SUA imefanya Mahafali ya 42 ambapo Wahitimu 3095 wametunukiwa vyeti vya kuhitimu Elimu ya Chuo Kikuu na Mhe. Jaji Joseph Warioba huku wakihudhurishwa kwa mara ya kwanza Wahitimu wa kwanza wa ngazi ya Shahada kutoka Kampasi ya Mizengo Pinda Mkoani Katavi.
@WizaraKilimo
@TCU
@SokoineU
@WizaraKilimo
@TCU
Hongereni
@SokoineU
kwa kazi nzuri ya kutengeneza watalaamu kwenye Nchi yetu na bara letu la Afrika, sisi
@MalemboFarm
Tanzania na Kenya tunatambua mchango wenu katika kuendeleza sekta ya kilimo,mifugo na uvuvi.