Salma Ali Hassan Profile Banner
Salma Ali Hassan Profile
Salma Ali Hassan

@SalmaAliHassan8

Followers
2,968
Following
166
Media
488
Statuses
8,071

farmer by birth... Lawyer by default!

Zanzibar
Joined September 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Unazini, unalewa, unaenda kwa waganga, unaiba, unaghushi, unasema uongo, unakula Mali ya yatima, unaingia kwenye mpaka wa jirani yako, unamnyanyasa mkeo... yote huyaoni kama ni dhambi unaona dhambi kumtakia heri mwenzako kwenye sherehe yake tu?
256
328
2K
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
18 days
Mwaka 2009 niliacha kazi kwa hiyari, nikajenga huu "mjengo" na kuanza maisha mapya ya kujitegemea... niliishi off grid, mwanzo ilikua chumba jiko na bafu, baadae nikaongeza chumba na bafu so chumba cha mwanzo kikawa sebule. Niliishi kwenye hii nyumba hadi 2019. Bado ipo.
Tweet media one
64
46
693
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
11 days
Kuna mdada juzi kamuaga hubby anaenda harusini ila kwa vile watachelewa atalala kwa shosti wake na atarudi asubuhi, mume kakubali, kumbe mdada na mashosti walikuja Znz kujirusha, asubuhi ya jana Hidaya kafanya yake hakuna boat! Mhadithiaji anasema huyo dada wigi aliliona zito!
74
27
498
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
Watoto wa Mama Kamm...class of 1972 and class of 1992... Weruweru Girls Secondary school... Jina lako Weruweru lidumu daima.
Tweet media one
21
22
460
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
9 days
Sasa hii diet sijui itakuaje!
Tweet media one
89
19
419
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
17 days
Sometime in 2017, Ruaha, tulisimama kununua Vitunguu, msichana mkubwa alipoona gari la Serikali alikimbia, mama yake akasema alijua ni watu wa wizara ya elimu, nikamuuliza huyu mdogo kama yeye anaenda shule, akaniletea madaftari yake. I hope nitakuja kuonana nao tena one day.
Tweet media one
Tweet media two
41
24
360
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Ukiona mtu ameweka sausages 6 kwenye sahani, halafu akaweka mayai 5, nyama, viazi, mkate slices 6, muffin, ameweka na bakuli la fruits n yogurt, ana kikombe cha chai ya maziwa.. ujue huyo mtu akipata nafasi ya kuiba ataiba!
73
47
350
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Huwa ninaelewa why watu hudhania mimi ni mtoto wa Mzee Mwinyi (Allah amrehemu) kwa sababu ya mfanano wa karibu sana wa jina lake na jina la baba yangu mzazi. I am yet to learn why na Rais Samia nae anadhaniwa the same! Ikulu had to use my four names kupunguza vijineno!
Tweet media one
51
31
332
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Natamani ningelijifundisha kuhusu compound interest miaka 25 iliyopita... better late than never. Vijana, pls pls pls learn about compound interest and take advantage of it ili mkifika umri wangu msijione mmepishana na gari la mshahara.
23
54
328
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Nasikitika kutanga kifo cha mjomba wangu sheikh Abdallah Mzee Mwita, maziko laasiri ya leo. Msiba upo Kinondoni Block 41. Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.
57
21
283
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
1990.. Kidato cha Pili.... Shule ya Sekondari ya Wasichana Weruweru. S.L.P 575 Moshi, Tanzania.
Tweet media one
39
17
277
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Never tell your woman "I don't have money" hata kama kweli huna na anataka kitu basi mwambie utampatia. Never exchange roles ... mwanamme abaki kuwa mwanamme na mwanamke awe mwanamke. Wanaume wabaki kuwa providers hata kama wake zao wana kipato. Huo ndio uanaume!
96
36
236
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Legend kabla ya tiktok na honey ya Zuchu alikua na ndoto ya kuwa Rais... siku hizi nasikia mambo ya "content creator" ... nimemwambia akimaliza JKT/JKU we will have some serious discussion...
Tweet media one
14
15
234
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
10 days
Officially 49... been blessed abundantly.
Tweet media one
82
17
233
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Ukija DM na "mambo mrembo" pls niambie 1981 ulikua dasara la ngapi... mimi ndio nilikua darasa la kwanza.
85
15
234
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Zanzibar ina sheria zake ambazo zinaweza kuwa tofauti kabisa na sheria za Mainland, mf. Zanzibar ni kosa la jinai kutembea na mke wa mtu ilhali Bara ni swala la madai. Hili katazo la kutokula hadharani mchana wa Ramadhani nalo lipo kwenye huo utofauti.
43
35
230
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
15 days
Na mie mtu...
Tweet media one
38
10
212
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Alhamdulillah tumezika salama. Muislamu akifa kila kitu chake kinamalizika isipokua mambo matatu: watoto wema, elimu inayoendelea na sadakatul jaria alizoziacha. Usiku wa leo ndio usiku wake wa kwanza kaburini. Allah amtilie nuru kaburi lake. Amin
Tweet media one
24
17
211
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Leo no mazoezi... bado tuko kwenye sherehe za Mapinduzi...kesho nayo siku!
Tweet media one
30
5
192
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
What will Dr Janabi say?
Tweet media one
52
5
188
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Hivi mwenza wako ukimwambia afanye jambo fulani halafu asilifanye ... unatakiwa kumkumbusha mara ngapi kabla ya ku rule out kuwa hataki? Mf. Ukimaliza kuoga usiweke towel kitandani, nguo chafu weka kwenye tenga...
62
12
175
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
My babas...
Tweet media one
10
10
163
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
35 years ago siku kama ya kesho ndio nilianza kidato cha kwanza... it was my first day kuona makande, nilishindwa kuyala nikabaki kulia tu... siku hizi nayapika mwenyewe🤣🤣🤣
28
8
160
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
9 years ago!
Tweet media one
8
7
158
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
23 years ago! Forever grateful for the experience and opportunities... alhamdulillah
Tweet media one
42
15
155
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Mwaka juzi nilinunua hii rechargeable torch kwa £35... one of the best purchases I made.
Tweet media one
12
7
151
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
My sister, me and my brother.. I think I was 11 yrs old...
Tweet media one
15
3
134
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
7 days
Fanya mambo yafuatayo ku save energy na pesa: 1. Usizime fridge/freezer. 2. Roweka (kikwetu ni R sio L) maharage usiku kucha ili urahisishe kuiva pamoja na kupunguza gas. 3. Chemsha maharage mengi then weka kwenye smaller portions. 4. Invest kwenye instapot/pressure cooker
21
17
137
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Kabla hujamtukana, kumkebehi mtu mtandaoni jiulize kama mngelikua uso na macho ungeliweza kufanya hivyo? Kabla hujaandika tusi mtandaoni jiulize wazazi/walezi wako wataona fakhari wakiona posts zako? Kama courage yako inapatikana nyuma ya keyboard then u have some work to do!
Tweet media one
32
18
135
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
13 days
Enjoy each moment as it comes! Wakati haurudi!
Tweet media one
18
5
129
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
20 days
Kwenye nyumba za waswahili hakukosekani hivi vibebeo...moja ya mafunzo yetu ni kumpokea mume mkoba akirudi kutoka kwenye mihangaiko yake... vijana nakukumbusheni ili mpokelewe basi msisahau kurudi na cha kupokelewa, zawadi sio lazima kitu kikuuubwa, nunua hata papai tu.
Tweet media one
22
9
125
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Unaenda sehemu kuna chakula mtindo wa buffet... ndizi, wali mweupe, pilau, chapati, chips, mbogamboga steamed, Chinese rice, samaki, kuku, nyama ya mbuzi na ya ng'ombe, salad, matunda, cake, unaweka vyote kwenye sahani moja halafu unaagiza na Fanta nyeusi!
45
7
118
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Kifo ni mawaidha.
Tweet media one
6
7
115
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun... nasikitika kutangaza kifo cha shemeji yangu Bw. Darwesh Said kilichotokea nyumbani kwake Upanga, alfajiri ya leo. Maziko baada ya sala ya ijumaa, maiti itasaliwa Masjid Maamur.
49
6
110
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 years
Wasichana wapendelevu... watoto wa Mama Kamm... #RoyalTourTanzania
@venusnyota
zuhura yunus
2 years
Tweet media one
63
32
953
9
8
105
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Nasikia hivi vibegi vimerudi! Uni days... with Fadwa, my Sudanese friend.
Tweet media one
12
3
104
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
7 days
Namna ya ku save muda na pesa: 1. Buy in bulk. 2.meal prep ( ninafanya hii shughuli Saturday &Sunday) 3. Saga thom, tangawizi and freeze. 4. Kipindi nazi zikishuka bei nunua nyingi zikune na uzi Freeze. 5. Freeze unga wa ngano. 6. Chaya ni mboga nzuri sio tu mti wa fence.
21
18
106
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Many moons back when we were prosecutors... hii picha ina Makamu wa Kwanza wa Rais, Majaji watatu, Deputy AG, Deputy DPP, Waziri, Katibu wa Baraza la Wawakilishi na wanasheria waandamizi wa taasisi mbalimbali.
Tweet media one
10
10
102
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Haya ndio maisha! Hewa safi mandhari nzuri...ndizi tuakula na samaki. Farm life rocks!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
14
102
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Walioniita mnene kipindi hiki nimewasamehe na nawaombea wauone mlango wa mbinguni. Amin. Both pics taken btn 1998-1999. Uni days.
Tweet media one
Tweet media two
16
9
102
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 days
Mlisema lazima tutie kwenye glass... au hivi pia inafaa?🫣🫣🫣
Tweet media one
Tweet media two
30
3
108
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Time to decluster ... ile microwave mbovu, blender ambayo jug lake lilivunjika, sahani zenye mapengo, nguo ambazo unasubiri ukonde zikutoshe, mashuka yaliyochakaa ambayo unayaweka just incase utayahitaji, makopo ya blueband na yogurt, negative people, anza mwaka 2024 vyema!
17
12
98
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
Mdogo wangu @RahmaMwita kachoka kuitwa Mkurya... Zanzibar pia kina Mwita wapo... maeneo ya Bweleo na Kusini (Kae).
Tweet media one
Tweet media two
12
8
96
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Maisha ya shamba mazuri sana...
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
3
97
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
Kama unataka Mali.. utayapata shambani.
Tweet media one
Tweet media two
9
10
94
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
12 days
Neno la leo
Tweet media one
2
12
93
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
9 days
Neno la leo...
Tweet media one
9
17
92
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
1st frame Baba Kamm and I, 2013 (miaka 50 ya Weruweru)... the 2nd frame Mama n Baba Kamm and I,December last year as we celebrated 30 years after O level (1992)... asante Mungu kwa maisha ya Baba Kamm.
Tweet media one
Tweet media two
5
6
90
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
12 days
Na mie mtu...
Tweet media one
21
3
91
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
16 days
Nimekulia kwenye era ambayo rafiki zangu na wazee wao lazima wajulikane home... ni ile ya kuulizwa "unaishi wapi, mama/baba yako nani..." na rafiki akija amevaa "ovyo" mama atamuuliza umetoka kwenu umevaa hivyo? Na ataambiwa usivae hivyo siku nyengine.
12
8
89
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
Baada ya hafla fupi ya uapisho wa Majaji wapya walioteuliwa na Mh.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi hivi karibuni. Mungu awatangulie katika majukumu yao.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
12
87
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
22 years ago!!
Tweet media one
19
1
88
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
My 1st class during LLB was Islamic Legal System... after the introductions we were taught of this ayat... the lecturer said "some of you will be appointed judges... some will hold other positions, always remember this ayat... welcome to the noble profession"
Tweet media one
13
20
86
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Tusiache kuiombea gridi ya Taifa kwenye sala na dua zetu.
26
3
85
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Tweet media one
9
17
80
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
9 months
Zanzibar sio ndogo kama wengi wanavyodhania... kutoka Kizimkazi mpaka Paje ni safari ya takriban 30km... Zanzibar njema atakae na aje.
25
6
81
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Zanzibari culture... harusi zetu tunakula bites tu... and before we leave tunapewa "take away" ya cakes and other snacks.
Tweet media one
10
2
78
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
19 days
Msije kusema na mimi ni Janeth Jackson tu🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
18
2
81
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
Teamwork, emotional intelligence, adaptability, time management, volunteerism, empathy, leadership are some of the soft skills practiced during our time but given different names/attributes... bila ya soft skills huwezi kutoboa in the coming days!
5
22
78
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
😭
Tweet media one
12
8
77
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
15 days
Mzanzibari...
Tweet media one
7
8
75
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 months
Wakati tunakuaga leo, naona fakhari kubwa kuwa miongoni mwa familia ya wana Weruweru ambao wewe pamoja na Mama Kamm mlitulea kwa upendo mkubwa. Pumzika kwa amani Baba Kamm.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
6
72
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Kitu ambacho ni cha uhakika ni KIFO. kwetu sisi waislamu tunaamini kuwa kuna siku ya hesabu, siku ambayo kila mmoja ataoneshwa aliyoyachuma kwenye maisha yake na atalipwa kwayo. La kujiuliza, tumejitayarishaje kwa siku hiyo?
7
13
73
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Girls lunch date... kupanga mipango ya maendeleo na kufanya tathmini ya malengo ya muda mrefu na wa kati.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
3
72
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
24 days
Huwa ninamwambia binti yangu kuwa nami nimeshapitia stage ya maisha ambayo yeye yuko sasa...
Tweet media one
36
3
71
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Uchumi wa buluu... enjoyed experience ya mnadani... sasa nikatafute ndizi na mhogo.. Zanzibar njema!
17
10
68
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
I told myself not to buy books... maybe next time I will listen!
Tweet media one
6
7
69
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Sisi tunaziita karkade pia zinajulikana kama rosela... nilifanya majaribio nadhani zimekubali, inabidi niwe serious nazo... ufugaji wa konokono wa kaka @MalemboLE siuwezi! Basi hata maua yanishinde?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
11
68
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Alhamdulillah kwa wiki mpya! Na iwe wiki ya baraka na neema kwetu sote. Ya Allah! Wape shifaa wagonjwa walio vitandani na mabarabarani. Zipe kinaa nyoyo zetu, tuepushe na utamani unaoletwa na bilisi. Wazidishie hekima viongozi wetu. Amin
15
16
68
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
11 days
Neno la leo...
Tweet media one
7
16
68
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
@RahmaMwita Hata hayo makaburi siku hizi linafukukiwa, mifupa inawekwa pembeni anazikwa mwenzako!
8
5
67
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
10 days
Neno la leo
Tweet media one
1
10
67
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
29 days
Neno la leo...
Tweet media one
4
13
66
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Mungu nipe hekima...
12
13
65
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Ramadhan inakwisha na umri unasogea....Allah atujaalie mwisho mwema. Amin N.B Ramadhan is the best time of the year!
Tweet media one
8
5
65
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Tweet media one
3
6
64
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Bado tuko kwenye sherehe za Mapinduzi...leo nimefika banda la BOT kupata mawili matatu ya uwekezaji na BOND.
Tweet media one
Tweet media two
5
6
61
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Enzi za ukuruta... Tabora. Jeshi akipiga picha lazima akae kijeshi🤣
Tweet media one
15
4
63
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
4 months
Kabla hujanunua hiyo saa,shoes, handbag, jeans, kitenge, shati nk umewahi kujiuliza unavihitaji, unashida navyo au unanunua kwa sababu vinauzwa? Nimeanza kujifunza kuhuku kile wazungu wanakiita minimalism na frugal ... i am enjoying the process... na si ubahili😀
5
4
62
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Kwenye ndoa kwanza kabisa kinachotafutwa ni amani, baadae mapenzi na rehma... sasa waja tumegeuza, tunatafuta mapenzi kwanza... matokeo yake mapenzi yanafifia kabla amani haijatafutwa na huruma inakosekana!
Tweet media one
9
11
62
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
One day nitakuja kuwa na brand yangu ya butter halafu mje mniite freemason!
Tweet media one
14
3
61
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
22 days
Coffee date...
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
5
61
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
6 days
Neno la leo
Tweet media one
1
11
60
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Leo siku yetu...
Tweet media one
8
7
59
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
@Rauftz @moodewji Acha kudanganya! Yaani unataka kusema shirk na uchawi ni afadhali kuliko kumwambia mtu merry Christmas? Unataka kusema kudhulumu nafsi na Mali ya mtu ni bora? Hebu msiutukanishe uislamu kwa uelewa wenu mbaya!
6
2
57
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
3 months
Siku ya Sheria Zanzibar... mwanzo wa mwaka mpya wa Kimahakama. #Uadilifu #Uwajibikaji #Uweledi
Tweet media one
13
9
58
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
18 days
Neno la leo
Tweet media one
2
6
56
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
15 days
Hizi kelele za hivi karibuni zinanikumbusha kisa cha mfalme aliekua na wake 99 na bado akamtamani mke wa generali wake. Akamtuma vitani ili afe na akapata kumuoa mke yule!
16
3
57
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Fridge kwake ni jikoni! Hakuna cha Fridge la vinywaji wala nini... wengi huweka sebleni kwa sababu majiko tunayajenga kama uchochoro!
15
2
56
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Last Friday in this Ramadhan! Subhanallah!
Tweet media one
4
9
55
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
8 days
Neno la leo
Tweet media one
5
11
55
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Tweet media one
4
8
55
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
17 days
Neno la leo
Tweet media one
1
8
55
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Tweet media one
4
11
55
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
1 month
Tweet media one
4
10
54
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
27 days
Neno la leo...
Tweet media one
4
9
54
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Take it easy... no one gets out of this world alive!
Tweet media one
10
6
53
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
5 months
@foungph Unadhani sheria za kiislamu ni quran na sunna peke yake? What about ijmaa, qiyas, ijtihad, urf, maslaha nk?
20
2
53
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
2 months
Leo ni siki ya Kimataifa ya Majaji na Mahakimu Wanawake. Historia inaeleza kuwa haikua rahisi kuwa na watoa hukumu wanawake, na bado sio rahisi. Mbali na jukumu hili kubwa, bado jamii inamtaka jaji/hakimu mwanamke atimize majukumu ya kijamii..
7
9
52
@SalmaAliHassan8
Salma Ali Hassan
7 months
This morning... Zanzibar International Marathon... 5km😃
Tweet media one
5
4
52