Makamu Mkuu wa Chuo cha SUA Prof. Raphael Chibunda (wanne kutoka kulia kwa waliosimama mstari wa kwanza), katika picha na Rais wa JMT Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Makamu Wakuu wa Vyuo vya Umma baada ya kumalizika kwa kikao Ikulu tarehe 29 Septemba, 2023
@SokoineU
Natumaini VC Prof. Mvuma wa MUST ameacha tabia ya kupendelea walokole wenzie na kuwatenga wengine mahali pa kazi. Ofisi ya umma sio Kanisa, afanye kazi na kila mtu.
@SokoineU
Prof.Chibunda
@RChibunda
na mkakati wa kuzalisha Wanataaluma watakaotengeneza Ajira kwa Wenzao na kuongeza uzalishaji Viwandani.
#SUA
is going to next level of Academic, Research and Entrepreneurship to increase Employment opportunities.
Kudos!!!