Pascal Yohana Haonga
@HaongaHon
Followers
15K
Following
2K
Media
285
Statuses
680
Member of Parliament-Mbozi Constituency (2015-2020).
Tanzania
Joined August 2017
It is a wastage of time and misuse of public funds kuunda Tume ya kuchunguza jambo fulani wakati majibu unayo inadvance. Kwa hotuba ya leo nahisi Novena imeanza kufanya kazi kwa kasi.
2
42
195
Breaking News!! Lucy Shayo(Binti Lissu) amekamatwa jana tarehe 30/11/2025 na Jeshi la Polisi akiwa Tanga mjini.Hadi sasa haijulikani kituo cha polisi alichopelekwa.
7
265
662
Big brands often guess what you want. We prefer to ask. We are looking for honest feedback on brand awareness. Whether you own these scents or have never heard of them—your perspective counts.
0
0
1
Huyu OCD lengo lake ni kuhujumu uchumi wa nchi yetu? Huyu anatakiwa kupewa kesi ya uhujumu uchumi.Petroli isipouzwa ya kutosha maana yake serikali itakosa mapato kupitia kodi. Jeshi la polisi linatakiwa kuundwa upya ili kudhibiti watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu.
2
17
63
Mauaji ya Oktoba 29 na siku ziuzofuata yametua ICC.Hakuna tone la damu ya Mtanzania itapotea.
Habari njema Kutoka ICC. Kesi ya kwanza ya mambo ya Tanzania imefika ofisi ya Mwendesha Mashitaka wa ICC, nyingine zinakuja! Hii ni hatua ya awali kabisa ya kuanza kwa mchakato wa uwajibikaji. Hakuna KIFO cha mtanzania kilichotokea siku ya Uchafuzi na baada ya UCHAFUZI kitaenda
1
19
126
Tunaomba maagizo yatolewe ya kuwaachia vijana waliochukuliwa na vyombo vya dola kama vile Mdude Nyagali,Dioniz Kipanya,Deus Soka na wengineo.Tunaamini watarejeshwa wakiwa hai.
0
10
56
LUMA RAY-3 — simply the best. No need to chase AI-video news… I just chill, create, and let the work speak.
0
0
5
Baada ya kukaa lockup zaidi ya mwezi 1, Daud Mtawa mkazi wa Mbezi Luisi Dar es salaam amepata dhamana leo. Ikumbukwe kwamba Daud alikamatwa Oktoba 18,2025 akiwa Mbezi mwisho Dsm.Alipelekwa kituo cha polisi Oysterbay na baadaye kusafirishwa hadi mkoa wa Lindi.Ataripoti Nov 25.
1
21
55
"Tume ikaangalie matamshi ya vyama vya upinzani wale waliokuwa wakisema lazima kiwake,hapakaliki,lazima aondoke,uchaguzi hautafanyika.Kitu gani hasa kimewapelekea kufanya vile?".Maneno ya Samia akizindua Tume ya uongo aliyounda. Hapa nadhani anataka kuitengenezea CHADEMA zengwe.
3
7
43
Hawa wawakilishi wa Jamhuri wanafikiria kutumia shingo?kama mashahidi wameshindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiusalama,je wao wamewezaje kufika mahakamani?majaji,mawakili wa Lissu na wafuatiliaji wa kesi wao wamefikaje mahakamani kama hakuna usalama? Huu ujinga utaisha lini?
3
17
72
USHAURI: Tusiwaamini haraka na kuwapa vyeo wahamiaji haramu.Tuchukue muda wa kutosha na kujua dhamira zao kabla ya teuzi.
Usaliti unaombatana na uongo katika mambo yanayohusu uhai na maisha ya watu ni uuaji. Nyamatari (William) Tengecha hajawahi kuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama @ChademaTZ2 aliteuliwa kama Mtaalam wa Hamasa. Amerusha uchafu wa uongo ambayo ni vyema ukapuuzwa na wapenda ukweli
10
23
135
Kuna tetesi kwamba kuna wanachama wa CHADEMA nikiwepo mimi tunawindwa kimya kimya ili tukamatwe kabla ya uchafuzi wa Oktoba 29,2025.Kama kuna makosa tumefanya tuitwe kwa utaratibu wa kimahakama na siyo kutuvizia kihuni. Acheni kuleta taharuki ili kumfurahisha mtu yeye siyo Mungu.
5
84
340
Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa John Heche @Heche John amekamatwa na Jeshi la polisi Dsm anapoingia mahakama kuu kwenye kesi ya uhaini inayomkabili TAL. Huu ubaya anaopanda mama Abdul ni mkopo wenye riba kubwa,she will pay back with very high interest. Madikteta huishia pabaya.
1
32
118
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa John Heche @HecheJohn amezuiwa boda ya Sirari na Serikali ya CCM wakati anaelekea msibani kumzika Raila Odinga nchini Kenya.Samia ajue kwamba ubaya ni mkopo wenye riba kubwa sana kuna siku atalipa.
1
20
55
"Siku yaja ambapo hawa watu unaowakandamiza,kuwanyanyasa na kuwaumiza sana kuliko kawaida,wataona kifo ni bora kuliko kuvumilia manyanyaso.Ole wao wale wanaoharakisha siku hiyo".(Julius Kabarage Nyerere).R.I.P Baba wa Taifa.
0
1
3
Huyu dalali wa kisiasa alipiga pesa za Abdul akadhani watakuwa wanamchekea tu. Lakini hawa aliohamia kwao si ndiyo wale aliowatuhumu kumuua kaka yake?ama namna gani?
2
9
57
Mama wa Kizimkazi ajaribu kuvaa viatu vya huyu mwanamke mwenzake.Very painful!,
1
7
32
Hawa askari polisi wa Dar waliopiga na kuwajeruhi wanachama na wafuasi wa Chadema eneo la Mahakama kuu Dsm wanatakiwa kushitakiwa kwa majina yao.Huu upumbavu na uzwazwa wa kuonea watu kwa kutumwa inatakiwa ukomeshwe kabisa.Hawa Polisi wanatia aibu sana.
7
42
120
Tatizo la askari wa jeshi la polisi ni kutosoma PGO au kuisoma na kuipuuza.Hatuwezi kuwa na jeshi la polisi ambalo linakamata watu bila utaratibu na kuwaweka lockup kihuni tu.Kama Lucy Shayo amekosea afikishwe mahakamani au adhaminiwe polisi.Acheni kutumika na CCM kutesa watu.
0
0
0
Wakishapelekwa kwenye mikutano ya hadhara ya CCM mara nyingi wanasahau kuwarejesha walikowatoa. Hapa ni Mbimba wilaya ya Mbozi, wanafunzi wamebebwa kwenye malori na mabasi usiku kucha ili kumtengenezea Samia nyomi ya mchongo. CCM ilishapoteza mvuto na ilishakataliwa na watu.
3
49
150