MichaelMwebe
@MichaelMwebe
Followers
105K
Following
34K
Media
4K
Statuses
61K
Faith || Family || Football ||
๐น๐ฟ ๐บ๐ฌ ๐ฐ๐ช ๐ฟ๐ฆ
Joined January 2013
In the Gabonese national team, a defender is nicknamed "Paul Biya" for his long tenure with the national team. ๐ฌ
37
269
966
Ofa ya pesa nzuri mezani unaichukua au unasubiri mchezaji aende kwenye mashindano makubwa?
๐๏ธ ๐๐๐ด๐ผ ๐๐ฟ๐ผ๐ผ๐ ๐ผ๐ป ๐ ๐ฏ๐ฒ๐ธ๐ฒ๐๐ฒ๐น๐ถ ๐ ๐ฏ๐ผ๐ธ๐ฎ๐๐ถ'๐ ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐๐ณ๐ฒ๐ฟ ๐๐ผ ๐๐ต๐ถ๐ฐ๐ฎ๐ด๐ผ ๐๐ถ๐ฟ๐ฒ: "I don't think it's the right move [for him]. "But I know what happened, a woman who is his agent and think she knows football is doing what many agents are doing
3
0
38
Mwenda kawekwa benchi na Kapombe muda wote aliokuwa Simba. Kapombe hakuitwa kwenye mechi ya Iran, Mwenda akapata nafasi ya kuanza alichokifanya wote tulikiona. Hajakabwa anarudisha mpira bila sababu-tukafungwa kizembe. Unaposhindana namba na mkongwe fanya kweli ukipata nafasi.
@MichaelMwebe Mwaka gani huo?
2
0
43
Ushindani ni mdogo eneo la kipa wa Taifa Stars. Manula akiamua anarejesha namba haraka. Hatuhitaji kupiga kelele arejeshwe Stars wakati anawekwa benchi na Zuberi Foba pale Azam. Manula haihitaji PR wala self interest kucheza Stars, namba yake ipo but he has to earn it.
7
4
112
Mzize alikuwa na watu mbele yake tena karibu na 18 kabisa lakini akafanya maamuzi ya haraka. Huyu ambaye angepasiwa yuko nyuma...zaidi ya mita 50 kama huoni hiki basi ni wazi kuwa unaongea after the fact. Mabao bora mara nyingi yanatokana na uamuzi wa haraka wa mfungaji.
Haya ni matukio tofauti kabisa mkuu. Mzize hakukuwa na mtu aliyekuwa Kwenye nafasi nzuri zaidi, hivyo aliamua kutandika shuti. Huyu kijana wako alikuwa kwenye nafasi ya kufanya touch bora zaidi kuliko alichoamua kufanya. Tunaita kazi bure. Ni ubora ni matokeo sio mchakato
2
0
16
Hata Mzize asingefunga hapa tungesema maamuzi ya hovyo kwa sababu alikuwa na options za kupasi. Kafunga kapewa tuzo ya Bao Bora la Mwaka. Baada ya tukio, kila mtu ni genius.
@MichaelMwebe Haina maana hiyo miguso kama mguso wa mwisho ni wa hovyo. Hakuna tofauti na kutongoza wanawake na hakuna kitu unafanya
3
0
40
Every time I see arial views of Peter Mokaba Stadium I get mad cos it was initially meant to be fully roofed but money got chowed and only one side was roofed. I hope one day its construction will be completed cos it will be one beautiful stadium.
The attendance at the Peter Mokaba stadium in South africa this evening For a League Cup Final Match is impressive. Orlando Pirates vs Marumo Gallants.
54
430
2K
Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako. Kila la kheri @HimidMao pamoja na kikosi cha Azam.
2
3
59
Afrika Magharibi ni wazee wa shughuli ngumu. Kuna nyakati pale Chelsea na Man City, mambo yakiwa magumu Essien na Toure walikuwa wanachukua sheria mkononi. Toure alikuwa anapita kati kama vile ana mapanga.
BREAKING: A group of soldiers appeared on Beninโs state TV, announcing they had dissolved the government in what appears to be a coup in the West African nation.
6
6
74
Mohamed Bajaber scores with his very first touch on his Simba debut.
1
5
121
Mchakato wa mabadiliko umetimiza miaka 9 bila kukamilika. Ni Danadana za 'Mapendekezo', Marekebisho' ' Thamani ya klabu'. Hii imekuwa tamthlia ya iSidingo.
Tumeanza kutumia SGR kabla ya mchakato wa mabadiliko ya Simba na Yanga kukamilika. Ukiona 'vijikesi' vinaibuka tambua jahazi halijafika Ufukweni.
5
6
70
.Mama kafunga safari kwenda kwenye graduation ya mwanae aliyeuwawa kwenye maandamano kavaa joho kwa ajili ya kijana wake.๐.
48
153
716
Hii jezi ya Yanga kama yale maharage ya Bukoba yanayoitwa kainja.
5
0
71