Salma Ali Hassan
5 months
Unaenda sehemu kuna chakula mtindo wa buffet... ndizi, wali mweupe, pilau, chapati, chips, mbogamboga steamed, Chinese rice, samaki, kuku, nyama ya mbuzi na ya ng'ombe, salad, matunda, cake, unaweka vyote kwenye sahani moja halafu unaagiza na Fanta nyeusi!