Nina Program ya Kuchukua Vijana 20 Tu,
1. Niwape Intaneti bure + Space.
2. Niwafundishe copywriting
3. Niwafundishe kuandika script za video
4. Niwafundishe kutengeneza maudhui ya video
5. Niwafundishe kusaka wateja na kutoa huduma
Kwa Miezi 2: Utalipa Tshs Ngapi?
Daktari anayechukiwa zaidi na makampuni ya dawa, chakula na hospitali duniani,
Alitibu na kuponya magonjwa yote ikiwemo kansa na kisukari, hadi wenye vipara.
Njoo ujifunze namna ya kujitibia kupitia chakula kwa misingi ya Dr. Sebi.
RETWEET Wengi Wajifunze.
Kama mwanaume kuna mengi ya kujifunza.
Kwa bahati mbaya, mengi tunajifunza muda ukiwa umeenda.
Haya mambo 10 natamani sana ningeyashika tangu kijana mdogo.
Repost Wengi Wajifunze!
🧵
VYUO 50 VYA MTANDAONI UNAVYOWEZA KUSOMA CHOCHOTE BURE...📢
Kusoma na kupata maarifa sio lazima ukae darasani. Sasa hivi unaweza kucheza na Laptop ukiwa zako gheto ukapiga pindi.
Hizi hapa sites 50 zitakazokupa madini ya kila aina... 👇
Retweet Iwafikie Vijana wengi 🙏
Energy Drinks msiba wa watu wa chini.
Kama bado unakunywa energy drinks, soma hii.
Tafiti zinaonesha khali ni mbaya sana.
LiKE na ReTWeeT Wengi Wajifunze 🙏
🧵
Watu Wengi Hawajui Namna ya Kuweka MALENGO na Kufikia Ndoto zao.
Miaka 5 iliyopita, nilifanya maamuzi magumu ya KUJIKOMBOA.
Na huu ndio MSINGI Uliobadili maisha yangu.
Hii ni RATIBA YANGU YA SIKU, ukiweza kuifata Utajikomboa pia.
Retweet Wengi Wajifunze 🙏
🧵
Unajua kwanini WAJAPANI Wanaishi Miaka Mingi sana Duniani?
Japan ina idadi kubwa sana ya Centenarians, yaani watu wenye umri wa miaka 100 na kuendelea.
SIRI 9 za WaJapan kuishi umri mrefu ambazo zitabadili maisha yako 👇
LiKE na RETWEET Wajifunze Wengi.
🧵
Moja ya SIRI Kubwa aliyotuachia Dr. Sebi ni UPONYAJI unaopatikana kwenye vyakula vya ASILI - Alkaline.
Njoo tujifunze TIBA hii ya ASILI.
Utapata pia ORODHA nzima ya vyakula ambavyo ni alkaline.
RETWEET Wengi Wajifunze.
🧵
SHERIA 20 ZITAKAZOKUSAIDIA KUDEAL NA NDUGU IPASAVYO😎
Moja ya Changamoto kubwa ni namna ya kuishi na ndugu.
Yako mengi ya kujifunza.
Hizi hapa nondo 20 zitakusaidia kupunguza stress.
RETWEET Wengi wajifunze... 🙏
🧵📢
Jamii inawachukulia poa na kuwadharau Baba Levo na Mwijaku.
Sikatai, kuna kila sababu ya kuwasema vibaya.
Nimekuletea hapa MAMBO 10 ya kujifunza namna ya KUJIBRAND kutoka kwa hawa majamaa.
Nikuombe tu, RETWEET wengi wajifunze.
Achana na Mkongo. 😎 Fanya haya Mambo 8 KUJITIBIA na KUPONA kabisa Nguvu za Kiume.
Wanaume tumeumbwa na ka-ego fulani. Kuna mambo yanayotugusa na kutuumiza lakini hatutataka kuyazungumzia. Ndo tulivyo
Siri hizi 8 zitakusaidia KUPONA na kuwa FIT 24/7
Retweet Wajifunze Wengi 🙏
HIZI ni Video 10 kutoka YOUTUBE zitakazobadilisha MAISHA yako zaidi ya degree ya miaka 4.
Madini time...🧵
RETWEET Iwafikie Wengi 🙏
📌
#10
will blow your mind
Sikuwahi kujua madhara makubwa ya sukari kwenye mwili wa mwandamu mpaka nilivyotazama Documentary ya Mexico na Cocacola.
Aisee, kama hauna matambiko na soda, achana nazo.
Soda ni mbaya.
Nenda itazame YouTube.
GMO Teknolojia Inayoliacha Bara la Afrika Tegemezi na Omba omba.
Utakuwa umewahi kusikia vyakula vilivyoboreshwa kupitia teknolojia ya Genetically Modified Organisms (GMO).
Je, GMO ni Baraka au Laana?
LIKE na RETWEET Tujifunze!
Kama Umefikisha Miaka 20, Soma Hii Kabla Hujachelewa.
Miaka 20 – 30 ni miaka ambayo mara nyingi hupita bila kujua.
Ni miaka ambayo inaweza kukutengenezea maisha bora au kuyazika kabisa.
Haya mambo 13 ya kukuamsha na kukupa nguvu ya KUKOMAA.
🧵
LIKE na RETWEET Wote Tujifunze.
POTEA KWA MIEZI 6:
1. Mrudie Mungu
2. Kamua sana tizi
3. Jifunze kuona maono yako
4. Jenga nidhamu
5. Kula kwa afya
6. No porn & punyeto,
7. No betting
8. No soda & energy
9. Ishi na malengo yako
10. Jifunze ujuzi mpya
11. Jifunze ushawishi
#Jeshilam2m1
Kwanini Usinywe JUISI YA MATUNDA ya Kutengeneza Mtaani au Nyumbani 😎
Utakuwa umewahi kusikia, SUKARI ni adui namba 1 wa afya. Si ndio 🙅♂️
Sasa, nimekuelezea kwa lugha nyepesi kabisa. Kwanini juisi ya kutengeneza pia sio nzuri kwa afya yako.
🧵📢
RETWEET Wajifunze wengi 🙏
Kwako Mwanaume,
Dondoo 10 zitakazokusaidia kufanikiwa kimaisha na kutoyumbishwa.
Maisha yanazidi kuwa magumu na dunia inazidi kuwa ngumu zaidi upande wako.
Retweet.
🧵
POTEA KWA MIEZI 6 🫡
1. Kula kwa afya
2. Kamua sana tizi
3. Say No to betting
4. Jenga nidhamu
5. Jifunze ushawishi
6. No soda & energy
7. Jifunze ujuzi mpya
8. No porn & punyeto
9. Ishi na malengo yako
10. Jifunze kuona maono yako
+ Mrudie Mungu
#Jeshilam2m1
HII HAPA ORODHA VYA VYAKULA VYOTE VYA ALKALINE KWA MUJIBU WA DR. SEBI.
Dr. Sebi aliujua ukweli na kuutumia kuponya watu wengi duniani.
Hi indo maana halisi ya Chakula Dawa.
Bookmark & Repost 🫡
📕...Kupata Kitabu cha Dr. Sebi,
Link ipo mwishoni...
➡️Msingi wa Tiba Ya Dr.
Moja ya changamoto kubwa inayowakumba vijana wengi ni kushindwa kujiambia ukweli.
Mambo 10 ya kukusaidia kujitafakari na kubadili kabisa maisha yako.
ReTweeT Wengi Wajifunze.
🧵
Binadamu Hujafa Hujaumbika 🙏
Mwanamke wa miaka 31, nesi mwenye roho ya upendo na kipekee ambaye maradhi yamemuandama mpaka kupoteza tumaini la kuishi na kurudi kwenye kuokoa afya za Watanzania wenzake.
Anaitwa MARIAM MAPINDA, kutoka Bariadi Simiyu. Anapigania maisha yake kwa
Hivi unawezaje kutengeneza generational wealth?
Ukapanda mbegu kwa watoto na wao wakaja kuzalisha kuliko wewe.
Tukawa tuona zile: Since 1892.
Wahindi na Warabu wanawezaje?
WAHINDI Ndio Wanaongoza kwa Kupanga Kariakoo na Upanga, Kivipi Wanamiliki Uchumi⁉️
Mafunzo 07 kutoka kwa tabia za Wahindi.
Chukua kadhaa, tumia zitakusaidia...
Repost Wengi Wajifunze!
1. Hawajengi, wanapanga zaidi.
Wanaacha pesa iwe kwenye biashara.
Maisha ni kupanga na
Kwa miaka takribani 5 nimesoma na kujifunza mengi juu ya mafanikio na umasikini.
Nimebaini SABABU 10 zinazowafanya wachache kufanikiwa na wengi kuzidi kuwa masikini.
🧵
Repost Wengi Wajifunze!
HATUA 8 ZA KUBADILI MAISHA YAKO KIBABE 🫡
Ukiufuata huu mkeka, UMETOBOA!
Bookmark Na Share Na Wana!
1. Potea na uwekeze kichwani mwako.
Unahitaji kuadimika kwa muda na uingie chimbo.
Jifue. Soma kozi, vitabu, audio n.k
Usishindane na mtu kuwa bora zaidi ya jana.
2. Fanya
Siku utakayokuja kujua kuwa upo peke yako ndo siku utabadili maisha yako.
Duniani hakuna anayejali.
Kila mtu yupo busy kusukuma yake.
Usiposhtuka, unaachwa.
Hakuna anayekuja kukuokoa.
Sio serikali, marafiki au ndugu.
Ni wewe na maisha yako.
KOMAA.
#Jeshilam2m1
Mafanikio yako, yanaanzia KICHWANI🧠
Kutoboa kupo tu, ila sio kwa kila mtu.
Ili kufikia level unayoitaka ya maisha lazima ubadili namna unavyowaza.
Mafunzo 8 namna MIND yako inavyoweza kukusaidia au kukudidimiza.
Like na RETweeT Wengi Wajifunze.
🧵
Kitu inaitwa TV nilifunga nyumbani kwangu.
Watoto waombe kitabu chochote kile watakipata. Ving'amuzi vitakuwa vinaharibika sasa kwa kutowashwa na kukosa subscriptions.
Kila nikipitia haya maamuzi yangu huwa najipongeza.
Kwa kweli sijawahi kujutia.
Upuuzi unaoendelea kwenye
Acha kuperuzi mtandao.
Weka simu chini chap.
Andika malengo ya miaka 5.
Andika malengo ya miaka 3.
Andika malengo ya mwaka 1.
Andia malengo ya miezi 6.
Weka malengo ya miezi 3
Weka malengo ya mwezi, wiki na kila siku.
Hutakuwa kama jana.
#SIKU100ZAUHURU
Vitu vya kumfundisha mwanao;
-Mungu
-Mazoezi
-Kujipikia
-Kuongea mbele za watu
-Kununua na kuuza
-Kushona nguo zake
-Kufikiria kabla kutenda
-Kurekebisha vitu nyumbani
-Asili ya wanadamu
-Kuwa mtu wa shukrani
-Kuomba msamaha
-Kucheza mpira
-Kurusha ngumi
Formula ya Kubadili Maisha yako Ndani ya Miezi 6 Pekee 🫡
Kwenye kufanikiwa hakuna ujanja ujanja.
Unahitaji kuishi kimakusudi kwa kujua maisha yako A-Z.
Hii hapa formula itakayokusaidia kubadili maisha yako.
RETWEET Wengi Wajifunze!
🧵
UNAWEZA KUDHANI UMEROGWA 😷
Kama wewe una DALILI hizi HUTOBOI👇
Soma na uchukue hatua
kabla kujachelewa...
Bookmark na Repost Iwasadie Wengi!
✔️ Ukitaka kufanya jambo kuna KISAUTI ndani
kinakwambia acha, huwezi hii.
✔️Ukiona fursa unachukua muda mrefu kutafakari
The World is not Fair…👨⚖️
Kwenye hii Dunia Unaweza Kuwa na Haki, lakini bado Ukapigwa tu.
Haya hapa mambo 11 ya vijana kujifunza kwenye sakata la Fei Toto.
UZI…🧵
RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Mambo 22 Ambayo Mwanaume wa Thamani Hatakiwi Kuyafanya Kamwe:
#SIKU100ZAUHURU
1.Gambling
2.Kula sausages
3.Kutumia sukari
4.Kunywa Energy
5.Kulewa pombe
6.Kupiga punyeto
7.Kununua malaya
8.Kuchangisha mahari
9.Kula bidhaa za ngano
10.Kula kuku wa kisasa
11.Kuwa na
Miaka 5 sasa bila kunywa soda 😎
Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya.
Nikasoma vitabu vingi sana, lakini kimoja kilichonivutia sana na ni Cha Pure White and Deadly by John Yudkin.
Huyu mwamba ameeleza kwa uchungu mkubwa vile sukari na
Ndugu mwanaume,
Kadri unavyozoea raha nyepesi ndivyo unazidi kuwa dhaifu.
KATAA:
1. Porn
2. Punyeto
3. Betting
4. Junk foods
5. Energy drinks
6. Pombe
7. Matokeo ya harka
JIFUNZE:
-kuzoea msoto
-kuvumilia
-kufanya kila siku
-Kuwa na malengo ya muda mrefu.
#Jeshilam2m1
Ndugu Mwanaume:
Mpende sana mwanamke wako LAKINI:
- Usioneshe huwezi bila yeye
- Mara moja moja usitabirike
- Mara moja moja mshitukize
- Kiufupi usiwe nice guy
- Mpende lakini Usijipendekeze
- Fanya yote, usipotee hapa
#Jeshilam2m1
"Ingekuwa kutajirika ni rahisi kila mtu angetajirika na Ingekuwa ni rahisi kufaniniwa kila mtu angefanikiwa."
Tatizo linakuja:
95% ya watu hawawezi kulipa gharama.
Ukifuata haya mambo 10 kwa miezi 3 utakuwa Unstoppable.
🧵
Mwanaume,
UKWELI Mchungu Utakaokuweka mbele ya 99%
#TUISHINAO
1. Unawajibika 100% kwenye maisha yako. Hakuna wa kumsingizia. Maisha yako ni wajibu wako.
2. Hakuna short cut kwenye maisha. Ukipita mkato utakuja kulipa gharama siku moja. Tafuta kwa haki.
3. Dunia haiko fair,
Mambo 5 KILA Mwanaume Lazima Kuyaishi Akifikisha MIAKA 20.
Hakikisha unajifunza kabla ya kuchelewa...
Repost Iwafikie Wana 🫡
1. Anayegharamia maisha ndie anaye-control mahusiano.
Kama unamgharamia utaamua nini avae na nini asivae.
Kama unagharamia utaamua nani awe rafiki na
Namna ya kuongeza MUDA wako na productivity:
1. Fanya kazi kwa muda fixed
2. Kuwa na priorities
3. Jifunze kusema hapana.
4. Acha TV na Netflix
5. Weka mpango wa siku
6. Anza na kazi ngumu kwanza
7. Focus kwenye kazi 1 kwa muda
8. Punguza muda wa social media
9. Kuwa
Ndugu mwanaume,
Usile breakfast.
Save hiyo pesa kwa mahitaji mengine.
Hutakufa kwa njaa, bali utaanza kuufunza mwili wako nidhamu na kuishi ipaswavyo.
Kadri unavyokula kiduchu ndivyo unakuwa imara zaidi.
Punguza milo, kula unapohisi njaa pekee.
Kuwa jembe
#Jeshilam2m1
Orodha ya vyakula 13 vya kutoa sumu mwilini:
1. Tangawizi
2. Kitunguu swaumu
3. Limau na ndimu
4. Papai
5. Pera
6. Chumvi ya bahari
7. Binzari
8. Beetroot
9. Supu ya mifupa
10. Parachichi
11. Chai ya kijani
12. Tango
13. Mboga nyingi za majani
#jeshilam2m1
SIKU '100' ZINATOSHA KUISHI MAFANIKIO YAKO 🫡
Wenye kufanikiwa watajitenga na wasindikizaji.
Kwenya maisha kuna aina 2 za watu.
1. Wanaotamani kitu na kukifanya mpaka wafanikiwe
2. Wanaotamani kitu na kuishia kula kwa macho
Ndani ya dakika 2 tu utagundua siri itakayokutenga
Ushauri 10 wa kuzingatia kama ningerudi miaka 10 nyuma 🧠
1. Shuleni unatakiwa uwe bora zaidi kwenye mambo ambayo hayapewi kipaumbele kufundishwa darasani.
2. Chuo ndo sehemu pekee ya kujenga network na kutafuta watu wa kukuingiza kwenye system an ecosystems.
3. Copywriting
Let's go on a trip down memory lane!
Quote this tweet to share your favorite
#Throwback
experience! I'll start with mine.
I can't wait to relive those wonderful memories with you all!
Umezaliwa ukiwa nyuma kwa 3 BILA, ni half time na unatakiwa kupindua matokeo.
Tumekuwa kwenye familia ambazo tunasikia:
.Uhaba (Scarcity)
.Bahati mbaya
.Madeni
.Njaa
.Mikopo
.Shida
.Njaa
.Mikopo isiyolipika n.k.
RETWEET - Wengi wapindue meza.
🧵
Ndugu Mwanaume,
Ikikupendeza Kumbuka:
"HAKUNA DAWA YA NGUVU ZA KIUME"
...Watakuibia pesa zako.
...Watakulisha hata miti isiyoliwa.
...Watakupakaa mkongo.
...Utatumia blue pills.
...Utakunywa kila michanganyiko.
LAKINI WAPI.
UKITAKA KUPONA:
...Kata unywaji wa soda,
Leo ni tar 11-11-2023...
Mwanaume weka haya 11 kwenye kumbukumbu zako:
1. Usikimbize mapenzi
2. Usiforce mapenzi
3. Kuwa nice guy ni suala la muda tu
4. Thamani yako itakupa kila kitu
5. Huwezi kununua upendo
6. Wekeza kwako, Eve atakuja tu
7. Tambua thamani yako
8.
Hakuna kitu kigumu kwa kijana kama kupata Wazo la Biashara...🧠
Nimekusogezea hapa ideas kadhaa unazoweza kuanza kupiga hela bila kuwa na mtaji wowote.
Mtaji ni simu na bundle tu.
Hebu RETWEET ili wengi wasaidike.
🧵📢
Share kitabu chako bora cha muda wote ambacho kimebadilisha mtazamo wako na unatamani kila mtu apate kukisoma ...
Mimi ninavyo vingi ... Leo niwape hiki:
I K I G A I.
Tupe chako...
Achana na Mkongo 😎
Fanya haya Mambo 8 KUJITIBIA na KUPONA kabisa Nguvu za Kiume.
Wanaume tumeumbwa na ka-ego fulani.
Kuna mambo yanayotugusa na kutuumiza lakini hatutataka kuyazungumzia.
Ndo tulivyo.
Siri hizi 8 zitakusaidia KUPONA na kuwa FIT 24/7
Hutasumbuka tena na
Hii Ndio Dhambi Aliyoifanya Niffer.
Dunia inaongozwa na sheria zake.
Huwezi kuzikwepa, labda utajidanganya tu.
Tangu nimeanza kujifunza ujasiliamali kuna sheria moja tu ya utajiri.
📌Hii inaitwa the Law of Effection.
Nayo inasema hivi kadri unavyogusa maisha ya watu wengi
Milionea mdogo zaidi Afrika, Sandile Shezi, kafanya yake, watu wamelala na viatu...😂😂
Nakumbuka aliwahi kuja Bongo na kufanya event pale JICC.
Credit:
@simulizinasauti
Ndugu Mwanaume,
Punguza expectations kwenye maisha yako:
- Ishi na mwanamke wako ukijua kuwa ni binadamu na lolote linaweza kutokea.
- Show up daily kwenye mishe zako bila kuchoka. Punguza matarajio.
- Wekeza zaidi kwako, jijenge. Usijibane, itakulipa baadae.
#Jeshilam2m1
Umewahi kujiuliza kwanini watu wengi hawawezi kuwa Consistent⁉️
Tatizo ni kubwa kuliko unavyodhani.
Mambo 7 yatakayokusaidia kuwa na Nidhamu na Consistency ya hali ya juu.
Madini Time...
🧵
ReTweeT Wengi Wajifunze.
Siri ulizofichwa kuhusu SUKARI inavyosababisha Magonjwa.
"Pure, White and Deadly" ni kitabu kinachochunguzia uhusiano wa SUKARI na changamoto za kiafya.
Mwandishi - Prof. John Yudkin - 1988
Nakuletea Mambo 10 ya kujifunza.
RETWEET Wengi Wajifunze.
🧵
Siri 10 za Kukusaidia Uishi kwa Afya 🧠
1. Kula chakula, acha kula bidhaa.
2. Acha kula sukari ya mezani.
3. Acha kunywa soda na energy drinks.
4. Achana na ngano, gluten inakuharibu.
5. Punguza idadi ya milo.
6. Ukila chakula usiku,
mlo wa kwanza kesho uje baada ya saa
TABIA 20 ZINAZOKUFANYA DHAIFU NA KUKUDIDIMIZA KILA SIKU 🧠⚠️
Bila Kuzikomesha Hizi, Kutoboa ni Mtiti!
📤Imfikie kila mwanaume!
...Bookmark Na Repost!
1. Kupenda kitonga / Uchawa
2. Kupiga punyeto. Kujinajisi.
3. Kuangalia picha za utupu. Kujinajisi.
4. Kula hovyo hovyo.
Sheria 15 za Kukusaidia Uishi kwa Afya
1. Kula chakula, acha kula bidhaa.
2. Acha kula sukari ya mezani.
3. Acha kunywa soda.
4. Acha kunywa energy drinks.
5. Punguza idadi ya milo.
6. Ukila chakula usiku,
mlo wa kwanza kesho uje baada ya saa 14.
7. Jitahidi kula zaidi
Ndugu mwanaume,
Saidia na jitolee sana lakini kumbuka kuwa mbinafsi kwenye mambo yako nyeti.
Bila ubinafsi hakuna maendeleo utafanya.
Muda, pesa n.k.
Watu ambao tumekosa chuma cha ubinafsi,
Tunaelewa vile ilivyo ngumu.
Lazima ujifunze sifa hii mhimu ili kufanikiwa.
Unaweza
Vyakula 5 viharibifu zaidi kwenye mwili wa mwandamu:
1. Kuku wa kisasa
2. Sukari
3. Mafuta ya mbegu
4. Ngano
5. Soda
Badilika, okoa maisha yako.
#jeshilam2m1
Hakuna jambo gumu kama kuweka bajeti.
Wengi wanakwama hapa.
Fuata formula ya 50 /30 / 20
50: Mahitaji ya lazima: Chakula na tiba
30: Mahitaji yaso lazima: Likizo na mavazi
20: Akiba na Uwekezaji: Nunua assets
Kwa mwanzo ni ngumu.
Baada ya muda utazoea.
#Jeshilam2m1