Jizzle Profile Banner
Jizzle Profile
Jizzle

@Jizzlewantandu

Followers
7,955
Following
1,780
Media
1,151
Statuses
232,033

Ee Bwana nakuinulia nafsi yangu//The enemy of my enemy is my friend// Man City💙//Simba Sc// Hala Madrid// ph 4:13//Incauda venenum

Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Jizzlewantandu
Jizzle
4 days
Kindly Repost NYUMBA INAUZWA MTONI KIJICHI 160M ◾Plot no 991/277 Block C ◾Plot size 1200Sqm ◾Title Deed ✔️ ◾Inapatikana na Zahanati ya Mganani & Mara lakini pia imezungukwa na godown nyingi za Wakinga hivyo unaweza kuitumia kama kibiasha 📞 0768832035
1
54
49
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Nini kinakujia kichwani ukimuona huyu Bwana 👇
Tweet media one
453
73
1K
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Maulidi natanguliza shukran za dhati naomba uniblok halafu pia kumanina zako wafikishie na hao wenzako kumanina zao pia. Ahsante mbarikiwe sana
@mshambuliaji
Maulid Kitenge
11 months
BANDARINI DP WORLD HUONI WATU NI MASHINE TU NA UTENDAJI, HUKU HAKUNA RUSHWA! Hafidh Nassoro Mfanyakazi Bandari ya DP World Dubai anasema ukifika bandari ya DP World hutoona wingi wa Watu kwani kazi zote zinafanywa na Mashine hivyo mianya ya rushwa hakuna kabisa. Tazama…
317
54
594
251
140
1K
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Kumanina zake na zako kama kifungashio
@Eric__Bernard
MR BEN
11 months
Neno Moja kwa Spika Bingwa wa Bunge Tulia Ackson!
Tweet media one
128
18
662
253
124
1K
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Nilikuwa offline lakini nimeambiwa kuna challenge haya Retweet kwa donkey like kwa Bao la mkono nishinde hii challange jaman msiniangushe
Tweet media one
Tweet media two
166
2K
1K
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ngorika iliwah kutumia dk 45 kutoka Tanga mpaka Arusha, Je ni Bus gan nyingine yenye kuzid Ngorika?
179
51
842
@Jizzlewantandu
Jizzle
4 months
Kelvin Phillips King wa kufilisi
Tweet media one
Tweet media two
28
105
693
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Msaada dawa ya kuacha hii maana nimeshindwa kabisa
Tweet media one
@professorIV01
G E N I U S
11 months
Sitakuja Nifanye/Kuwa Na Hivi Vitu Kwenye Maisha Yangu 1. Kunywa Pombe 2. Kuvuta Bangi/Sigara/Shisha 3. Kununua Malaya 4. Kupenda Mwanamke Anayenizidi Hela 5. Kuwa Masikini 6. Kuwa Na Kitambi
97
36
418
114
39
678
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Huyu tajiri akiwekeza sheli zake mkoani Singida atashtakiwa na hatapata wateja
Tweet media one
110
55
664
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Kuna Wilaya gani nyingine Tanzania ina Stendi bora kama yetu ya Ikungi? Hongera Mtaturu Mbunge hakika kazi yako tumeiona 👇
Tweet media one
110
71
644
@Jizzlewantandu
Jizzle
8 months
Leo nimeenda TRA kuna kibinti kikaniletea dharau nikakitukana kwa sauti kumanyoko zako mbwa wewe watu wote kimya
59
39
568
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Maisha niliyoyapenda primary ni kumkimbiza mwanafunzi mtoro alafu na mimi natorokea huko huko
45
87
542
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ukiwa mkoa ni ngumu sana kukwepa lunch nimejitahd nimeacha na simu home lakin nimetafutwa mpaka nimepatikana Leo mnisamehe karibuni 😂👇
Tweet media one
111
62
526
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Trh na mwezi kama huu miaka mingi iliyopita baada ya ugumu wa maisha kutuandama zaidi mimi na mchizi wangu tulifanya kikao cha dharura namna ya kukombati ufukara wetu, baada ya kutafta njia zote tukaona ni ngumu wote kwa pamoja tukakubaliana njia nyepesi na ya mwisho kupata👇
132
121
517
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Najua hamtaamin ila ukwel huu mti mwaka 2006 ulikatwa na kampuni ya barabara ya SIETCO kesho yake waukuta umesimama kama mnavyoona hauna hata kidonda👇
Tweet media one
68
59
498
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Vodacom wamepunguza Mb's kwangu tu au kwenu vipi?
59
55
472
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Hivi ndivyo wote wenye kumcha Bwana watakavyobarikiwa naye Good morning chosen people
49
74
480
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Amri mpya nawapa mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi Good morning chosen people
41
66
451
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ee Bwana Mungu nimekuja kwako kuomba toba unipokee Good morning chosen people
73
103
459
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana ameniokoa nilipotembea taabuni amenivika mzima. Good morning chosen people
47
74
447
@Jizzlewantandu
Jizzle
10 months
Hivi mpaka kufika Ikulu ni mwendo wa masaa mangapi mbona inaonyesha huyu bwana anatembea huku analia?
Tweet media one
33
72
465
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mancity hainaga kitu kibovu ebu dondosheni na za kwenu tuzione
Tweet media one
40
45
445
@Jizzlewantandu
Jizzle
8 months
Machawa mnaona system ilivyochange now wazee wameanza kuwarithisha watoto nyie mtabakia kupiga mapambio Tu mbwa nyie
Tweet media one
82
90
443
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Nilivyokuwa Advance nilikuwa nabet mpaka Head Master akaanza kuniomba odds kila weekend na katikati ya week
27
59
425
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Nawakumbusha kuwa Elimu ilikuwa ufunguo wa maisha zaman sasa hivi ni kufuli la maisha
37
62
393
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Huu ndio ni mwanzo wa Ufalme wa Mungu Good morning chosen people
47
68
408
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mimi mtumishi wako nitafurahi kwako Bwana Good morning chosen people 🙏
49
69
383
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Nimeizoea Twitter mpaka nataka kuRt Status za watu Watsap 😂
31
45
385
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Kuna wakati huwa naamin mabinti wengi wanaotumia iPhone ni wamalaya
53
76
380
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana ndiye tegemeo langu na ngome yangu Good morning chosen people
60
90
390
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Hivi ile verse ya Roma mkatoliki inasema mwambieni nimemzaa mpare ila asiwachukie wasukuma alimaanisha nini?
17
35
389
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Siku ile niliyokuita uliniitikia ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu Good morning chosen people
46
70
386
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Huu ndio ni mwanzo wa ufalme wa Mungu Good morning chosen people
58
78
375
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mimi ndimi mtumishi wako nitendewe kama ulivyonena Good morning chosen people
57
93
376
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ile kauli ya ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi ndio nimekuja kuielewa kupitia kigogo, imagine ana followers 900k akitweet anapata like 1 ambayo ni yake
34
47
364
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Manchester City ni club ndogo haina hata mashabiki England 👇
Tweet media one
Tweet media two
60
63
380
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Neno lake Bwana Mungu ni silaha ya mapambano dhidi ya muovu Good morning chosen people
42
69
364
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Serikal ifanye namna ya kuweka kozi ya betting vyuo vikuu pengine naweza lamba dili la Ulekcha
32
55
370
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana ametamalaki ndiye aliye juu kuliko nchi yote. Good morning chosen people🙏
37
55
350
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Kwahiyo Lemutuz alikuwa anashirikiana na Makonda kupora watu magari yao
24
62
352
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mashabiki wa @ManCity tufahamiane tukuze familia kabla ligi haijaanza huku tukiufollow ukurasa wa @ManCitySwahili1
Tweet media one
46
38
345
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Heri waliomfanya Bwana kuwa tumaini lao Good morning chosen people
47
80
357
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana ndiye Mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu. Good morning chosen people 🙏
28
51
355
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Heri kila mtu amchaye Bwana aendaye katika njia zake Good morning chosen people 🙏
40
52
343
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ndipo niliposema tazama nimekuja Bwana kuyafanya mapenzi yako Good morning chosen people 🙏
43
64
343
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Enyi mumtafutoa Mungu mioyo yenu ihuishwe Good morning chosen people 🙏
27
47
346
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ee Bwana Mungu wetu utuokoe sisi watumishi wako Good morning chosen people
43
68
347
@Jizzlewantandu
Jizzle
11 months
Huyu jamaa yetu si aliwahi kuomba mtaji wa 1-3M humu baada ya kusagiwa kunguni na mlawa au tunamsingizia? Mbona anasahau mapema sana
Tweet media one
48
47
359
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Leo nimeongea na dada wa voda huduma kwa wateja tulivyokuwa tunazungumze akanitext akaniambia hiyo ndio namba yangu
30
47
353
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mimi mtumishi wako nitafurahi kwako Bwana Good morning chosen people
60
88
346
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Wewe si ndio yule kijana uliyekuwa unaimba Ifinyie kwa chini mara kwichikwichi na weka mate ileteleze, haya nenda motoni ukakwichikwichi na shetani mbwa wewe
Tweet media one
37
46
351
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bali mimi niutazame uso wako katika tabu niamkapo nishibishe kwa sura yako. Good morning chosen people 🙏
30
61
330
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ulikaza Fuvu et " Education is better than Money" wakati huo huo unafukuzwa hujalipa Ada una akil kweli wewe 😂🚮
27
74
338
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Upendo huvumilia, upendo hufadhili wala hauhusud upendo haustakabali. Good morning chosen people
64
104
330
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Huu usajili wanaoendelea kuufanya Mancity wanataka waje kuomba mechi na Aliens?
23
26
335
@Jizzlewantandu
Jizzle
7 months
TYCS tumenyamaza Sana Ila itafika wakati tutashindwa kuvumilia hiki mnachotufanyia, chadema mjiangalie Sana
Tweet media one
50
54
345
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Kuna mwamba home alibahatika kumuua Chui kwa mkono alimnyonga baada ya hapo jamaa anaogopwa mpaka leo 😂
25
53
342
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Huu ndio ni mwanzo wa ufalme wa Mungu Good morning chosen people
55
61
334
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Pale Wasafi FM kuna huyu ZUNGU binafsi huwa namuona kuwa ndio yupo na wananchi coz mara nyingi huwa anasimama kwenye ukweli
13
48
329
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu Good morning chosen people
58
89
328
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana ni nani atakayekaa katika hema yako Good morning chosen people
58
81
326
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ee Mungu nimekuita kwa maana utaitika utege sikio lako sikia neno langu Good morning chosen people
49
87
329
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Kaa nasi bwana katika neno lako waamin wako Good morning chosen people
65
88
325
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Wauza uji na juice za kutembeza Dar ukiwaungisha siku moja wanaanza kuja kitaani kwako kila siku, ukiamuambia asante anakasirika kama vile ni lazima
38
53
329
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Msanii ambaye naamin hana deni kwenye hadhira yake hapa Bongo ni ROMA hakika kazi yake ameitekeleza
25
55
322
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Jana nimeomba hifadhi kituo cha polisi leo asbh nataka kutoka et wananiambia leo ni siku ya mahakaman nami naunganishwa
36
58
323
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Leseni ya Udereva wa ndege ni bei gani sitaki kununua gari watu wana macho mabaya sana
20
33
298
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Bwana Mfalme ameketi milele atawabariki watu kwa amani Good morning chosen people 🙏
41
54
293
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Maombi yangu na yafike kwako Bwana utege ukelele wangu sikio lako Good morning chosen people 🙏
35
55
295
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ee Bwana uwape amani wakungojao ili wawasadiki manabii wako Good morning chosen people 🙏
36
64
297
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Maombi yangu nayafike mbele zako ee bwana utege ukelele wangu sikio lako Good morning chosen people
47
82
305
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Vodacom mmeona kupunguza data haitoshi mkapunguza mpaka na network jana simu yangu ilisoma E,G, 3G leo naona imeniandikia 3+
34
44
307
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Atukuzwe Mungu Baba aliyetubariki kwa baraka zake katika ulimwengu wa roho Good morning chosen people
38
52
300
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Maombi yenu yafungamane na handle zenu retweet and follow each other
58
64
292
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Njooni tumuimbie Bwana mataifa njooni tumwabudu Bwana kwa kuwa ametuumba sisi ni mali yake Good morning chosen people
43
78
296
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mwigulu tafadhal nakuomba ukafute majina yako kwenye mawe yote pale home maana huchelewi kusema ni ya kwako
33
57
303
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
A special Kumanyoko 4 you binti unayeamini kila mwanaume mweupe ni choko, kuma wewe
@tanztrending
TANZANIA TRENDING
1 year
Dada Kama Mwanaume Wako Ni Mweupe Piga Kelele Na Uelewe Huyo Ni Mke Wa Watu🚮
Tweet media one
Tweet media two
119
27
695
106
22
310
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Jana nimeenda kulala kituo cha polisi kwa kujitolea naamka asubuhi niwahi kwenye mishe zangu naambiwa nitoe hela, kwahiyo hata mtu huna kosa unalipa nini sasa
28
54
293
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Kumbe vocha zimepanda bei kweli aise nilihis wanatania humu 🤔
25
37
305
@Jizzlewantandu
Jizzle
10 months
Hivi hii katuni Masoud Kipanya alimaanisha nini maana mpaka leo sijapata majibu 👇
Tweet media one
14
43
306
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Admin wa Sgd Big Stars hujachangamka tunaiomba hiyo account vijana wazalendo tuiendeshe
26
30
295
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Utukufu sifa na heshima kwako ee Mungu kwa kuiona leo tena. Good morning chosen people 🙏
23
51
288
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Naona watu wameanza kujiuza twitter kwa kutumia mgongo wa Big0047
23
44
295
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Ee Bwana Mungu nimekuja kwako kuomba Toba unipokee mimi mkosefu. Good morning chosen people 🙏
34
58
294
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Utukufu na Ukuu unaye ee Bwana hata milele na milele Good morning chosen people 🙏
48
63
282
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Kwa taarifa zilizonifikia mda huu ni kwamba ndugu Haji S. Manara anaenda kufungiwa kujihusisha na soka pamoja na vizaz vyake vyote ili kukata mzizi
36
39
282
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Kama unataka Simu ni mda mwafaka sasa wanachuo wamemaliza wanatafuta nauli za kurudi makwao
21
47
289
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Siku zapita kasi maisha ni mafupi sana, tubuni msije kuangamia mwende kwa Bwana wa Mabwana Good morning chosen people Kwa
42
76
290
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
A spesho Kumanina for dwarf huna akil kumanyoko wewe
@JotiOfficial
Joti
1 year
1K
207
2K
53
24
301
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mashabiki wa Singida wanapiga miluzi kama wanawinda ndege 😂😂
31
31
285
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mshukuruni Bwana kwakuwa ni Mwema kwa maana Fadhili zake ni za Milele. Good morning chosen people 🙏
38
50
289
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtuma mwanae ili kila mtu amwaminiye asipotee Good morning chosen people
46
93
285
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Bwana ana fadhili ni mwingi wa huruma si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema Good morning chosen people
58
73
280
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Tumezitafakari fadhali zako katikati ya hekalu lako takatifu Good morning chosen people
50
65
281
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Sitaki kutaja kabila ila kuna mwamba alipigwa 50k akaambiwa anapelekwa Zenji akavushwa upande wa pili na pantoni akaambiwa tupo Zanzibar
33
54
274
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Mimi mtumishi wako nitafurahi kwako Bwana Good morning chosen people
57
77
269
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Makarani wa Iramba kwani hamkuambiwa mkiwa mnatembelea kila Kaya sharti muwe na nyama?
22
48
277
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Mungu unifadhili kwa maana nakukimbilia wewe Good morning chosen people Kwa
52
72
271
@Jizzlewantandu
Jizzle
1 year
Kimara tumewakosea nini Tanesco mtuambie tuwaombe msamaha
31
42
269
@Jizzlewantandu
Jizzle
2 years
Maombi yangu nayafike mbele yako ee Bwana utege ukelele wangu sikio lako. Good morning chosen people 🙏
25
51
269