Jana nilipata bahati ya kuwa mmoja ya wawakilishi wa management team kwenye picha ya pamoja ya Mheshimiwa Rais, viongozi wa juu wa Simba, na wawakilishi wa menejimenti ya Simba.
#NguvuMoja
🦁🏟️
When I was invited to be part of the Wananchi week, I managed to witness the famous celebration stunt! Believe me, the whole stadium stood up and imitated, that experience remained in my system until today. Hail Tanzanian Football!
Kama “Visit Tanzania” ingekuwa imevaliwa kifuani taifa lingetangazwa sana fainali. Utalii ungeongezeka, wawekezaji wangemwagika. Ila ndio hivyo waliamua kutangaza friji.
Kitu kingine, kwenye mechi ya kimataifa huwa kuna utaratibu wa kubadilishana pennants au banners. Inabidi uwape timu pinzani pennant yako. Mnapoenda uwanjani mikono mitupu inatia aibu kidogo. Tena uko nyumbani😄
I saw this video today it was was quite painful to watch. Why does our country allow these people to come and kill such endangered wildlife? Who gave this type of access?
My condolences to the
@RoyalFamily
and the people of the United Kingdoms for the passing of Her Majesty Queen Elizabeth II.
I appreciate her recognition at a time I didn’t have any, and how that made me believe in myself more to achieve more.
May she rest in peace.
Leo asubuhi tumetangaza Simba Day tunacheza na Power Dynamo.
CAF draw mchana: “Mshindi kati ya Power Dynamo vs AF Stars atacheza na Simba”
Unyama Mwingi 😁
Kuna team zaidi ya 250 Afrika mashariki nzima na kati.
Kwenye timu 8 robo fainali:
2 ni za Afrika Kusini
5 za Afrika kaskazini
1 TU ni ya Afrika mashariki NA kati.
Ni Simba ya 🇹🇿
Na bado team inaamka inasema “Bado tunataka kufika mbali.” Kabla haujaibeza elewa uzito wa hili.
“Mambo mazuri kwa Simba hayajaanza leo. Simba ni big brand Africa. Haya mengine tutasema tu huko kuchekesha lakini ukweli lazima usemwe” - Maulid Kitenge
These kids talk too much mpaka wanapitiliza. Walianza insults kwa kocha now kwa mdhamini. It’s disrespectful. It’s one thing kuongea kama shabiki, it’s another kuongea kama msemaji rasmi wa klabu.
“Ghalib ni Bilionea ambaye amewekeza kwa muda mfupi na timu inakaribia kwenda nusu fainali, kuna watu wamewekeza pesa, masimango, vichambo, minuno na kila aina ya gubu na wanaishia robo fainali,” Ally Kamwe.