Jr Muhama
@JrMuhama
Followers
370
Following
7K
Media
238
Statuses
3K
“Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Naam, viinueni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia. ” “Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Bwana wa majeshi, Yeye ndiye Mfalme wa utukufu. ” — Zaburi 24:9,10
1
10
28
“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja. ” Mathayo 24:14
0
1
4
Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. ” — Mwanzo 4:10 Matumizi maishani:Usimwage damu ya mwenye haki mbele za Mungu.
0
1
1
Kutoka 20 ³ Usiwe na miungu mingine ila mimi. ⁴ Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. ⁵ Usivisujudie wala kuvitumikia; @MtumwaWaYesu
1
1
3
MWINUE YESU JUU KAMA MFALME AJAYE “Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye. ” — Luka 1:15
0
2
6
“Bwana akamwambia Samweli, Hata lini utamlilia Sauli, ikiwa mimi nimemkataa asiwamiliki Israeli? Ijaze pembe yako mafuta, uende, nami nitakupeleka kwa Yese, Mbethlehemi; maana nimejipatia mfalme katika wanawe. ” — 1 Samweli 16:1
0
1
3
“Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. ” — Mithali 8:13
0
0
0
Tusipo zimia roho,Bwana atatenda kwa wakati,kama alivyo mtendea Sarah akiwa na miaka 90 akapata mtoto.
0
0
1
1Petro2:16 Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu
0
0
2
“Tazama, yamkini watakusanyana; lakini si kwa shauri langu. Watu wo wote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwa ajili yako. ” — Isaya 54:15 Sema Amen,,,.
0
0
0
Wananchi wanalalamika Taifa halitendi HAKI ni muda sasa ila mpaka sasa hakuna majibu,chombo kimoja cha habari kinasimama kuonyesha matatizo yaliyowakumba wananchi,msemaji unakuja kulalamika kuwa HAMJATENDEWA HAKI,sasa elewa hayo ndiyo maumivu watu wanayo yapitia haki ikipotea.
0
0
1
Mungu wetu atajibu
0
0
0
Waefeso 5 ¹⁵ Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima; ¹⁶ mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
0
1
3
Je ukweli tunao uamini na Bwana Yesu Kristo tunable mhubiri kwa wengine vimebadilisha kabisa maisha yetu wenyewe? Asubuhi njema🙏
0
0
2
kwa ajili ya damu iliyomwagwa ndani yake, isipokuwa ni damu ya huyo aliyeimwaga. ” — Hesabu 35:33
0
0
0
Herode aliishi muda mfupi sana baada ya kuamuru watoto wa kiume chini ya miaka miwili wauwawe. “Hivi hamtaitia unajisi nchi ambayo mwakaa; kwa kuwa damu huitia nchi unajisi; wala hapana sadaka itoshayo kwa ajili ya nchi,
1
0
2
“Bwana ataniokoa na kila neno baya, na kunihifadhi hata nifike ufalme wake wa mbinguni. Utukufu una Yeye milele na milele. Amina. ” — 2 Timotheo 4:18
0
0
2