Nevada
@Nevada_255
Followers
561
Following
14K
Media
504
Statuses
16K
Nov 2008 Arsenal ya Diaby na B52, ikiipiga Man U ya 2008😁
0
0
0
Songambele, Aziz Ali,Wakina Sykes, Rupia, Tambaza etc etc Mchango wao ni mkubwa kuliko wanavyotajwa🔥
Mwanasiasa mkongwe na miongoni mwa wapigania Uhuru wa Tanganyika, Alhaj Mustafa Mohamed Songambele, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam. Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na binti yake Dorah Songambele, ambaye amesema maandalizi ya kuusafirisha mwili wa
1
0
2
Wakuu si mlisema humu ni “kukeke” tuu? Kuna mabadiliko?😂😂
Happy Birthday sweetie 🥰 We ni wapekee sana kwangu, kwani ulipenda kusikiliza mimi pale ambapo nilijitoa kusikiliza wengine, ulipenda kujua yanayonisibu pale nilipokuwa busy kujua ya wengine. Nisiseme mengi Happy Birthday dear Mungu akulinde ❤️🥰
0
0
0
Guys, please don’t stay indoors too much. It’s truly detrimental to your mind and health.
897
10K
72K
@Nevada_255 "Ila in his generation, Dizasta is him" Hicho ndo kitu ndugu mwandishi Wakazi anasindwa kuelewa na hapa ndipo naona kuwa kuna wivu ndani yake
0
1
2
Khaligraph alisemaga upewe kazi Wasafi Media😅 Man, kuna details nyingi sana muhimu unazo 💪 Ila in his generation, Dizasta is him🔥
Hivi DIZASTA VINA anaimba nini hicho cha kufanya Wafuasi wake muone amekuwa Mungu?! Naombeni kufahamu. I AM VERY SERIOUS Mimi binafsi namkubali na nikimsikiliza nasikia UMAHIRI na UBORA wa UANDISHI NA UWASILISHAJI, ila sisikii wala sioni hiyo “JE NE SAIS QUOI” ambayo inafanya
1
0
7
Mtu anaezima simu usiku naona kama hajielewi vile, tabia ya kimiyeyusho kinoma
59
23
477
Content creation means people know half your wardrobe, where you eat, how you brush your teeth, that birthmark only someone you’re dating should know. Zero mystery left.
21
56
584
2
0
0
Lady Jaydee ana miaka 25 kwenye game sasa…! Iconic artist from Tanzania lakini pia ni chanzo cha inspiration kwa wadogo zake ambao tulifata nyayo zake kwenye Sanaa. Familia yetu ina watu wanaupenda muziki na kuujua zaidi yetu sisi lakini wao hawakuufanya. Jide ndiye alidhubutu
12
16
110
Oi, Kuvi-man! Papa Jones akiiona hii, Khali Cartel 6 inakuhusu😁
“Who’s the first to set it? At times my thirst’s pathetic Kuvi one of The Firm, our word’s phonetic At seven digits, first class trips to some I’ll never visit Outlook, remain pessimistic” #kuvifacts #kuvimisuti
1
0
1
ALBUM YA #HAKUNAMATAATAA toka kwa Songa inapatikana kwa njia ya soft copy(whatsapp,email,telegram etc) kwa bei ya Tsh. 10,000/= tu . Ukishafanya malipo utatumiwa ALBUM hii muda huohuo. Namba ya malipo ni 0656337757
1
12
32
Am now an official Chairperson of my own non profit NGO! Nashukuru Mungu, familia, friends kunishika mkono hawsa kwenye safari ya usajili wa NGO! 🙏🙏🙏🙏 Blessings 2025! Sasa kazi zianze rasmi NGO ikiwa daraja la kuwafikia watanzania wote juu ya "ulemavu wa Mtindio wa Ubongo" CP
14
15
120