Nawashukuru nyote, kwa umakhsusi: familia na marafiki, mwajiri wangu (LHRC), wanaharakati, wanazuoni, wanasheria, watumishi wa Mungu, wanahabari, asasi za kiraia, wanasiasa, na jumuiya za kimataifa. Jitihada na sauti zenu zilikuwa na maana kubwa sana kwangu.
@TitoMagoti
@MariaSTsehai
Welcome back kaka kiongozi, we missed you njoo sasa tuwanyooshe tena safari hata wakikupeleka gwatanao na sisi tutaruka ukuta wa nyumba nyeupe pale maporini chamwino kama yale manamba ya trump.