Millambo® Profile Banner
Millambo® Profile
Millambo®

@Millambo_

Followers
23,506
Following
844
Media
916
Statuses
27,040

I Help Creators & Entrepreneurs Build their Personal Brands and Monetise their Mind: Focus on Solopreneurship, Mind Mastery & Bio Hack!

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Millambo_
Millambo®
3 days
Nina Program ya Kuchukua Vijana 20 Tu, 1. Niwape Intaneti bure + Space. 2. Niwafundishe copywriting 3. Niwafundishe kuandika script za video 4. Niwafundishe kutengeneza maudhui ya video 5. Niwafundishe kusaka wateja na kutoa huduma Kwa Miezi 2: Utalipa Tshs Ngapi?
152
99
645
@Millambo_
Millambo®
1 year
Daktari anayechukiwa zaidi na makampuni ya dawa, chakula na hospitali duniani, Alitibu na kuponya magonjwa yote ikiwemo kansa na kisukari, hadi wenye vipara. Njoo ujifunze namna ya kujitibia kupitia chakula kwa misingi ya Dr. Sebi. RETWEET Wengi Wajifunze.
Tweet media one
149
1K
3K
@Millambo_
Millambo®
10 months
Kama mwanaume kuna mengi ya kujifunza. Kwa bahati mbaya, mengi tunajifunza muda ukiwa umeenda. Haya mambo 10 natamani sana ningeyashika tangu kijana mdogo. Repost Wengi Wajifunze! 🧵
Tweet media one
99
588
1K
@Millambo_
Millambo®
10 months
Ndugu Mwanaume, Ikikupendeza ACHA: 1. Porn 2. Punyeto 3. Pombe 4. Sukari 5. Soda 6. Energy drinks 7. Chips 8. Mafuta ya mbegu 9. Nyama za kusindika 10. Vyakula vilivyochakatwa #Jeshilam2m1
294
227
2K
@Millambo_
Millambo®
2 years
VYUO 50 VYA MTANDAONI UNAVYOWEZA KUSOMA CHOCHOTE BURE...📢 Kusoma na kupata maarifa sio lazima ukae darasani. Sasa hivi unaweza kucheza na Laptop ukiwa zako gheto ukapiga pindi. Hizi hapa sites 50 zitakazokupa madini ya kila aina... 👇 Retweet Iwafikie Vijana wengi 🙏
Tweet media one
84
1K
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
Energy Drinks msiba wa watu wa chini. Kama bado unakunywa energy drinks, soma hii. Tafiti zinaonesha khali ni mbaya sana. LiKE na ReTWeeT Wengi Wajifunze 🙏 🧵
Tweet media one
159
386
1K
@Millambo_
Millambo®
15 days
Uko nao nyumbani au tukuache 😊
Tweet media one
138
122
1K
@Millambo_
Millambo®
10 months
Watu Wengi Hawajui Namna ya Kuweka MALENGO na Kufikia Ndoto zao. Miaka 5 iliyopita, nilifanya maamuzi magumu ya KUJIKOMBOA. Na huu ndio MSINGI Uliobadili maisha yangu. Hii ni RATIBA YANGU YA SIKU, ukiweza kuifata Utajikomboa pia. Retweet Wengi Wajifunze 🙏 🧵
Tweet media one
110
473
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
Sheria 40 Mwanaume Anapaswa Kuziishi😎 Kama bado mvulana, achana nazo. 🧵Time 📢 RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
133
624
1K
@Millambo_
Millambo®
8 months
Kama una Imani haba, USITAZAME video hii. Itazame ukiwa sober 🤔
230
547
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
Unajua kwanini WAJAPANI Wanaishi Miaka Mingi sana Duniani? Japan ina idadi kubwa sana ya Centenarians, yaani watu wenye umri wa miaka 100 na kuendelea. SIRI 9 za WaJapan kuishi umri mrefu ambazo zitabadili maisha yako 👇 LiKE na RETWEET Wajifunze Wengi. 🧵
Tweet media one
100
613
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
Moja ya SIRI Kubwa aliyotuachia Dr. Sebi ni UPONYAJI unaopatikana kwenye vyakula vya ASILI - Alkaline. Njoo tujifunze TIBA hii ya ASILI. Utapata pia ORODHA nzima ya vyakula ambavyo ni alkaline. RETWEET Wengi Wajifunze. 🧵
Tweet media one
54
579
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
Kwanini WAHINDI WALIOPANGA Kariakoo na Upanga ndio Wanamiliki Uchumi? Mambo 7 ya kujifunza kutoka kwa Wahindi. RETWEET Wengi Wajifunze 🙏 🧵...
Tweet media one
105
282
1K
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu mwanaume, Ukitongoza au ukipata mwenza, Hakikisha kaiona hii video. A Must Watch 😷
128
528
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
NAMNA YA KUAGIZA MZIGO ALIBABA A-Z 💡 Based on True Story... Hapa nakupa process nzima A-Z. 🧵Full Madini... (Part 2) RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
53
555
1K
@Millambo_
Millambo®
1 year
SHERIA 20 ZITAKAZOKUSAIDIA KUDEAL NA NDUGU IPASAVYO😎 Moja ya Changamoto kubwa ni namna ya kuishi na ndugu. Yako mengi ya kujifunza. Hizi hapa nondo 20 zitakusaidia kupunguza stress. RETWEET Wengi wajifunze... 🙏 🧵📢
Tweet media one
64
380
1K
@Millambo_
Millambo®
11 months
Tabia 20 Zinazokufanya Dhaifu kama Mwanaume😎 Retweet, Wana Wajifunze. 🧵 1. Kuangalia picha za utupu.
Tweet media one
95
308
986
@Millambo_
Millambo®
1 year
Jamii inawachukulia poa na kuwadharau Baba Levo na Mwijaku. Sikatai, kuna kila sababu ya kuwasema vibaya. Nimekuletea hapa MAMBO 10 ya kujifunza namna ya KUJIBRAND kutoka kwa hawa majamaa. Nikuombe tu, RETWEET wengi wajifunze.
Tweet media one
92
162
967
@Millambo_
Millambo®
1 year
Achana na Mkongo. 😎 Fanya haya Mambo 8 KUJITIBIA na KUPONA kabisa Nguvu za Kiume. Wanaume tumeumbwa na ka-ego fulani. Kuna mambo yanayotugusa na kutuumiza lakini hatutataka kuyazungumzia. Ndo tulivyo Siri hizi 8 zitakusaidia KUPONA na kuwa FIT 24/7 Retweet Wajifunze Wengi 🙏
Tweet media one
59
401
963
@Millambo_
Millambo®
1 year
HIZI ni Video 10 kutoka YOUTUBE zitakazobadilisha MAISHA yako zaidi ya degree ya miaka 4. Madini time...🧵 RETWEET Iwafikie Wengi 🙏 📌 #10 will blow your mind
18
534
943
@Millambo_
Millambo®
1 year
Addictions 7 Zinayokufanya kuwa Mwanaume DHAIFU. UZI...🧵 RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
77
244
914
@Millambo_
Millambo®
9 months
Sikuwahi kujua madhara makubwa ya sukari kwenye mwili wa mwandamu mpaka nilivyotazama Documentary ya Mexico na Cocacola. Aisee, kama hauna matambiko na soda, achana nazo. Soda ni mbaya. Nenda itazame YouTube.
67
110
902
@Millambo_
Millambo®
1 year
GMO Teknolojia Inayoliacha Bara la Afrika Tegemezi na Omba omba. Utakuwa umewahi kusikia vyakula vilivyoboreshwa kupitia teknolojia ya Genetically Modified Organisms (GMO). Je, GMO ni Baraka au Laana? LIKE na RETWEET Tujifunze!
Tweet media one
114
343
899
@Millambo_
Millambo®
1 year
Sentensi 15 zitakazokupa maisha na kukufikisha mbali⁉️ Kwako mwanume... 🏋️‍♂️ Like na Retweet 🙏 🧵
Tweet media one
33
253
866
@Millambo_
Millambo®
1 year
Kama Umefikisha Miaka 20, Soma Hii Kabla Hujachelewa. Miaka 20 – 30 ni miaka ambayo mara nyingi hupita bila kujua. Ni miaka ambayo inaweza kukutengenezea maisha bora au kuyazika kabisa. Haya mambo 13 ya kukuamsha na kukupa nguvu ya KUKOMAA. 🧵 LIKE na RETWEET Wote Tujifunze.
Tweet media one
56
349
844
@Millambo_
Millambo®
9 months
POTEA KWA MIEZI 6: 1. Mrudie Mungu 2. Kamua sana tizi 3. Jifunze kuona maono yako 4. Jenga nidhamu 5. Kula kwa afya 6. No porn & punyeto, 7. No betting 8. No soda & energy 9. Ishi na malengo yako 10. Jifunze ujuzi mpya 11. Jifunze ushawishi #Jeshilam2m1
61
232
847
@Millambo_
Millambo®
1 year
Kwanini Usinywe JUISI YA MATUNDA ya Kutengeneza Mtaani au Nyumbani 😎 Utakuwa umewahi kusikia, SUKARI ni adui namba 1 wa afya. Si ndio 🙅‍♂️ Sasa, nimekuelezea kwa lugha nyepesi kabisa. Kwanini juisi ya kutengeneza pia sio nzuri kwa afya yako. 🧵📢 RETWEET Wajifunze wengi 🙏
Tweet media one
77
214
829
@Millambo_
Millambo®
1 month
Ni mwanafunzi, ana mtaji wa 1M, afanye biashara gani? Tumshauri!
Tweet media one
197
47
812
@Millambo_
Millambo®
1 year
Kwako Mwanaume, Dondoo 10 zitakazokusaidia kufanikiwa kimaisha na kutoyumbishwa. Maisha yanazidi kuwa magumu na dunia inazidi kuwa ngumu zaidi upande wako. Retweet. 🧵
Tweet media one
99
300
791
@Millambo_
Millambo®
8 months
Miaka 10 iliyopita 🔨 Bariadi 📍 Nikinunua pamba, Mungu ni mwema sana. Tukomae!
Tweet media one
35
20
789
@Millambo_
Millambo®
5 months
POTEA KWA MIEZI 6 🫡 1. Kula kwa afya 2. Kamua sana tizi 3. Say No to betting 4. Jenga nidhamu 5. Jifunze ushawishi 6. No soda & energy 7. Jifunze ujuzi mpya 8. No porn & punyeto 9. Ishi na malengo yako 10. Jifunze kuona maono yako + Mrudie Mungu #Jeshilam2m1
56
200
783
@Millambo_
Millambo®
8 months
HII HAPA ORODHA VYA VYAKULA VYOTE VYA ALKALINE KWA MUJIBU WA DR. SEBI. Dr. Sebi aliujua ukweli na kuutumia kuponya watu wengi duniani. Hi indo maana halisi ya Chakula Dawa. Bookmark & Repost 🫡 📕...Kupata Kitabu cha Dr. Sebi, Link ipo mwishoni... ➡️Msingi wa Tiba Ya Dr.
Tweet media one
45
416
752
@Millambo_
Millambo®
1 year
Moja ya changamoto kubwa inayowakumba vijana wengi ni kushindwa kujiambia ukweli. Mambo 10 ya kukusaidia kujitafakari na kubadili kabisa maisha yako. ReTweeT Wengi Wajifunze. 🧵
Tweet media one
44
257
738
@Millambo_
Millambo®
4 months
Binadamu Hujafa Hujaumbika 🙏 Mwanamke wa miaka 31, nesi mwenye roho ya upendo na kipekee ambaye maradhi yamemuandama mpaka kupoteza tumaini la kuishi na kurudi kwenye kuokoa afya za Watanzania wenzake. Anaitwa MARIAM MAPINDA, kutoka Bariadi Simiyu. Anapigania maisha yake kwa
Tweet media one
Tweet media two
81
439
727
@Millambo_
Millambo®
2 months
Hivi unawezaje kutengeneza generational wealth? Ukapanda mbegu kwa watoto na wao wakaja kuzalisha kuliko wewe. Tukawa tuona zile: Since 1892. Wahindi na Warabu wanawezaje?
Tweet media one
65
50
707
@Millambo_
Millambo®
8 months
WAHINDI Ndio Wanaongoza kwa Kupanga Kariakoo na Upanga, Kivipi Wanamiliki Uchumi⁉️ Mafunzo 07 kutoka kwa tabia za Wahindi. Chukua kadhaa, tumia zitakusaidia... Repost Wengi Wajifunze! 1. Hawajengi, wanapanga zaidi. Wanaacha pesa iwe kwenye biashara. Maisha ni kupanga na
Tweet media one
99
216
676
@Millambo_
Millambo®
10 months
Kwa miaka takribani 5 nimesoma na kujifunza mengi juu ya mafanikio na umasikini. Nimebaini SABABU 10 zinazowafanya wachache kufanikiwa na wengi kuzidi kuwa masikini. 🧵 Repost Wengi Wajifunze!
Tweet media one
34
304
664
@Millambo_
Millambo®
8 months
Alitibu wenye Ukimwi, Alitibu wenye cancer, Alitibu wenye vipara, Alitibu wenye kisukari, Alitibu wenye pressure, Alitibu wasiopata watoto. Wamarekani walitaka kumfunga kwa kujitangaza kuponya Ukimwi. Wakamwambia athibitishe. Wakampeleka mahakamani. Akapeleka mahakamani
48
327
667
@Millambo_
Millambo®
9 months
Prof. Janabi, Vile SUKARI Inakumaliza ⚠️
43
315
672
@Millambo_
Millambo®
8 months
HATUA 8 ZA KUBADILI MAISHA YAKO KIBABE 🫡 Ukiufuata huu mkeka, UMETOBOA! Bookmark Na Share Na Wana! 1. Potea na uwekeze kichwani mwako. Unahitaji kuadimika kwa muda na uingie chimbo. Jifue. Soma kozi, vitabu, audio n.k Usishindane na mtu kuwa bora zaidi ya jana. 2. Fanya
Tweet media one
65
335
672
@Millambo_
Millambo®
9 months
Siku utakayokuja kujua kuwa upo peke yako ndo siku utabadili maisha yako. Duniani hakuna anayejali. Kila mtu yupo busy kusukuma yake. Usiposhtuka, unaachwa. Hakuna anayekuja kukuokoa. Sio serikali, marafiki au ndugu. Ni wewe na maisha yako. KOMAA. #Jeshilam2m1
30
153
664
@Millambo_
Millambo®
1 year
Mafanikio yako, yanaanzia KICHWANI🧠 Kutoboa kupo tu, ila sio kwa kila mtu. Ili kufikia level unayoitaka ya maisha lazima ubadili namna unavyowaza. Mafunzo 8 namna MIND yako inavyoweza kukusaidia au kukudidimiza. Like na RETweeT Wengi Wajifunze. 🧵
Tweet media one
48
273
630
@Millambo_
Millambo®
6 months
Kama Unakosa Motivation, Tizama hii🧠 Be Inspired!
11
179
638
@Millambo_
Millambo®
2 months
Kitu inaitwa TV nilifunga nyumbani kwangu. Watoto waombe kitabu chochote kile watakipata. Ving'amuzi vitakuwa vinaharibika sasa kwa kutowashwa na kukosa subscriptions. Kila nikipitia haya maamuzi yangu huwa najipongeza. Kwa kweli sijawahi kujutia. Upuuzi unaoendelea kwenye
Tweet media one
Tweet media two
172
78
637
@Millambo_
Millambo®
1 year
Ukweli mchungu ambao kila kijana unatakiwa kuujua na kuuishi. 🧵 wa Maisha. RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
68
277
616
@Millambo_
Millambo®
10 months
Msikilize huyu jamaa 😎
107
211
619
@Millambo_
Millambo®
1 month
Acha kuperuzi mtandao. Weka simu chini chap. Andika malengo ya miaka 5. Andika malengo ya miaka 3. Andika malengo ya mwaka 1. Andia malengo ya miezi 6. Weka malengo ya miezi 3 Weka malengo ya mwezi, wiki na kila siku. Hutakuwa kama jana. #SIKU100ZAUHURU
21
169
624
@Millambo_
Millambo®
9 months
Vitu vya kumfundisha mwanao; -Mungu -Mazoezi -Kujipikia -Kuongea mbele za watu -Kununua na kuuza -Kushona nguo zake -Kufikiria kabla kutenda -Kurekebisha vitu nyumbani -Asili ya wanadamu -Kuwa mtu wa shukrani -Kuomba msamaha -Kucheza mpira -Kurusha ngumi
30
172
610
@Millambo_
Millambo®
1 year
UKIFANYA MAMBO HAYA 11 Kwa MWEZI 1 utakuwa binadamu USIYEKAMATIKA...💯 UZI...🧵 RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
41
240
599
@Millambo_
Millambo®
10 months
Ndugu Mwanaume, Kula sana: 1. Tikiti maji 2. Parachichi 3. Tangawizi 4. Asali 5. Saumu na kitunguu maji 6. Komamanga 7. Mboga za majani 8. Protini bora 9. Karanga i.e Korosho, almond
24
136
599
@Millambo_
Millambo®
11 months
Formula ya Kubadili Maisha yako Ndani ya Miezi 6 Pekee 🫡 Kwenye kufanikiwa hakuna ujanja ujanja. Unahitaji kuishi kimakusudi kwa kujua maisha yako A-Z. Hii hapa formula itakayokusaidia kubadili maisha yako. RETWEET Wengi Wajifunze! 🧵
Tweet media one
35
299
589
@Millambo_
Millambo®
8 months
UNAWEZA KUDHANI UMEROGWA 😷 Kama wewe una DALILI hizi HUTOBOI👇 Soma na uchukue hatua kabla kujachelewa... Bookmark na Repost Iwasadie Wengi! ✔️ Ukitaka kufanya jambo kuna KISAUTI ndani kinakwambia acha, huwezi hii. ✔️Ukiona fursa unachukua muda mrefu kutafakari
Tweet media one
57
323
591
@Millambo_
Millambo®
1 year
The World is not Fair…👨‍⚖️ Kwenye hii Dunia Unaweza Kuwa na Haki, lakini bado Ukapigwa tu. Haya hapa mambo 11 ya vijana kujifunza kwenye sakata la Fei Toto. UZI…🧵 RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
70
149
584
@Millambo_
Millambo®
2 months
Mambo 22 Ambayo Mwanaume wa Thamani Hatakiwi Kuyafanya Kamwe: #SIKU100ZAUHURU 1.Gambling 2.Kula sausages 3.Kutumia sukari 4.Kunywa Energy 5.Kulewa pombe 6.Kupiga punyeto 7.Kununua malaya 8.Kuchangisha mahari 9.Kula bidhaa za ngano 10.Kula kuku wa kisasa 11.Kuwa na
Tweet media one
170
164
570
@Millambo_
Millambo®
7 months
Miaka 5 sasa bila kunywa soda 😎 Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya. Nikasoma vitabu vingi sana, lakini kimoja kilichonivutia sana na ni Cha Pure White and Deadly by John Yudkin. Huyu mwamba ameeleza kwa uchungu mkubwa vile sukari na
Tweet media one
155
142
561
@Millambo_
Millambo®
9 months
NAMNA 20 YA KUWA NA CONFIDENCE ZAIDI📌 🧵 1. Kataa bila kujielezea sana.
22
154
556
@Millambo_
Millambo®
5 months
Unajua Wewe Ni Nani? Hili huwa swali la muhimu sana ninapomfanyia mtu coaching ya personal development. Wewe ungejibu vipi hapa? Tupe madini...
Tweet media one
194
56
544
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu mwanaume, Kadri unavyozoea raha nyepesi ndivyo unazidi kuwa dhaifu. KATAA: 1. Porn 2. Punyeto 3. Betting 4. Junk foods 5. Energy drinks 6. Pombe 7. Matokeo ya harka JIFUNZE: -kuzoea msoto -kuvumilia -kufanya kila siku -Kuwa na malengo ya muda mrefu. #Jeshilam2m1
52
87
534
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu Mwanaume: Mpende sana mwanamke wako LAKINI: - Usioneshe huwezi bila yeye - Mara moja moja usitabirike - Mara moja moja mshitukize - Kiufupi usiwe nice guy - Mpende lakini Usijipendekeze - Fanya yote, usipotee hapa #Jeshilam2m1
26
104
526
@Millambo_
Millambo®
1 year
NONDO 5 ZA KUISHI NAZO: Hizi zitakusaidia kubadili maisha yako na kufikia level kubwa ya mafanikio. Like Na ReTweet, Wengi Wajifunze! 🧵
Tweet media one
31
188
514
@Millambo_
Millambo®
10 months
"Ingekuwa kutajirika ni rahisi kila mtu angetajirika na Ingekuwa ni rahisi kufaniniwa kila mtu angefanikiwa." Tatizo linakuja: 95% ya watu hawawezi kulipa gharama. Ukifuata haya mambo 10 kwa miezi 3 utakuwa Unstoppable. 🧵
Tweet media one
20
177
501
@Millambo_
Millambo®
7 months
Mwanaume, UKWELI Mchungu Utakaokuweka mbele ya 99% #TUISHINAO 1. Unawajibika 100% kwenye maisha yako. Hakuna wa kumsingizia. Maisha yako ni wajibu wako. 2. Hakuna short cut kwenye maisha. Ukipita mkato utakuja kulipa gharama siku moja. Tafuta kwa haki. 3. Dunia haiko fair,
Tweet media one
34
230
499
@Millambo_
Millambo®
7 months
Mambo 5 KILA Mwanaume Lazima Kuyaishi Akifikisha MIAKA 20. Hakikisha unajifunza kabla ya kuchelewa... Repost Iwafikie Wana 🫡 1. Anayegharamia maisha ndie anaye-control mahusiano. Kama unamgharamia utaamua nini avae na nini asivae. Kama unagharamia utaamua nani awe rafiki na
Tweet media one
63
239
500
@Millambo_
Millambo®
10 months
Namna ya kuongeza MUDA wako na productivity: 1. Fanya kazi kwa muda fixed 2. Kuwa na priorities 3. Jifunze kusema hapana. 4. Acha TV na Netflix 5. Weka mpango wa siku 6. Anza na kazi ngumu kwanza 7. Focus kwenye kazi 1 kwa muda 8. Punguza muda wa social media 9. Kuwa
15
156
501
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu mwanaume, Usile breakfast. Save hiyo pesa kwa mahitaji mengine. Hutakufa kwa njaa, bali utaanza kuufunza mwili wako nidhamu na kuishi ipaswavyo. Kadri unavyokula kiduchu ndivyo unakuwa imara zaidi. Punguza milo, kula unapohisi njaa pekee. Kuwa jembe #Jeshilam2m1
64
56
504
@Millambo_
Millambo®
7 months
Kipaji kikubwa cha kuimba, kilichoamua kuwekeza zaidi kwenye komedi. Chard talent 🫡
32
126
488
@Millambo_
Millambo®
9 months
Orodha ya vyakula 13 vya kutoa sumu mwilini: 1. Tangawizi 2. Kitunguu swaumu 3. Limau na ndimu 4. Papai 5. Pera 6. Chumvi ya bahari 7. Binzari 8. Beetroot 9. Supu ya mifupa 10. Parachichi 11. Chai ya kijani 12. Tango 13. Mboga nyingi za majani #jeshilam2m1
25
183
494
@Millambo_
Millambo®
3 months
SIKU '100' ZINATOSHA KUISHI MAFANIKIO YAKO 🫡 Wenye kufanikiwa watajitenga na wasindikizaji. Kwenya maisha kuna aina 2 za watu. 1. Wanaotamani kitu na kukifanya mpaka wafanikiwe 2. Wanaotamani kitu na kuishia kula kwa macho Ndani ya dakika 2 tu utagundua siri itakayokutenga
Tweet media one
81
212
500
@Millambo_
Millambo®
11 months
MAMBO 10 Unayopaswa Kuyafanya ili Kuepuka Magonjwa Mengi Yanayozuilika. RETWEET Iwafikie Wengi. 🧵
Tweet media one
27
182
483
@Millambo_
Millambo®
10 months
KILA MTU ANATAMANI KUFANIKIWA. Tatizo, wachache ndio wako tayari kulipa gharama. Mambo 7 yanayokuchelewesha na SULUHU zake. Retweet Wengi wajifunze! 🧵
Tweet media one
26
170
486
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu Rafiki: Ukiwaza ujinga utakuwa mjinga, Ukiwaza shida – zitamiminika zaidi, Ukiwaza betting- Utabet mpaka uzeeni, Ukiwaza punyeto – Mpaka nguvu za kiume zitakuishia, Ukiwaza negativity – Utakuwa negativity. KUJIKOMBOA, FANYA HIVI: Waza mishe zako – Utapata suluhu na
39
137
485
@Millambo_
Millambo®
6 months
Ushauri 10 wa kuzingatia kama ningerudi miaka 10 nyuma 🧠 1. Shuleni unatakiwa uwe bora zaidi kwenye mambo ambayo hayapewi kipaumbele kufundishwa darasani. 2. Chuo ndo sehemu pekee ya kujenga network na kutafuta watu wa kukuingiza kwenye system an ecosystems. 3. Copywriting
Tweet media one
43
202
472
@Millambo_
Millambo®
1 year
Mwaka 2013 nikiwa Afiza Ugavi na Mdhibiti Ubora wa Pamba huko Simiyu... Mungu ni Mwema 🙏
Tweet media one
@amrisaly
AMRI IFX
1 year
Let's go on a trip down memory lane! Quote this tweet to share your favorite #Throwback experience! I'll start with mine. I can't wait to relive those wonderful memories with you all!
3
10
69
17
2
475
@Millambo_
Millambo®
1 year
Umezaliwa ukiwa nyuma kwa 3 BILA, ni half time na unatakiwa kupindua matokeo. Tumekuwa kwenye familia ambazo tunasikia: .Uhaba (Scarcity) .Bahati mbaya .Madeni .Njaa .Mikopo .Shida .Njaa .Mikopo isiyolipika n.k. RETWEET - Wengi wapindue meza. 🧵
Tweet media one
31
181
472
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu Mwanaume, Ikikupendeza Kumbuka: "HAKUNA DAWA YA NGUVU ZA KIUME" ...Watakuibia pesa zako. ...Watakulisha hata miti isiyoliwa. ...Watakupakaa mkongo. ...Utatumia blue pills. ...Utakunywa kila michanganyiko. LAKINI WAPI. UKITAKA KUPONA: ...Kata unywaji wa soda,
46
95
469
@Millambo_
Millambo®
6 months
Leo ni tar 11-11-2023... Mwanaume weka haya 11 kwenye kumbukumbu zako: 1. Usikimbize mapenzi 2. Usiforce mapenzi 3. Kuwa nice guy ni suala la muda tu 4. Thamani yako itakupa kila kitu 5. Huwezi kununua upendo 6. Wekeza kwako, Eve atakuja tu 7. Tambua thamani yako 8.
57
136
461
@Millambo_
Millambo®
1 year
Hakuna kitu kigumu kwa kijana kama kupata Wazo la Biashara...🧠 Nimekusogezea hapa ideas kadhaa unazoweza kuanza kupiga hela bila kuwa na mtaji wowote. Mtaji ni simu na bundle tu. Hebu RETWEET ili wengi wasaidike. 🧵📢
Tweet media one
19
207
466
@Millambo_
Millambo®
1 month
Share kitabu chako bora cha muda wote ambacho kimebadilisha mtazamo wako na unatamani kila mtu apate kukisoma ... Mimi ninavyo vingi ... Leo niwape hiki: I K I G A I. Tupe chako...
194
83
466
@Millambo_
Millambo®
6 months
Ushauri wa bure 🤔
23
95
457
@Millambo_
Millambo®
1 year
NAMNA 10 ZA KUJIFUNZA NA KUKUA KILA SIKU... Kila Siku Hakikisha Unayaishi haya... Chapa RETWEET Wengi Wajifunze. 🧵📢
Tweet media one
9
133
441
@Millambo_
Millambo®
8 months
Achana na Mkongo 😎 Fanya haya Mambo 8 KUJITIBIA na KUPONA kabisa Nguvu za Kiume. Wanaume tumeumbwa na ka-ego fulani. Kuna mambo yanayotugusa na kutuumiza lakini hatutataka kuyazungumzia. Ndo tulivyo. Siri hizi 8 zitakusaidia KUPONA na kuwa FIT 24/7 Hutasumbuka tena na
Tweet media one
32
164
446
@Millambo_
Millambo®
2 months
Hii Ndio Dhambi Aliyoifanya Niffer. Dunia inaongozwa na sheria zake. Huwezi kuzikwepa, labda utajidanganya tu. Tangu nimeanza kujifunza ujasiliamali kuna sheria moja tu ya utajiri. 📌Hii inaitwa the Law of Effection. Nayo inasema hivi kadri unavyogusa maisha ya watu wengi
65
123
454
@Millambo_
Millambo®
1 year
Milionea mdogo zaidi Afrika, Sandile Shezi, kafanya yake, watu wamelala na viatu...😂😂 Nakumbuka aliwahi kuja Bongo na kufanya event pale JICC. Credit: @simulizinasauti
46
62
443
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu Mwanaume, Punguza expectations kwenye maisha yako: - Ishi na mwanamke wako ukijua kuwa ni binadamu na lolote linaweza kutokea. - Show up daily kwenye mishe zako bila kuchoka. Punguza matarajio. - Wekeza zaidi kwako, jijenge. Usijibane, itakulipa baadae. #Jeshilam2m1
7
97
440
@Millambo_
Millambo®
1 year
Umewahi kujiuliza kwanini watu wengi hawawezi kuwa Consistent⁉️ Tatizo ni kubwa kuliko unavyodhani. Mambo 7 yatakayokusaidia kuwa na Nidhamu na Consistency ya hali ya juu. Madini Time... 🧵 ReTweeT Wengi Wajifunze.
Tweet media one
20
155
438
@Millambo_
Millambo®
1 year
Siri ulizofichwa kuhusu SUKARI inavyosababisha Magonjwa. "Pure, White and Deadly" ni kitabu kinachochunguzia uhusiano wa SUKARI na changamoto za kiafya. Mwandishi - Prof. John Yudkin - 1988 Nakuletea Mambo 10 ya kujifunza. RETWEET Wengi Wajifunze. 🧵
Tweet media one
19
157
441
@Millambo_
Millambo®
6 months
😎
53
105
440
@Millambo_
Millambo®
7 months
Mwanaume ukiongea: 1. Amini unachosema 2. Punguza umm, aah 3. Kaza sauti, itoke yote 4. Acha mijongeo iso na maana 5. Nyoosha eye contact 5. Ongea kwa zamu 6. Sikiliza kuelewa, sio kujibu 7. Zingatia lugha mwili 8. Hakikisha simu iko mbali 9. Asipokupa zamu ya kuongea,
21
109
432
@Millambo_
Millambo®
5 months
Siri 10 za Kukusaidia Uishi kwa Afya 🧠 1. Kula chakula, acha kula bidhaa. 2. Acha kula sukari ya mezani. 3. Acha kunywa soda na energy drinks. 4. Achana na ngano, gluten inakuharibu. 5. Punguza idadi ya milo. 6. Ukila chakula usiku, mlo wa kwanza kesho uje baada ya saa
41
76
431
@Millambo_
Millambo®
8 months
TABIA 20 ZINAZOKUFANYA DHAIFU NA KUKUDIDIMIZA KILA SIKU 🧠⚠️ Bila Kuzikomesha Hizi, Kutoboa ni Mtiti! 📤Imfikie kila mwanaume! ...Bookmark Na Repost! 1. Kupenda kitonga / Uchawa 2. Kupiga punyeto. Kujinajisi. 3. Kuangalia picha za utupu. Kujinajisi. 4. Kula hovyo hovyo.
Tweet media one
35
206
425
@Millambo_
Millambo®
9 months
SIKU ZOTE: USIKIMBIZE: 1. Pesa 2. Wanawake. 3. Umaarufu 4. Sifa KIMBIZA: 1. Fursa zaidi 2. Elimu zaidi 3. Kuwa wa thamani zaidi. #Jeshilam2m1
14
87
424
@Millambo_
Millambo®
1 year
Sheria 40 za lazima kuishi kwa kijana ili uwe mwanaume kweli. Kama ni mvulana, achana nazo. 🧵Time... 📢 Retweet Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
42
240
426
@Millambo_
Millambo®
9 months
Sheria 15 za Kukusaidia Uishi kwa Afya 1. Kula chakula, acha kula bidhaa. 2. Acha kula sukari ya mezani. 3. Acha kunywa soda. 4. Acha kunywa energy drinks. 5. Punguza idadi ya milo. 6. Ukila chakula usiku, mlo wa kwanza kesho uje baada ya saa 14. 7. Jitahidi kula zaidi
66
115
416
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ndugu mwanaume, Saidia na jitolee sana lakini kumbuka kuwa mbinafsi kwenye mambo yako nyeti. Bila ubinafsi hakuna maendeleo utafanya. Muda, pesa n.k. Watu ambao tumekosa chuma cha ubinafsi, Tunaelewa vile ilivyo ngumu. Lazima ujifunze sifa hii mhimu ili kufanikiwa. Unaweza
34
102
412
@Millambo_
Millambo®
2 months
Kwa mnaokula hii bidhaa, Huwa mnaamini kabisa hii ni nyama kama ya buchani?
Tweet media one
53
32
413
@Millambo_
Millambo®
15 days
Mzee kamaliza kila tu. Sasa wewe kaza fuvu 😂
26
110
417
@Millambo_
Millambo®
9 months
Vyakula 5 viharibifu zaidi kwenye mwili wa mwandamu: 1. Kuku wa kisasa 2. Sukari 3. Mafuta ya mbegu 4. Ngano 5. Soda Badilika, okoa maisha yako. #jeshilam2m1
53
77
412
@Millambo_
Millambo®
9 months
Ukifunga unapata faida hizi: 1. Kupumzisha mfumo wa chakula 2. Kuondoa taka mwinini 3. Kuzalisha homoni mpya
19
60
411
@Millambo_
Millambo®
10 months
Ada ulipe mwenyewe na hizi shida ndogo ndogo ujipange nazo 😂
94
80
406
@Millambo_
Millambo®
13 days
Toka maghetoni: - Anza ile biashara - Piga simu unayoogopa - Uza bidhaa unayoificha - Tengeneza maudhui - Jifunze ujuzi unaolipa - Omba msaada unaotaka - Kuwa mtu unayetamani leo ANZA NA LEO. 🫡
20
95
413
@Millambo_
Millambo®
9 months
Hakuna jambo gumu kama kuweka bajeti. Wengi wanakwama hapa. Fuata formula ya 50 /30 / 20 50: Mahitaji ya lazima: Chakula na tiba 30: Mahitaji yaso lazima: Likizo na mavazi 20: Akiba na Uwekezaji: Nunua assets Kwa mwanzo ni ngumu. Baada ya muda utazoea. #Jeshilam2m1
21
135
406