwa ufupi bunge halina kazi wala mahakama kwa ufupi Tanzanian tuna muhimili mmoja tu, tunaomba mama arekebishe ilo ikiwezekana viongozi wa mahakama wachaguane sio kuteuliwa