Rashid Abdalla
@RashidAbdalla
Followers
58K
Following
162
Media
876
Statuses
19K
TV Presenter |Translator| Motivational Speaker| Station Voice| Journalist| #SisemiKitu Subscribe to my YouTube Channel- https://t.co/SjByWPsqc7
Kenya
Joined June 2011
SATO!!! We bash and enjoy the beautiful game of football. Entertainment starts at 10am, kickoff 3pm. Tukutane Mombasa Sports Club for the launch of the 6th edition RASHID ABDALLAH SUPER CUP 🔥🔥🔥 @LuluHassan @RashidAbdalla
0
4
6
Tabitha Mutinda: Rais Ruto amefungua mlango kwa viongozi wote na huhusisha watu katika mazungumzo ya maendeleo ata wale waliochaguliwa na vyama vingine lakini wakati wengine wao hukataa mwito #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
8
2
12
Enoch Wambua: Sio kazi ya mbunge kuenda kupiga magoti mbele ya Rais kuomba maendeleo. Ukambani ni Kenya na watu hawa wanalipa kodi kwa serikali, hivyo wana haki ya kupata maendeleo #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
8
29
188
Dan Maanzo: Serikali inatumia pesa ya wananchi vibaya; uongozi hauzingatii mambo muhimu. Pesa inapotea kwa ufisadi na mabwenyenye wachache #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
11
5
23
Vincent Kawaya: Kiongozi ahitaji kualikwa kule Ikulu kuteteta haki ya wananchi. Ni lazima ujitume mwenyewe. Ukienda kuwawakilisha watu wako na kung’ang’ania rasilimali si kupiga magoti #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
0
2
13
Enoch Wambua: Sisi kama viongozi wa Mt Kenya South tukae pamoja na tukubaliane jinsi tutakavyo ongoza jamii yetu ndani ya serikali. Tukigawanywa, ina dhoofisha msingi wetu #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
2
4
19
Enoch Wambua: Uchaguzi unaokuja, jina la Kalonzo litakuwa kwa ‘ballot’ kama mgombea wa urais. Kama kuna kiongozi ambaye atapeleka Ruto nyumbani asubuhi 2027, ni Kalonzo Musyoka #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
1
2
37
Wishing Citizen TV journalist @RashidAbdalla a happy birthday and a prosperous year ahead #KenyansBirthday
12
4
89
0
1
1
Mark Mwenje – Mbunge, Embakasi Magharibi: Nairobi lazima iwe na mpango mkuu. Tunahitaji kuleta wataalam tupange jiji tena. Kwa sasa, takataka Nairobi inaondolewa na NYS. #SemaNaCitizen
@RashidAbdalla
0
6
34
Tim Wanyonyi: Nimemwita lakini jamaa haitiki, hata upige simu hashiki…Tumejaribu na tumeshindwa #SemaNaCitizen @RashidAbdalla
12
236
1K