
George Mfanando πΉπΏ
@Lyonwalker_
Followers
1K
Following
231K
Media
201
Statuses
9K
π Helping youth & people with SRH, HIV & mental health. π ICT Expert & Public Health Advocate, Cure Fellow '24. π‘ Empowering change. Letβs connect.
Tanzania
Joined September 2020
SkyConnect at #THS2025 β Who Is Who. π Waone Who Is Who @ THS 2025.π Jifunze jinsi ubunifu unavyobadili maisha Tanzania. #THS2025 #SkyConnect #DigitalHealth #Innovation #aiforgood
0
4
10
RT @Lyonwalker_: Finding Hope: My Journey at the Advocacy for HIV Cure Academy (Kigali, Rwanda)
0
8
0
Kila kiongozi huanzia mahali. Kwa kijana mtaalamu kwenye sekta ya afya Tanzania, hapo ni YOCAB 2025. Jifunze. Jiongoze. Badilisha jamii. π JNICC, Dar es Salaam | .π 1β3 Oktoba.β³ Mwisho: 15 Julai.π #YOCAB2025 #THS2025 .#TanzaniaHealthSummit
0
4
7
π₯ Je, kituo chako kiko tayari kwa SafeCare?.Ungana nasi kwenye webina kujifunza viwango vinavyoboresha ubora wa huduma!. ποΈ 25 Juni 2025.π 8:00 Mchana.π Jiandikishe: #AfyaBora #SafeCareTanzania #UHC.#THS2025
0
4
7
RT @Lyonwalker_: Ungana nasi kwenye SMART 5 SESSION.Tarehe 20 Juni.Tutaangazia: βNafasi ya Vijana katika Kutetea Ufadhili Endelevu kwa Afyaβ¦.
0
4
0
RT @Lyonwalker_: Doctors with Africa CUAMM watakuwepo #THS2025. NGO ya muda mrefu barani Afrika, wanaoongoza kuboresha mifumo ya afya na kuβ¦.
0
5
0
Doctors with Africa CUAMM watakuwepo #THS2025. NGO ya muda mrefu barani Afrika, wanaoongoza kuboresha mifumo ya afya na kusaidia walio hatarini. Usikose maonyesho yao maalum π 1β3 Oktoba, JNICC Dar es Salaam. #TanzaniaHealthSummit #UbunifuAfya #THS2025
0
5
10
An opportunity is available for all Advocates and Peer Educators. !.
ππΏ Are you an #HIV #advocate or peer educator working in a country with limited resources for HIV cure research?. IAS & @HIVpxresearch are pleased to announce applications are open for the 2025 Advocacy-for-Cure Academy!. π Learn more & apply by 29 June:
0
1
2
#DeadlineExtended.CHIA Innovation Awards 2025. Una wazo bunifu la kubadili afya? π‘Omba kabla ya 18 Juni.π wasilisha & Tambulika kwenye #THS2025 .π(1β3 Okt,.πJNICC Dar). π #CHIA2025 #UbunifuAfya #THS2025
1
3
6
RT @Lyonwalker_: Habari Njema! Muda wa kuwasilisha abstract umeongezwa!. π Jiunge na viongozi 2,500+ wa afya katika #TanzaniaHealthSummit20β¦.
0
4
0
RT @Lyonwalker_: #DeadlineExtended.Je, unamjua shujaa wa afya anayestahili pongezi?. Wape heshima wanayostahili kwa kuwapendekeza kwenye Heβ¦.
0
6
0
Tanzania sio tu tunapambana, tunasonga mbele kwa speed ya maana! Hizi takwimu ni ushahidi kuwa juhudi za afya ya umma zina matokeo. VVU, TB, na Hepatitis β tunazikaba koo moja moja mpaka zishindwe! π.SALUTE Kwa @wizara_afyatz Na #wadau wote.
#HABARI Serikali kupitia Wizara ya Afya imepiga hatua ya kupunguza magonjwa ya kuambukiza ikiwemo kiwango cha maambukizi ya VVU kwa watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi kutoka asilimia 4.7 mwaka 2016/17 hadi asilimia 4.4 mwaka 2022/23 ikiwa ni mwelekeo sahihi wa kutokomeza
0
0
1
Aisee, huu ni upotoshaji mbaya sana. Huwezi kumtambua mtu mwenye VVU kwa vidoti miguuni, hiyo ni Stori za mitaa bila msingi wowote wa kisayansi. Hatuwezi kuruhusu uongo kama huu uendelee kueneza, VVU haionekani kwa macho. Respect kwa Wizara kwa kkanusha. #VVUsioAibu #AfyaNiElimu.
Yule dada aliyesema Unaweza Kumtambua anayeishi na VVU kwa kuangalia vidoti vyeusi kwenye unyayo wa Miguu, Wizara imetoa taarifa ya kukanusha. Soon na yeye ataomba radhi Hadharani kwa Kupotosha Umma.
0
0
1
#DeadlineExtended.Je, unamjua shujaa wa afya anayestahili pongezi?. Wape heshima wanayostahili kwa kuwapendekeza kwenye Healthcare Workers of the Year Awards 2025!.π
Mpendekeze kabla 18 Juni.ππ Washindi watatambuliwa rasmi kwenye #THS2025 (1β3 Oktoba
0
6
8
RT @Lyonwalker_: Deadline Extended to June 18!.Hey changemakers! Got research, a health innovation, or know a health hero?. π’ Submit your aβ¦.
0
2
0
RT @ahfugandacares: Stay winning, stay undetectableβοΈ.Taking your medication on time everyday, just as prescribed by your health worker keeβ¦.
0
13
0
Habari Njema! Muda wa kuwasilisha abstract umeongezwa!. π Jiunge na viongozi 2,500+ wa afya katika #TanzaniaHealthSummit2025.π JNICC, Dar es Salaam .π 1β3 Oktoba.β³ Muda mpya: 18 Juni 2025. Tuma kazi yako sasa: #THS2025 #Afya #Utafiti #InspireChange
0
4
5
Ungana nasi kwenye SMART 5 SESSION.Tarehe 20 Juni.Tutaangazia: βNafasi ya Vijana katika Kutetea Ufadhili Endelevu kwa Afya ya Uzazi na VVU.β. Jiunge nasi kwa mjadala muhimu!.π Jisajili hapa: #UwezeshajiWaVijana #AfyaYaUzazi #VVU #Utetezi
0
4
4