Kindly Repost
NYUMBA INAUZWA MTONI KIJICHI 160M
◾Plot no 991/277 Block C
◾Plot size 1200Sqm
◾Title Deed ✔️
◾Inapatikana na Zahanati ya Mganani & Mara lakini pia imezungukwa na godown nyingi za Wakinga hivyo unaweza kuitumia kama kibiasha
📞 0768832035
BANDARINI DP WORLD HUONI WATU NI MASHINE TU NA UTENDAJI, HUKU HAKUNA RUSHWA!
Hafidh Nassoro Mfanyakazi Bandari ya DP World Dubai anasema ukifika bandari ya DP World hutoona wingi wa Watu kwani kazi zote zinafanywa na Mashine hivyo mianya ya rushwa hakuna kabisa.
Tazama…
Sitakuja Nifanye/Kuwa Na Hivi Vitu Kwenye Maisha Yangu
1. Kunywa Pombe
2. Kuvuta Bangi/Sigara/Shisha
3. Kununua Malaya
4. Kupenda Mwanamke Anayenizidi Hela
5. Kuwa Masikini
6. Kuwa Na Kitambi
Trh na mwezi kama huu miaka mingi iliyopita baada ya ugumu wa maisha kutuandama zaidi mimi na mchizi wangu tulifanya kikao cha dharura namna ya kukombati ufukara wetu, baada ya kutafta njia zote tukaona ni ngumu wote kwa pamoja tukakubaliana njia nyepesi na ya mwisho kupata👇
Ile kauli ya ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi ndio nimekuja kuielewa kupitia kigogo, imagine ana followers 900k akitweet anapata like 1 ambayo ni yake
Wewe si ndio yule kijana uliyekuwa unaimba Ifinyie kwa chini mara kwichikwichi na weka mate ileteleze, haya nenda motoni ukakwichikwichi na shetani mbwa wewe
Jana nimeenda kulala kituo cha polisi kwa kujitolea naamka asubuhi niwahi kwenye mishe zangu naambiwa nitoe hela, kwahiyo hata mtu huna kosa unalipa nini sasa