Mdogo wangu
@abdulnondo2
ameibua mjadala. Ninamuunga mkono.
1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
@makanikia2016
@abdulnondo2
Petty kabisa. Kwahiyo, he can put on sare ya Zimamoto, Magereza, Polisi, JWTZ, Mgambo, etc.. na anazipataje? Na mipaka yake ikoje? Kama ni Top in District, kwanini hajavaa VYEO vya juu zaidi? This narrative needs to be fact-checked.
@DrKalokola
@abdulnondo2
Yaani vazi la heshima, jasho na damu, kama combat jamaa analivalia styles zake. Well. We need to see the reaction of Gov on this.
@TitoMagoti
@fadhilikangusi
@abdulnondo2
Yy ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usslama wa wilaya so ameona ni mwanajeshi tayari kama wengine. Hii nchi kwa sasa wacha tuenjoy maisha. Ule utafiti wa kuwa Sisi ni nchi isiyo na furaha ni waongo tu,raja zote hizi?
@TitoMagoti
@abdulnondo2
HUO AENDELEE KUBAKI NAO TUKO BIZE NA MAENDELEO NA KUJIANDIKISHA ILI TUPATE ILE DAWA YENU AKA VICHINJIO VYA 2020 TUU HAYO MAMBO YA SARE MTAYATUMIA NINYI KWENYE KAMPENI MAANA YATASAIDIA KULETA NDEGE.