Picha, frame 1: back in the days maisha yananipiga, washkaji wananifungia vioo, najiona kama sina bahati, mfukoni patupu, hapo sijawahi kushika hata 300k ya kwangu
Picha, frame 2: alhamdulillah living a life i prayed for, kila kitu kimebadilika, nlikuwa na big vision but i never…