NevilleMeena Profile Banner
Neville Meena Profile
Neville Meena

@NevilleMeena

Followers
13K
Following
115
Media
704
Statuses
3K

Former Managing Editor: Mwananchi and Tanzania Daima dailies, Secretary: Editors Forum 2009 - 2021 Best Journalist of the Year 2011 Trainer, Mentor & Consultant

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@NevilleMeena
Neville Meena
15 days
Dar es Salaam tuna TANESCO na DAWASA, loh tabu kweli kweli
0
0
0
@NevilleMeena
Neville Meena
1 month
Ni vyema mamlaka zetu kutoa majawabu pale zinapotafutwa, badala ya kusubiri kuzungumza baada ya taarifa kutangazwa. Dunia ni KIJIJI.
0
0
2
@Mwabuk2Boniface
Boniface Mwabukusi
5 months
Tutachukua hatua ikitulazimu
64
352
1K
@NevilleMeena
Neville Meena
7 months
Inavyoonekana kwa sasa ni dhambi na haramu kulalamikia utekaji na upoteaji wa watu katika nchi yetu, sad. Mungu atunusuru😭😭😭
3
57
368
@NevilleMeena
Neville Meena
8 months
😭😭😭Mungu akupe pumziko la amani kaka Charles Hillary. What a loss!
0
0
5
@NevilleMeena
Neville Meena
8 months
Breaking News:The Conclave has chosen an American Cardinal Robert Prevost a the new Pope!
0
0
0
@NevilleMeena
Neville Meena
8 months
Moshi mweupe Vatican kuashiria kupatikana kwa Papa mpya anayechukua nafasi ya Hayati Papa Francisco.
1
0
2
@NevilleMeena
Neville Meena
8 months
Tanzia: Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya [93] amefariki dunia leo. Mungu ampe pumziko la amani mzee wetu.
1
2
3
@NevilleMeena
Neville Meena
11 months
Shule za jijini Dar es Salaam zitafungwa kwa siku mbili [2] kwa maana ya kesho Jumatatu na keshokutwa Jumanne [Januari 27 & 28, 2025] kutokana mkutano wa Nishati wa kimataifa utakawashirikisha wakuu wa nchi wapatao 30.
1
1
3
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Miguel Gamond, msaidizi wake Wapewa Thank You Yanga🀚🀚🀚🀚
0
0
6
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Askofu Chediel Elinaza Sendoro wa KKKT Dayosisi ya Mwanga mkoani Kilimanjaro amefariki dunia usiku huu katika ajali ya gari. Gari la Askofu huyo limeharibika vibaya [kama linavyoonekana pichani] na mtoto wake aliyekuwa naye amenusurika.
7
6
32
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Mfanyabiashara Rostam Aziz amelaani mauaji ya aliyekuwa Mjumbe wa Sekretariet ya CHADEMA, Mzee Mohamed Ali KibaoπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
2
0
2
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Hapa kuna ujumbe wa Rais SSH ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM kuhusu mauaji ya Mzee Kibao ambaye ni Kada wa CHADEMA. Pia kuna ujumbe wa Mwenyekiti wa UVCCM, Ndg. Kawaida [ambaye pia ame-repost] ujumbe wa Rais SSH. Alichokiandika Kawaida sasa kuhusu mauaji hayo duh😳😳😳😳
11
5
18
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Katika hili la kuuawa kwa Mzee Kibao, nchi yetu Tanzania; imechafuliwa, imejichafua na imechafuka!!!
0
0
2
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Waovu wametumia Akili mnemba [Artificial Intelligence - AI] kubadili habari ya ukurasa wa mbele wa Gazeti la Mwananchi leo Jumanne Septemba 3, 2024. Wameondoa habari ya aliyekuwa DC Longido na wamepachika uongo kuhusu Odemba, Chadema na Ubalozi wa Marekani nchini.@MwananchiNews
0
10
25
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Zab 118:22 inasomeka hivi: "Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni." πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
0
0
3
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
0
0
0
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
Baadhi ya waandishi wa habari walioko uwanja nanenane Dodoma wako gallery. TV iliyowekwa ili wafuatilie matukio ya hitimisho la maonyesho haionyeshi chochote. Shughuli zinaendelea ambako Mh. Rais Samia anasubiriwa kuhutubia.
1
0
0
@NevilleMeena
Neville Meena
1 year
0
0
0