Samalen Tips🤴
@Samalentips
Followers
18K
Following
66K
Media
5K
Statuses
33K
USHINDI NA MAFANIKIO |Blogger|YouTuber|Psychologist|Samalensafaries|SamalenVPN and Founder👉 @SamalenTv © President of Samalencia #SamalenTips🤴♱ Philanthropist
SAMALEN TV
Joined February 2023
Leo nilimkumbuka Mdude nyagali, kutokana na kutokufahamu kuwa hii ilikuwa Dhahabu wakampoteza! , na badala ya kupaza sauti alipopotea tulichagua kupotezewa muda na kukaa kimya, Mungu amlinde popote alipo na damu yake iwe juu ya wote waliofurahia kupotea kwake 😡
3
58
212
Naomba kama kuna mtu ana ugomvi na President Ruto aache mara moja, kwa sababu Akina Nuru okanga na vijana kenya sembuse wanaongeaga maneno magumu kila siku lakini mpaka leo wapo hai, sisi akina soka, mdude na wengine tumewanyima haki yao ya kuongea, Safi sana @WilliamsRuto 🇰🇪👏👏
0
0
1
Hili lijamaa (wicknel chivayo) ndio litakuwa li epstein la huku Africa siku moja linawatumia viongozi kujipeleka mjini nimeweka video pale tiktok/Samalentv nimelielezea vizuri bad thing limeshapiga picha hadi huko Tanzania litakuja kuchafua nchi zetu hizi shauri yao 😳
0
1
2
Account yangu ya youtube imeondolewa kwa sababu ya kupost video flani ya ikulu nikiwashauri jambo flani (ilikuwa na views karibia laki 8) saivi hii acc yangu nayo inaanza kunipa mashaka kwa sababu labda sijamsifia mjema 😭, vijana wa gerx wamejipanga sana aisee 😡
1
6
22
Free kamanda Mdude Nyagali Now!!
Leo nilimkumbuka Mdude nyagali, kutokana na kutokufahamu kuwa hii ilikuwa Dhahabu wakampoteza! , na badala ya kupaza sauti alipopotea tulichagua kupotezewa muda na kukaa kimya, Mungu amlinde popote alipo na damu yake iwe juu ya wote waliofurahia kupotea kwake 😡
0
37
159
Mungu wangu 😭😭😭 hili lijamaa lenye bunduki linatisha 😳 hivi kuna askari yuko hivi kweli ?? 😭 Mh Mungu atulinde tu 🙏
12
10
115
Mh unproffesional, haya ni maigizo yani title mnasema ziara alafu mnaonyesha gari ambayo haikwami kwenye tope ikiwa imekwama 🤣, mbona mnalazimisha sana tuwakosoe 🤣🤣🤣
1
0
2
Nachoka Mimi sijui nimuamini nani sasa 😓 WAZIRI MKUU 👇 BENKI KUU(BOT) 👇
4
5
40
😡😡😡
So, ukishinda hiyo Milioni 10, 50, au 100 unayoipigia hesabu usiku wa leo kwenye Champions League utaifanyia nini?😁👀 Gari, ujenzi, au unairudisha SportyBet upige pesa nyingi zaidi?😉♥️ #UCL #Betting #ChampionsLeague #SportyBet #Tanzania
1
0
2
Nape aliyeondolewa kazini na awamu 2 amekutana na tume ya uchunguzi sijui anahusika vipi ila nasikitika sana kuona haya , au labda mimi ndo sielewi 😭😭
0
2
7
Hongereni sana tena JANA TUMEENDELEA KUSHINDA !! USIKAE MBALI NA APP YA SAMALEN TIPS NI SISI TU 🤝🙌🔥🔥🔥🤩
0
1
2
Utu wa Kiongozi wa dini inakuwaje tukubali na tufumbie macho uchafuliwe kwa vijana wanaolipwa na vikundi vya kichochezi ambavyo huenda vinamilikiwa na watu wachache wenye nia ovu!!! Hili lifanyiwe kazi haraka Watag wahusika 🤝
0
0
4
Serikali iwakamate watu wa aina hii ambao wanachafua viongozi wa kanisa, ninashangaa sana nikiona watu watasumbuliwa kwa sababu ya kuongea tu ili kujenga na kuimarisha serikali lakini watu wa aina hii wanabomoa hawajengi, kwani wanatengeneza chuki dhidi ya kanisa na waumini 😡
1
0
4
Kosa ambalo analifanya huyu ni upotoshaji kupitia mitandao ya kijamii Kwa kutumia Ibara ya 18 na 30 katika katiba yetu ,Cybercrimes Act,Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta,Kanuni za Maudhui Mtandaoni zinakataza haya Naomba Waziri Katambi aanze na watu kama hawa!
BREAKING NEWS : Hatinaye nimewaletea cheti cha kuzaliwa cha mtoto wa Padri. Charles Kitima, mtoto anaitwa Daniel alizaliwa 2015 na Mamake ni Suzan Obedi. Padri kuwa na mtoto ni kinyume na Canon Law, ila Kwa sababu TEC wanatabia ya kufichiana dhambi na hili watalificha.
12
7
34
I realize simbachawene is gentleman , he is really humble ! 👏👏
0
0
2
Jumamosi kama tulivyoanza vizuri , tunamaliza vizuri Ahsante kwa kuendelea kuiamini App ya SAMALEN TIPS Hatutakuangusha kamwe!! Fuata Malengo na ndoto zako nasisi Mungu akipenda tukutane tena Kesho kwenye Ushindi Pakua app: https://t.co/U8PAuw66ne 🙏
0
1
1