Wanafunzi wa kidato cha kwanza watarajiwa wa Shule ya Sekondari Forest Hill Morogoro wakifuatilia maelekezo yanayotolewa na Stella Genge Afisa Mafunzo Kitengo cha Ukuzaji Viumbe Maji kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo walipofanya ziara ya kujifunza chuoni Novemba 30, 2023.