Pichani ni Bw.Jackson Mtui, dereva Bajaji aliyekua anapaki mtaa wa Uhuru na Kongo Kariakoo. Tar.13 September 2023 alipeleka abiria maeneo ya Feri akitokea Kariakoo. Baada ya kumfikisha, wakati anasogeza Bajaji yake kwenye foleni ya kituo, alianguka na kufariki dunia.