Unajua we
@kigogo2014
usitufanyiee ivo bana😣 Unajua tulishaachaga kuangalia Taarifa za Habari kitambo. tunakuangalia wew Kama chombo chetu cha Habari vile ujuii tu 😖😖
Chelsea wana Team nzuri kwanzia kocha, benchi la ufundi kikosi na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, yani watatusumbua sana huu msimu
Chakufanya Huyu Tuchel alogwe tu.....
Nashangaa kwanini watu wanakazana kusema Barcelona ni mbovu na sio kusema Man United ndo imekua vizuri saivi??.. Barcelona anamuacha mtu pointi 8 uko na aliyeachwa hizo points 8 alimchapa mtu goli 5 juzi…..
Mpeni ETH sifa zake hizo alaah!😅
Hatimae Ombi Langu la Muda mrefu Leo Napata Majibu Naachaje Kumtumikiaa Mungu naachaje kumuomba Nakumuamini katika Neno Lake Mungu kwenye Maisha Yangu Hajawaii niacha hata Hili Kanijibu😭😭😭 Nashindwa kufurahi naskia kulia Sitokochoka na wala Tusichoke Kumulilia Mungu Popote😭🙏
Kwa huyu Lukaku Chelsea wamelamba zao dume na bado kocha wao anayo akili na maarifa, watatunyanyasa sana huu msimu hawa watu NARUDIA TENA WALOGWE WALOGWE TUTAKOMAAA.........