Kanze Dena Mararo, CBS, EBS Profile Banner
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS Profile
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS

@KanzeDena

Followers
266,454
Following
190
Media
209
Statuses
5,064

Nairobi, KE
Joined October 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Hekima ni kukaa na waliokutangulia na wenye busara, upate kuelewa mkondo... @PressSec @WhiteHouse
Tweet media one
227
616
4K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
2 years
Tweet media one
77
89
3K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
2 years
Tweet media one
176
331
2K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Leyla Mohammed, msichana wa umri wa miaka 13 alipata nafasi ya kuimba mtindo mpya wa 'Wimbo Wa Historia' na kuwapa wengi waliohudhuria sherehe ya leo muda wa kutafakari jinsi mashujaa wetu walivyojitoa mhanga enzi za kale #Mashujaa2018 #KenyaMbele
Tweet media one
Tweet media two
72
218
2K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Tweet media one
150
112
2K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta aitakia kila la kheri timu ya raga katika mchuano wa Kombe la Dunia la Raga la wachezaji saba kila upande 2018, mjini San Francisco, USA. Timu hiyo iliondoka leo alfajiri. @Ukenyatta @KenyaSevens @WorldRugby7s #RWC7s #Shujaa
Tweet media one
84
183
1K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta ameondoka nchini kwa ziara rasmi huko Washington DC, nchini Marekani, ambapo atafanya mashauri na Rais @realDonaldTrump kuhusiana na masuala mbali mbali ikiwemo biashara na usalama katika eneo hili.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
127
253
1K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Furaha iliyoje kukutana na mkunga aliyekua kwenye zamu siku ambayo Rais @Ukenyatta alizaliwa mwaka wa 1961. Bi Fredah Shibonje alihudhuria sherehe ya #MashujaaDay2018 leo mjini Kakamega na kupata fursa ya kukutana na Rais Kenyatta. Tunamuenzi shujaa huyu. #KenyaMbele
Tweet media one
Tweet media two
47
173
1K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Kenya 🇰🇪 iko tayari kuzindua safari za ndege za moja kwa moja, kutoka Nairobi hadi New York🇺🇸, Jumapili hii. Hatua hii kubwa itaisaidia nchi hii kuipanua sekta ya utalii na vile vile kukuza biashara na uwekezaji #KQDirectFlight
66
342
1K
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
3 years
Uplifting mellow sounds from the lakeside; when God shows up He shows off! Lochni obi. Nyasaye Marahuma by Eunice Ogoma. Dressed by Ellen Design. #Kisumuvybes #35thmanenos
Tweet media one
84
61
990
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
President @UKenyatta is set to address the Nation tomorrow following consultations on the VAT matter with the leadership of the National Assembly.
218
366
882
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta amewasili mjini Washington DC kwa ziara rasmi ya kipekee ambapo atafanya mashauri na Rais @realDonaldTrump wa Marekani na vile vile kukutana na wakuu wa makampuni mashuhuri nchini humo kwa lengo la kuitangaza Kenya kuwa kituo bora kinachostahili kwa uekezaji.
Tweet media one
Tweet media two
56
158
748
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
President @UKenyatta has today asked the National Land Commission to revoke the allocation of the Kibarani dumpsite land to a private developer and hand it back to the County Government of Mombasa.
61
156
645
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Mheshimiwa Rais @UKenyatta kwa mwaliko wa Rais @realDonaldTrump atatembelea nchi ya Marekani kwa ziara rasmi mnamo tarehe 26 Agosti mwaka huu.
47
142
627
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta Jumapili jioni alikutana na kufanya mashauri na mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William Arthur, ambaye alimtembelea katika Ikulu ya Nairobi @KensingtonRoyal #EndWildlifeCrime
Tweet media one
Tweet media two
71
93
616
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta na mkewe Bi Margaret Kenyatta. Rais amevaa sare rasmi ya sherehe ya Wanajeshi wa Kenya, inayojulikana kama 'Red Tunic'. @FirstLadyKenya | #KenyaAt55 #JamhuriDay
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
80
534
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta aidhinisha Sheria ya kuondoa asimilia15 ya ushuru kwa watakaonufaika na ujenzi wa nyumba za bei nafuu @UKenyatta
Tweet media one
Tweet media two
39
112
515
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta awasili Beijing kuhudhuria mkutano kati ya viongozi wa Africa na China. #FOCAC2018 #AfricaChina
Tweet media one
33
62
517
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru asisitiza kujitolea kwake katika kuhakikisha kwamba raslimali za umma zinatumika ipasavyo bila kufujwa. Aliongeza kusema kwamba kamwe hata rudi nyuma katika vita dhidi ya ufisadi na akawataka Wakenya wamuunge mkono katika vita hivyo ili Kenya liwe taifa la kuheshimika.
Tweet media one
Tweet media two
244
80
485
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Hongera timu yetu #HarambeeStars kwa ushindi wa leo. Bila shaka uwezo wa kufuzu kwa kombe la #AFCON2019 tunao!
12
49
439
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Afueni kwa Wakenya huku Rais Kenyatta akipendekeza kupunguzwa kwa asilimia 50 ushuru wa ziada wa thamani kwa bidhaa za petroli.
Tweet media one
105
63
413
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta ametoa onyo kali kwa wazazi, walimu na wanafunzi watakaohusika na wizi wa mitihani ya kitaifa. Huku akikashifu tabia hii potovu, rais Kenyatta amesema kua wazazi na walimu watakaohusika na tendo hilo watafungwa jela.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
29
62
408
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Waliotoa idhini kwa ujenzi katika maeneo ya chemichemi za maji watachukuliwa hatua ~Rais @UKenyatta
Tweet media one
Tweet media two
32
93
374
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta atoa ahadi kushughulikia changamoto wanazopitia wafanyibiashara wadogo katika soko zetu. Baada ya miezi miwili atakutana nao tena kukadiri hatua zilizopigwa | #SMEconference2018 #SMEroundtable
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
30
91
361
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
89
102
354
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta leo alishuhudia kutiwa saini kwa mikataba miwili ya kibiashara ambayo itawezesha makampuni mawili ya Marekani kuwekeza katika miradi ya dola milioni 238 nchini. #KenyaUSrelations | @BCIU
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
85
342
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta na Rais Alain Berset washuhudia kutiwa saini kwa mkataba wa FRACCK utakao hakikisha kuwa mali iliyofichwa Uswizi imerejeshwa nchini ikiwemo Sakata ya Anglo leasing. @UKenyatta @alain_berset
24
64
342
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
It was uplifting to be back to @HopeOnAir and join Rodah Kidula, George Gichuru and Jackton Omusi in one of my favorite praise and worship songs, Ndio Yako by @gloriamuliroke
34
38
349
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Mkutano wa viongozi hao wawili unalenga kukuza uhusiano bora kati ya Kenya 🇰🇪 na Marekani 🇺🇸, hasa katika kuimarisha ushirikiano katika nyanja muhimu kama vile usalama, biashara na uekezaji na ushirikiano baina ya watu wa nchi hizi mbili.
21
61
325
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta atoa risala za rambirambi kwa familia ya mheshimiwa Henry Obwocha. Alimtaja marehemu kama mtu aliyejitolea katika utendakazi wake kama mtumishi wa umma. Mungu awape faraja Jamii na marafiki. Ni Salama.
18
44
310
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta amepongezwa na mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa shirika la Umoja wa Mataifa kwa juhudi zinazoendelea kukomesha ufisadi na uhalifu wa kiuchumi nchini @UKenyatta @ECA_OFFICIAL @SongweVera
Tweet media one
13
60
312
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
I am happy to join my fellow Kenyans this morning to celebrate #MashujaaDay2018 . This is a great occasion to bring all of us together in creating a peaceful and prosperous Kenya. #KenyaMbele
Tweet media one
Tweet media two
19
55
291
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
2 years
Tweet media one
33
43
285
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Ndege ya @KenyaAirways ya safari ya kwanza ya moja kwa moja, kutoka Nairobi🇰🇪hadi New York🇺🇸 imewasili salama kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa #JFK . Bila shaka Kenya imefanya hatua kubwa sana itakayochangia ukuzaji wa uchumi #KQDirectFlight #KQNBONYC
19
37
282
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Viongozi wa eneo la #Magharibi mwa Kenya na wanachama wa chama cha @WiperMovement watoa kauli yao ya kuungana na Rais @UKenyatta katika kuendeleza maendeleo katika taifa la #Kenya na kuwachana na siasa za ukabila kwa manufaa ya wakenya.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
47
277
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta atangamana na baadhi ya washikadau katika hoteli ya Villa Rosa Kempinski alipofungua rasmi kongamano la Africa50 jijini Nairobi. @UKenyatta
Tweet media one
Tweet media two
11
38
279
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Kongamano la sayansi na teknolojia la ng'oa nanga huku rais akitoa changamoto kwa wanasayansi na wavumbuzi kuwa mstari wa mbele katika kutoa suluhisho ya baadhi ya matatizo yanayozonga taifa la Kenya @UKenyatta
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
42
268
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
My statement during a Press Briefing at State House, Mombasa on 15th November, 2018
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
44
265
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Hii leo Rais Kenyatta alitangamana na wanafunzi walio katika mpango wa Rais wa kuwanasihi wanafunzi PURES katika Ikulu ya Nairobi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
26
40
264
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais Uhuru Kenyatta yuko ofisini kwake na anaendelea na kazi ya kustawisha Taifa na kuinua maisha ya Wakenya. Sio lazima aonekane kila siku hadharani. @radiomaisha
158
71
242
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Tunapowaenzi mashujaa wetu, tutafakari na kutilia maanani maneno haya yaliomo kwenye wimbo wetu wa taifa: "Natujenge taifa letu, ee ndio wajibu wetu...Tuungane mikono pamoja kazini, kila siku tuwe na shukrani." #MashujaaDay2018 #KenyaMbele
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
48
244
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Naungana na wanariadha katika kumuomboleza Nicholas Bett ambaye ni bingwa wa mwaka wa 2015 katika mbio za mita 400 kuruka viunzi, na ambaye amefariki kutokana na ajali ya barabarani huko Lessos. Mwenyezi Mungu aifariji familia, ndugu na marafiki wa shujaa huyu ~Rais @UKenyatta
Tweet media one
17
51
243
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Leo asubuhi Rais @UKenyatta atafungua rasmi kongamano la sayansi na teknolojia katika jumba la KICC Nairobi @AMB_A_Mohammed
17
36
244
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta atazindua mpango wa Afya Bora kwa Wote Decemba tarehe moja. Mpango huo utakaozinduliwa katika Kaunti nne za kwanza unanuia kutoa huduma za afya za hali ya juu na za bei nafuu kwa Wakenya wote. #Big4Agenda #AffordableHealthcare
Tweet media one
12
52
236
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
1 month
@Goddie_Ke FAKE NEWS is the enemy of the people.
30
63
246
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Kenyatta akutana na wabunge,viongozi wa shirikisho la wafanyikazi nchini COTU, kujadili swala la ujenzi wa nyumba kwa bei nafuu @UKenyatta
Tweet media one
15
33
236
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta amesema hatatia saini Mswada unaopendekeza nyongeza ya marupurupu kwa wabunge. Rais ametoa wito kwa viongozi hapa nchini kujali na kuyapa kipaombele maslahi ya wananchi badala ya kutafuta mbinu mpya za kujitajirisha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
41
236
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta ahudhuria harusi ya Dan na Naserian na kuwatakia kila la kheri katika maisha yao ya ndoa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
32
224
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta amepeleka risala za rambi rambi kwa familia za wanafunzi wanane kutoka shule ya msingi ya St. Gabriel, iliyoko Mwingi, waliokufa katika ajali ya barabarani iliyotokea jana usiku.
21
20
218
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
President @UKenyatta directs Agriculture CS Mwangi Kiunjuri to track down rogue traders and bring them to book. The President says all maize farmers must be paid their dues for maize delivered to NCPB #MashujaaDay2018 #KenyaMbele
Tweet media one
24
40
207
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta azidi kutoa wito kwa wazazi kuwapa watoto wao nafasi ya kutumia talanta na ujuzi walionao ili wafaulu maishani. Rais amesema serikali itahakikisha watoto ambao hawatakuwa na alama zinazofaa shule za upili watapata nafasi katika vyuo vya ujuzi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
43
208
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Leo kwa ushirikiano na mkuu wa uhusiano mwema wa shirika la ndege la @KenyaAirways tuliwakabidhi tikiti Evans na Shirlene. Ni baadhi ya vijana ambao wamejitoa kimasomaso kujiajiri na kuajiri.Watakuwa miongoni mwa abiria wataoenda jijini New York tarehe 28 Oktoba #KQDirectFlights
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
37
211
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Kenya imekuwa mshirika muhimu miongoni mwa nchi wanachama wa #IGAD katika utaratibu wa kurejesha amani na uthabiti katika taifa hilo changa la barani Afrika kwa imani kwamba amani na uthabiti nchini humo vinachangia ufanisi wa eneo hili lote.
Tweet media one
Tweet media two
15
31
209
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Baadhi ya abiria walioabiri ndege ya @KenyaAirways iliyofanya safari yake ya kwanza ya moja kwa moja kutoka uwanja wa kimataifa wa JKIA, Nairobi 🇰🇪 hadi ule wa #JFK , New York 🇺🇸. Ilikua ni fursa kubwa kwao kushuhudia historia hii ya kipekee #KQDirectFlight #KQNBONYC
Tweet media one
13
34
199
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
To those men & women whose efforts and sacrifices gifted us independence from colonial rule and imperialism, and those who advanced the cause of democracy, and those who uphold the rule of law, on behalf of the entire Nation I express our eternal gratitude ~H.E @UKenyatta
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
30
194
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Jana, Rais @UKenyatta alishuhudia kutiwa saini kwa mkataba wa makubaliano kuhusu maswala ya uongozi na usalama yanayokusudiwa kurejesha amani katika taifa la Sudan Kusini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
39
197
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta atangamana na Wananchi walioabiri treni ya kisasa ya SGR kutoka Nairobi kuelekea Mombasa. Wananchi walimwelezea Rais jinsi treni hiyo imerahisisha usafiri kati ya miji hiyo miwili. Rais aliwatakia wasafiri hao heri njema ya Krisimasi na mwaka mpya wenye mafanikio.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
22
193
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Valentine Nemparnat mwanafunzi wa darasa la 8 kutoka kaunti ya kajiado, kwa niaba ya watoto wa Kenya,alimkabidhi Rais Kenyatta orodha ya mahitaji yao.Rais alikuwa katika hafla ya ufunguzi wa makao makuu ya World Vision katika kanda ya Afrika Mashariki huko Karen.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
37
188
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Ungana nami tarehe 13 Jumatatu ijayo katika @radiomaisha saa mbili asubuhi, nitakapokuwa nikiangazia mikakati iliyowekwa na Serikali ili kufanikisha Nguzo Nne za Ajenda Kuu ya Maendeleo ( #Big4Agenda ) kwa manufaa ya kila mwananchi.
26
41
178
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
The Speaker of the National Assembly @SpeakerJBMuturi has today the 13th of September, delivered the Vellum on The Financial Bill (National Assembly Bill No. 20 of 2018) for consideration by President @UKenyatta .
25
88
174
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
"Pongezi @EliudKipchoge . Umefaulu, umeandikisha historia na tunajivunia Kenya. Ushindi wako leo, utawapa motisha maelfu ya vizazi vijavyo kuwa na maono makubwa na kuwaza makubwa. Tunajivunia na kusherehekea ushindi wako, na tunakutakia baraka zake Mwenyezi Mungu" ~Rais Kenyatta
Tweet media one
Tweet media two
7
27
165
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Kenyatta atamatisha ziara yake rasmi nchini Marekani huku akitoa ujumbe kwamba Afrika iko huru kwa biashara na uekezaji kwa manufaa yake na mataifa mengine ya ulimwengu.
8
28
165
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta na Mama wa Taifa Bi Margaret Kenyatta waanda karamu ya watoto katika Ikulu ya Nairobi. Watoto walipata fursa ya kuzungumza na Rais na Mama wa Taifa, na pia kushiriki michezo, na shughuli mbalimbali za burudani. @FirstLadyKenya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
19
169
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Kenyatta awatuza maafisa wa polisi tuzo la Rais la HSC,(Head of State Commendation) katika Ikulu ya Nairobi. @UKenyatta @FredMatiangi @JBoinnet
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
24
163
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
"Kuendeleza umoja, ukuzaji wa uchumi, kuhakikisha Wakenya wote wanapata huduma za hali ya juu, kuongeza ajira kwa vijana na kuekeza kwenye miundo misingi ni baadhi ya mambo ninayoyapa kipao mbele", Rais @UKenyatta asema alipozungumza na @richardquest .
Tweet media one
9
22
156
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta amezindua meli ya MV Doria ambayo itatumika kwa shughuli za ulinzi wa baharini. Kenya inaendelea kuwekeza katika matumizi mwafaka ya raslimali za majini ili kuchangia vilivyo kwenye ustawi wa uchumi. #kenyaCoastGuard
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
28
148
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
9 years
What an awesome morning! Met an artist I admire and love. I am over the moon 😊 #DreamzComeTrue http://t.co/jxfu1i6L8T
Tweet media one
32
23
142
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta amewapongeza magavana kwa azma yao ya uwekezaji kupitia raslimali tofauti nchini na kwa mipango yao ya ustawishaji wa uchumi wa baharini. Rais amewarai magavana kushirikiana kuhakikisha Wakenya wote wananufaika kutokana na uwekezaji mwafaka. #LREBInvestmentCon2018
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
25
132
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Ushirikiano Kati ya Kenya na Uswizi umechangia pakubwa maendeleo nchini haswa katika sekta ya afya. Ziara ya Rais Berset inanuwia kuimarisha zaidi uhusiano na kuthamini namna ya kushirikiana katika agenda kuu nne nchini @UKenyatta @alain_berset @ForeignOfficeKE
Tweet media one
13
21
140
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta amewahamasisha Wakenya kujiepusha na siasa zinazotenganisha na badala yake kuzingatia umoja na amani. Rais amesema maendeleo na uwekezaji mwafaka katika nchi hii utaafikiwa iwapo Wananchi wataungana na kuchangia katika mikakati ya amani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
18
139
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta ametoa hakikisho kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na washika dau mbalimbali ili kukabiliana na ufisadi vilivyo. Rais amesisitiza kuwa yuko kwenye mstari wa mbele kuliongoza Taifa katika mikakati mbalimbali ya kuangamiza janga hili #TuangamizeUfisadi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
24
139
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta ametoa onyo kwa wanaokwepa kulipa ushuru, akisema kuwa watachukuliwa hatua kali. Rais pia amewaonya maafisa wa tume ya ukusanyaji ushuru nchini, KRA, wanaotumia nafasi zao za hadhi kuchangia ukwepaji ushuru na kujitajirisha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
20
134
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta ahutubia kongamano la Umoja wa Mataifa na kugusia swala la Ufisadi analolipigia upatu #UNGA73
15
14
135
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta ameagiza Wizara ya Kilimo kuidhinisha NCPB kununua gunia milioni 2 za mahindi kutoka kwa wakulima kwa bei ya 2,500 kwa kila gunia. Rais amesema nchi ina mahindi ya kutosha kufuatia mavuno ya gunia milioni 46 mwaka jana na kwa hivyo bei ya unga haitarajiwi kupanda.
Tweet media one
11
23
127
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta leo asubuhi alishuhudia kufunguliwa kwa mtihani wa darasa la nane katika shule ya msingi ya Uhuru Gardens, Nairobi. Rais Kenyatta aliwapa motisha wanafunzi na kuwahakikishia kuwa wote watapata nafasi ya kujiunga na shule za upili. #KCPE2018
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
22
126
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
4 years
Sisi sote kama Wakenya inatubidi tuwajibike kwa manufaa ya nchi yetu. Jinsi ambavyo wimbo wetu wa Taifa unavyoturai "Natujenge Taifa letu, ee ndio wajibu wetu, Kenya yastahili heshima, tuungane mikono pamoja kazini, kila siku tuwe na shukrani" | @RadioCitizenFm #JamboKenya
Tweet media one
Tweet media two
15
16
124
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais asema Kenya itafungua Ubalozi mjini Bern, Uswizi mwezi Oktoba. Hatua itakayo imarisha uhusiano wa Kenya na Uswizi na kuendeleza biashara na utalii. @UKenyatta @alain_berset
8
21
123
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta amewahakikishia wakulima wa miwa nchini kuwa madeni yao yatalipwa kupitia akaunti zao binafsi. Rais amesema atafanya mkutano na viongozi wa maeneo yanayokuza miwa ili kutafuta suluhu mwafaka ya shida zinazokumba sekta ya sukari.
Tweet media one
Tweet media two
5
17
121
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais aungana na jamaa na marafiki katika kanisa la Holy family Basilica kwa misa ya marehemu Henry Obwocha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
16
113
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
3 years
Tweet media one
33
23
104
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Uhuru Kenyatta leo ametoa maagizo makali kwa Dkt. Francis Otieno Owino, Katibu mpya wa Kudumu wa masuala ya vijana aliyeteuliwa hivi karibuni, arekebishe na kuboresha Huduma ya Taifa kwa Vijana (NYS).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
16
111
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Serikali imeweka mikakati tofauti kuhakikisha kwamba fedha za umma zinatumiwa kwa njia inayostahili. Akitilia mkazo utoaji wa huduma bora kwa Wakenya, Rais @UKenyatta amesisitiza kuwa ufujaji wa mali ya umma lazima ukome.
26
19
109
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta leo jioni atafanya mahojiano ya runinga kutoka Ikulu ya Mombasa. Mahojiano hayo yatapeperushwa moja kwa moja kwenye vituo vya runinga vya @KBCChannel1 , @K24Tv , @CitizenTvKenya , @NTVKenya na @KTNKenya kuanzia saa moja unusu usiku. #PresidentRoundtableKe
15
23
107
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
4 years
EXECUTIVE ORDER NO.2 of 2020: NATIONAL EMERGENCY RESPONSE COMMITTEE ON CORONAVIRUS ISSUED AT STATE HOUSE, NAIROBI ON 28TH FEBRUARY, 2020.
61
56
101
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Serikali ya Mauritius🇲🇺 imeondoa vikwazo dhidi ya mazao ya kilimo kutoka Kenya. Vikwazo dhidi ya parachichi, karoti changa, maharagwe machanga na broccoli viliondolewa wakati wa mashauriano kati ya Rais Uhuru Kenyatta🇰🇪 na mwenyeji wake Waziri Mkuu Pravind Jugnauth
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
18
104
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais Alain Berset wa Uswizi kufanya ziara rasmi nchini Kenya kuanzia tarehe 9 - 10 Julai 2018 @UKenyatta @alain_berset @ForeignOfficeKE
4
30
102
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Ungana nami kesho asubuhi katika kituo cha redio cha Musyi Fm kuanzia saa moja unusu asubuhi nitakapokuwa nikiangazia mikakati iliyowekwa ili kufanikisha nguzo nne za Ajenda Kuu ya Maendeleo ( #Big4Agenda ) kwa manufaa ya kila mwananchi, vita dhidi ya ufisadi na ajira kwa vijana.
Tweet media one
17
10
99
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta ametuzwa na Tume ya Muungano wa Africa kwa kufanikisha kongamano la kwanza ulimwenguni, linalohusiana na ustawi na udumishaji wa raslimali za majini. Wajumbe zaidi ya 18,000 kutoka nchi zilizozidi 170 walihudhuria kongamano hilo jijini Nairobi. #BlueEconomyKe
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
21
101
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta na Rais wa Ufaransa Mhe. @EmmanuelMacron washuhudia uzinduzi wa gari la Peugeot 3008 katika Ikulu ya Nairobi. Gari hilo liliundwa na kampuni ya PSA Groupe katika kituo cha kuunda magari cha Kenya Vehicle Manufacturers, mjini Thika. #KenyaFranceRelations
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
17
100
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Huduma hizo zilizo chini ya nguzo ya Afya Bora kwa Wote ya Ajenda Kuu ya Maendeleo, zinanuia kuhakikisha akina mama na watoto wanapata huduma za afya kwa njia nafuu, rahisi na mwafaka. #BeyondZeroMedicalSafari #UniversalHealthCoverage
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
18
97
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Pongezi kwako Kanali (Mst.) Cyrus Odhiambo Oguna kwa kuteuliwa kama Msemaji wa Serikali. Karibu tushirikiane kufanikisha mawasiliano kati ya Serikali na Wananchi.
Tweet media one
Tweet media two
4
16
98
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali kote nchini ili kuhakikisha kwamba wananchi wote wananufaika. Rais amesema Wakenya katika Kaunti zote wana haki ya kupata maendeleo pasipo kuzingatia anakotoka kiongozi wao.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
8
95
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
...na mama zangu @Faridakaroney na Ruth Kagia, pamoja na dada yangu Susan katika kongamano la UNEA-4, Gigiri. Tuwajibike sote katika kutunza mazingira yetu ili tuboreshe maisha na tustawishe nchi yetu na ulimwengu kwa jumla. #SolveDifferent
Tweet media one
Tweet media two
9
10
94
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Rais @UKenyatta ametoa wito kwa viongozi wote kushirikiana na kuchangia mikakati ya kustawisha nchi. Rais amesema njia pekee ya kuwafaidi Wakenya wote ni kutupilia mbali siasa potovu na kujihusisha na maendeleo yatakayokuza uchumi na kuongeza nafasi za kazi kwa wananchi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
9
93
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Kongamano la ustawi endelevu wa uchumi wa majini lililoandaliwa mjini Nairobi limefikia tamati. Viongozi, wajumbe na washika dau tofauti wameahidi kuekeza vilivyo, kushirikiana zaidi, na kutekeleza maazimio walioafikia katika kongamano hilo lililohusisha nchi 183. #BlueEconomyKe
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
14
91
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
6 years
Ziara ya Rais Berset itaangazia ushirikiano katika sekta ya afya haswa mchango wa kampuni za Uswizi za kutengeneza dawa @UKenyatta @alain_berset @ForeignOfficeKE
7
15
89
@KanzeDena
Kanze Dena Mararo, CBS, EBS
5 years
Rais @UKenyatta azindua sarafu za kizazi kipya. Sarafu hizo ambazo zinaanza kutumika leo, ni kwa mujibu wa Katiba, na zinaashiria turathi mbalimbali za Taifa hili. Rais Kenyatta amepongeza Benki Kuu ya Kenya kwa kufanikisha hatua hii muhimu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
21
86