Deoxz Keezy Profile Banner
Deoxz Keezy Profile
Deoxz Keezy

@Deoxz

Followers
82,441
Following
10,122
Media
1,553
Statuses
65,316

Owner and Founder of Gide's Quality Furniture Center, Watengenezaji na wauzaji wa Furniture za majumbani,Maofisini na Mashuleni. ☎️+255656177195

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Shukurani Sana ndugu zangu! Niwashukuruni wote familia hii ya twita na nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano...., Naomba niwatambulishe Kama ifutavyo:- Gide's Quality Furniture Ni Watengenezaji na Wauzaji wa furniture za majumbani, mashuleni na maofisini Kama:-👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
63
448
1K
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kuna kipindi Cha nyuma hapo nlikunywa vimaziwa vya ASAS aiseh nlitokewa na upele matakoni sitosahau!!
144
46
1K
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Sancho mmoja ni sawa na vikosi vya arsenal na man city!! Niko tabata njooni mniuwe!😂
118
24
933
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Niko kwenye penzi jipya nizingatie nini.?
179
15
802
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mlioajiriwa Huko Maofisini Msichezee Nafasi Mlizopewa, Mtaani Pagumu Sana, Narudia Tena, Mtaani Pagumu Sana jamani!!!
50
44
763
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Madenge kuwa uraiani Mpaka Sasa Ni dharau Hizi!!!🙄
43
19
750
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Toto letu la tarime lenye makazi yake Nigeria gooooo babaaaa💪
@BET_Africa
BET Africa
3 years
Our #MCM goes to @burnaboy !! Celebrate this 2021 #BETAwards nominee by dropping a '🙌' in the comments below.
Tweet media one
2K
1K
7K
39
62
728
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mtu unaenda kutisha watu na mapanga kwenye tuzo unategemea Nini yaani😂
57
32
706
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mlioajiriwa Huko Maofisini Msichezee Nafasi Mlizopewa, Mtaani Pagumu Sana, Narudia Tena, Mtaani Pagumu Sana jamani!!
32
52
689
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Katika umri wangu huu sikuwahi kufikiria nitamiliki Mali nje ya nchi!, Jana anko si kaenda na chaji yangu marekani!😂
58
40
679
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Huko Whatsapp status mmewajaza ma handsome boy wenu! Ila mkipatwa na shida ndio mnatutext sisi wakina kingwendu!😂
36
52
655
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Huwa nafurahi Sana kuona mtu mwenye degree akiwa jobless!🙄
67
21
655
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mzigo mpya umeingia haya wanafunzi wa yudizimu naomba kazi iendelee!😂
Tweet media one
51
32
653
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Huwa namuheshimu Sana mtu anae-retweet twiti zangu na nikikuta sijamfollow lazima nimfollow!! Heshima kwenu wanangu!✌️
37
171
631
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Burna Boy majina yake kamili anaitwa Wambura Chacha Kimori kura yangu kwa Mtanzania mwenzangu nliyechunga nae ng'ombe kijijini kwetu kule tarime!💪
40
34
642
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mimi hata uende kunitangaza kwa mashoga zako kuwa nilitumia dakika moja!! Ninachokijua Mimi nimeshakunyandua tu...🙄
47
12
628
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Uzuri Twitter ikikukataa Ni sawa umetengwa na Dunia nzima, Sadala tafuta plan B haki hii tuzo haupati!😂
62
26
613
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Wanaharakati wa Tanzania wapewe heshima Yao!! Mpaka hapa wanacheza kwenye zone ya sadala na wanaupiga mwingi tu!!😂😂
Tweet media one
40
42
617
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kudate na mimi sio lazima tuongee kila siku,kumbuka haya ni mahusiano sio redio!😂
33
27
598
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Twitter Ni kama bar! Utakaye kaa naye meza moja ndio rafiki yako usilazimishe kukaa na watu ambao hawana muda na wewe!!
36
35
572
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Ebu tuache unafiki hivi tukiachana na uzalendo wenu huo mnaosema hivi kweli diamond anamuweza hata yemi alade kimziki!?😂
55
13
592
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Upo msibani Unalia ghafla unamuona fundi viatu kavaa viatu vyako😂😂
53
16
577
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Yaani sijui Jana nimeongea Nini bar...Rafiki zangu wamenitumia CV zao na sijui Ni za Nini!😂
38
41
571
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Hey Dear Coco jiandae Mimi Ndio mrithi wa madenge najua atashikwa maana alikula Kodi zetu!😎
16
13
575
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mama ama hayati!!?
95
14
567
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kifo kimeiokoa Tanzania!!
41
26
568
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Mnasherekea na kuwapongeza Baba zenu msisahau kuwa pasina mwanamke hata huyo BABA bora asingepatiaka tujivunie wanawake wanamichango mikubwa sana katika ujenzi wa familia✍️✍️
163
17
565
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Usimwamini kabisa Mtu wako wa karibu anayemchukia Mbwa wako.. ila mwamini sana Mbwa wako pindi amchukiapo mtu wako wa karibu....✍️
33
55
578
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Nyie kuweni makini Kuna watu wanakamatwa Sana vijiweni huku kisa kuongelea hiki kifo!!😢
26
12
550
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kuna Majina Ukiwapa Watoto Tayari Umeshawaharibia Future!!😂
49
16
552
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Eti Wanaume Wote Waongo! We Ulitumwa Utembee Nao Wote dada!😂
31
27
555
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Hakuna watu wanaojua bei za lodge kama wanaume waliooa!!😂
43
17
551
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kama mama yako alikuwa hakuambii ukasafishe Chemuli ifikapo saa 12 jioni naomba usiongee na sisi..😂
45
31
538
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Bibi kaniuliza petition Ni Nini nimemwambia Ni program ya kumsagia Diamond kunguni atolewe kwenye ushindani wa tuzo za BET!! Naona kaniuliza eti "diamond ndio yule anaimba nyimbo za asili!"😂
34
10
544
@Deoxz
Deoxz Keezy
2 years
Tunaishi nao lakini furaha yao kubwa ni kuona sisi tukishindwa.... ✍️
25
78
529
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
"Punguza wema binadamu hawana kumbukumbu"....✍️
19
39
511
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Big up kwa Wana wote wa TL ambao hatuna maisha mazuri ila tunapendana na kushare ideas japo hatujawai onana!!💪✊
42
30
519
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Man u tusiposhinda leo nabaka mke wa jirani yangu🥴🥴
112
13
518
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Burna Boy kipindi tunaishi nae Tarime alikuwa Yuko peace Sana siwezi kuacha kumpigia kura mshikaji wangu tuliyechunga nae Ng'ombe nasema never!!🙄
44
29
523
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mtu mfupi akikwambia una nywele nzuri usifurahi kwanza angalia zipu yako kama imefungwa!😂
43
16
522
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Usijione Huna Thamani Kumbuka Mazishi Yako Hayawezi Anza Bila Wewe!!!😎
21
31
513
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Aliitwa For A Dinner Date, Yeye Akambeba Na Rafiki Yake, Leo Rafiki Yake Amefunga Ndoa Na Yule Jamaa, Na Yeye Amesusa Hajaenda Harusini!!
21
17
498
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Maombi yenu jamani demu wangu kanywa maziwa ya ASAS Sasa hivi nyonyo zimelala zote!!
56
15
516
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Ukingudua hakuna kitu kinachodumu milele utapunguza kunyenyekea watu!...✍️
22
47
500
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mama ataongea lini na vijana maana Kuna mmoja humu kila kukicha kazi yake Ni kutafuta kazi!!😂
27
14
496
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Sirikali inamtafuta bwana flani kwa muda mrefu sana! Alafu sirikali hiyo hiyo imetii report ya bwana flani kwa muda mfupi aiseh bwana flani nimenyoosha mikono juu!🙌
21
7
485
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Fanya mema bila kujali unamfanyia nani, Maana ipo siku utapokea wema toka kwa mtu usie mtegemea....✍️
24
55
492
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Samahani jamani Elfu 50 napata wapi kiwanja kwa Hapa dar!!🙄
82
15
474
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Manchester leo akishinda mniite feona mama kuku!!🙄
38
13
461
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
KUDATE NA NESI STRESS SANA IMAGINE MWENZENU NAPIMWA UKIMWI MARA TATU KWA WIKI.!😢
25
10
464
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
UBINGWA wa EPL msimu huu asipochukua Man u. Ndio nitaamini kuwa hata ulaya kuna Uchawi!! Nivae jezi yangu sasa nikanywe supu nzito sana!!😂
20
11
470
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Maisha yamenifundisha kuwa mtu yeyote anaweza kukubadilikia, haijalishi historia mliyokuwa nayo wala uhusiano wenu....✍️
21
51
471
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Madenge akifa tu coco namrithi Mimi nimeshawahi!! Maana napenda wanawake wenye midomo mweusi!!🙄
40
7
467
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kuna mtu kaniuzia kiwanja hapa lugalo 35k nimefurahi Sana kesho nimwage mawe nianze kujenga!!🙄
40
9
466
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mpira wa Simba na yanga tuvae barakoa ila kongamano la katiba litaleta maambukizi ya corona!! Natamani niichome hii nchi kama yule dada aliyemchoma zungu!😌
27
33
473
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Nimemtongoza Jana jioni sasahivi ananipigia simu eti "Ongea na wanao". Wanataka kukusalimia wamekumiss!!😂
40
9
472
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Namkumbusha chawamila nauli ya kutoka mwanza kwenda mbeya Ni 70k!!😂
40
12
459
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Nilimtongoza demu Usiku asubuhi hii kapiga simu eti "Ongea na wanao" Mwili wote umekufa ganzi napumua kwa shida Sana jamani!!😂
49
19
469
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mwanaume kutumia iphone ni umama! Niko tabata njooni mniuwe tu maisha yenyewe magumu!😂
28
9
458
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
NAWAKUMBUSHA TENA! Twitter Ni kama bar! Utakaye kaa naye meza moja ndio rafiki yako usilazimishe kukaa na watu ambao hawana muda na wewe!!
47
38
459
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Twitter magaidi msaada jamani hivi AK 47 inabeba risasi ngapi!?
39
10
456
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
@kigogo2014 Kigogo hivi lile nyomi la karatu jiwe Kama kaliona si atakuwa anapumulia mashine mochari? Alafu usiku ulikuwa umeshaingia dah! nimelia kwa furaha kubwa Sana watu wana mapenzi bhaana😌😌
11
26
472
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mwenyezi Mungu akujalie hitaji la moyo wako na asimame na Wewe hata Katika nyakati ngumu kwenye mapambano yako ya kila siku.🙏
26
30
460
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mnaweza kuona mtu anawachekesha kwa twiti matata sana humu, Ila nyuma ya keyboard anasuffer na msongo wa mawazo ...😔✍️
41
22
456
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Wanawake bana badala akuroge ukatafute pesa kwa nguvu zote. Anakuroga ukae ndani umpende kama zezeta.!😂
33
20
462
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mwenyezi Mungu akujalie hitaji la moyo wako na asimame na Wewe hata Katika nyakati ngumu kwenye mapambano yako ya kila siku.🙏
19
21
452
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Usiombee maadui zako vifo,Utazika marafiki wengi....✍️
18
28
457
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Leo kila mtu aliyejaliwa kuwa na mama naona kampost mama yake na kumtakia heri kwa maneno mazur imekuwa tofauti sana kwangu ki-ukweli nimetumia muda mrefu Sana kulala Maana nimeumia Sana nimetamani na Mm ningepost mama yangu na kumtakia her na baraka anyway pumzika kwa aman mama!
56
34
461
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Sema Kuna mwamba uko kwenye maspace kapewa nafasi ya kuongea akaanza kumtongoza host!😂
28
6
457
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Man city akishinda leo nakata nyeti zangu kwa chupa!!🙄
80
4
449
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Wakikuroga Alafu wakaona Bado unaendelea kufanikiwa, Huwa Wana amini kuwa na wewe ni Mchawi!....✍️
30
44
446
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Uafrica kwa Sasa Ni muhimu Sana kuliko utanzania!!😂
37
20
437
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Nimeomba rt watu wamenitukana saana Sasa hivi nataka nifungue parody langu nikomeshe baadhi ya vivulana humu🥴🥴🤪🤪
36
16
435
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Nikisema dondosha handle,maana yake ukilike pia umedondosha handle...Mapema tuinuane💯💪🔁🥂
92
24
439
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Usimwamini sana mtu ambaye kwenye tonge la ugali anaweka kile kishimo cha kutotea mchuzi.!🙄
31
22
447
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Ex wangu kaomba niwe mtunza Hazina wa kamati ya Harusi yake. Nauliza Hivi, Ni nani Ajawai Kufika Zanzibar.?😂
28
15
432
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Yanga na huku bonanzani wamekimbia Tena mechi!!😂
23
8
433
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Dada Sali ulale.. Bado yupo kwenye Makelele!😂
17
13
435
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Feona na tako wakae chini wamalize ugomvi wao yaani limegoma kabisaa jamani!!😂
22
6
437
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Adui hana chata usoni. Ishi na kila Mtu kwa uangalifu mkubwa mno....✍️
20
27
431
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Tuinuane kwa followers Like Comments Retweet Then follow each other make sure you follow back. 👇🏿
114
27
419
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
MSAADA TWITANI!! Mtaji wa million moja na laki tano unaweza fanyia biashara gani Kati ya hii mikoa dar ama dodoma? (serious not jokes)
78
17
434
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Hivi hawa wanawake tunao wapakia mkongo watakuja kuolewa na nani?🤔
51
5
421
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Wote tumezaliwa na upendo, Chuki tumezikuta duniani tu.....✍️
22
24
419
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Hii mechi Simba anapiga mtu kagoli kamoja tu mark this ✍️😂
23
10
419
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
"Wakati wako mgumu sikuzote hubadilika kuwa wakati wako mkubwa zaidi maishani. Endelea kwenda mbele"....✍️
Tweet media one
19
33
430
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Siku ya Saba MUNGU akiwa amepumzika basi,Shetani kwa siri alimtengeneza Ex wangu.!😂
25
20
418
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Ndugu Zangu Waislamu Niwakumbushe tu, Bikira Maria Ana mimba Tayari!😎
39
9
423
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Yule mkaka wa sabuni na mdada wa dagaa wanaweza jikuta wanaharibu brand zao hivi hivi antention huwa Zina faida na hasara zake!!🤔
39
6
421
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Huyo Babe wako ulimkuta akiwa SINGLE ama Kuna mtu alilia wakati wewe unaingia!?
26
12
412
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Tujitahidi kujiwekea mipaka kwenye maisha yetu jamani utoto na mzaha havipendezi kwenye baadhi ya mambo muwe na asubuhi njema!🙏
15
20
409
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
" Wa kwanza kuomba msamaha ni jasiri. Wa kwanza kusamehe na kusahau ni mwenye furaha zaidi "....✍️
17
41
420
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kitanda makini kina taa pamoja na system charge,Pendezesha chumba chako kwa kulala sehemu nzuri na makini nipe oda chap nikutengenezee kilicho Bora!🔥 Size: 5*6 Bei: 650k 📍 Location: Tabata Baracuda ☎️ Call: 0656177195 WhatsApp: Karibu sana🙏
Tweet media one
35
64
417
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Yaani sijui Jana nimeongea Nini bar...Rafiki zangu wamenitumia CV zao na sijui Ni za Nini!😂
30
11
402
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Nimeitwa na Mama mwenye nyumba Nimetii wito!🙄
29
7
403
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Yeyote atakaye iongelea Simba vibaya leo namubuloku!😂
28
5
405
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Kesho Ni Kama spea taili tu itumie kwa dharula,Leo ifanye kuwa taili kamili ianze safari mapema.....✍️
15
20
400
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Mwenyezi Mungu akujalie hitaji la moyo wako na asimame na Wewe hata Katika nyakati ngumu kwenye mapambano yako ya kila siku!!
18
27
404
@Deoxz
Deoxz Keezy
3 years
Jamani Ray C alikuwa hatumiaa dawa za kulevya alisingiziwa kabisa 😂 sema Nini kamchana Sana sadala alafu mwishoni kampa moyo kidogo japo anajua iyo tuzo hapati!!😂😂
Tweet media one
25
15
406
@Deoxz
Deoxz Keezy
4 years
Mwanamke anaetoka na mpambazi Ana moyo jamani😂😂
36
7
411