Shukurani Sana ndugu zangu! Niwashukuruni wote familia hii ya twita na nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano...., Naomba niwatambulishe Kama ifutavyo:-
Gide's Quality Furniture Ni Watengenezaji na Wauzaji wa furniture za majumbani, mashuleni na maofisini Kama:-👇
Mnasherekea na kuwapongeza Baba zenu msisahau kuwa pasina mwanamke hata huyo BABA bora asingepatiaka tujivunie wanawake wanamichango mikubwa sana katika ujenzi wa familia✍️✍️
Bibi kaniuliza petition Ni Nini nimemwambia Ni program ya kumsagia Diamond kunguni atolewe kwenye ushindani wa tuzo za BET!!
Naona kaniuliza eti "diamond ndio yule anaimba nyimbo za asili!"😂
Sirikali inamtafuta bwana flani kwa muda mrefu sana! Alafu sirikali hiyo hiyo imetii report ya bwana flani kwa muda mfupi aiseh bwana flani nimenyoosha mikono juu!🙌
Mpira wa Simba na yanga tuvae barakoa ila kongamano la katiba litaleta maambukizi ya corona!! Natamani niichome hii nchi kama yule dada aliyemchoma zungu!😌
@kigogo2014
Kigogo hivi lile nyomi la karatu jiwe Kama kaliona si atakuwa anapumulia mashine mochari? Alafu usiku ulikuwa umeshaingia dah! nimelia kwa furaha kubwa Sana watu wana mapenzi bhaana😌😌
Leo kila mtu aliyejaliwa kuwa na mama naona kampost mama yake na kumtakia heri kwa maneno mazur imekuwa tofauti sana kwangu ki-ukweli nimetumia muda mrefu Sana kulala Maana nimeumia Sana nimetamani na Mm ningepost mama yangu na kumtakia her na baraka anyway pumzika kwa aman mama!
Kitanda makini kina taa pamoja na system charge,Pendezesha chumba chako kwa kulala sehemu nzuri na makini nipe oda chap nikutengenezee kilicho Bora!🔥
Size: 5*6
Bei: 650k
📍 Location: Tabata Baracuda
☎️ Call: 0656177195
WhatsApp:
Karibu sana🙏
Jamani Ray C alikuwa hatumiaa dawa za kulevya alisingiziwa kabisa 😂 sema Nini kamchana Sana sadala alafu mwishoni kampa moyo kidogo japo anajua iyo tuzo hapati!!😂😂