ΜĐ€Μ€ 👑
@CwcChampion
Followers
555
Following
5K
Media
123
Statuses
9K
Football Contents & other || No Politics || Trolling is inevitable || @ChelseaFC fan || Honest Enthusiastic Football fan || I speak Facts || 💙
Tanzania 💙
Joined July 2025
Kulala Na Wanawake Wengi Au Kufanya Mapenzi Muda Mrefu Huo Sio Ulijali Wa Mwanaume Huo ni Uvulana. Ulijali Wa Mwanaume Ni Kupambana Kufikia Malengo Yake Na Kutimiza Ndoto Zake Mwenyewe.
111
81
874
Ni nyota tuu ila Chelsea Manchester United Liverpool Arsenal Madrid Barcelona Na viunga vyake hakuna wa kuniweka bechi😂
8
4
21
Leo nimedondoka na sahani ya msosi mgahawani mbele ya watoto wazuri. So much Aura lost 😭😭
8
9
27
Lakini wanyakyusa hawanaga mambo za limbwata, sasa huyu mke wangu amenipa nini mbona nna mpenda hivi?
16
28
80
Hiyo simu yako ikipotea leo.. itachukua miezi mingapi kujichanga ili uweze kununua tena kama hiyo...?
17
12
73
Binadamu anajivunia kua tajiri, kumiliki mali nakadhalika lakini yote kwa yote bila zawadi adhimu ya uhai kutoka kwa MUNGU binadamu wote si kitu tusiache kumshukuru muumba wetu, Good morning my X family in GOD we believe 🙏.
20
30
43
Tuambie hii verse imetoka kwenye wimbo gani? Kutoka kwa Young Killer “Ukitaka Chuku ni Chuku Ukitaka Tupu ni Tupu Kwenye Ulingo wa Ngumi Watu Wamebeba Mitutu”
11
17
78
Nakutakia jumapili njema wewe n familia yako, ukipata Muda nenda Ibadani ✝️❤️🙂
20
40
72
Binti Anajina Fatuma Halafu Mahari Yake Eti Ni Million 3! Hata Ningekuwa Mimi Nisingelipa😂😂
9
22
104
Tunaiyanza siku kwa kumshukuru mwenyezi MUNGU mwenye khaki miliki ya uhai wetu. 🙏 Good morning GOD's people. ❤
6
8
8
Good Morning X family Group letu maneno kidogo kazi za uhakika kila siku 🔥🔥🔥 Kila siku tunampiga kanji, na huku tunabet kitofauti sanaa sogea ujionee Join bure link👇🏻 https://t.co/JjlWv5d6PF NB: Mikeka yote ni bure kabisa
Good morning X family Jana tulikuwa na slip 2 zote tuli win ✅🔥 Kwenye group letu Jiunge sasa na group la WhatsApp 🎯Kila siku ni fursa mpya ya kushinda usibaki nyuma Odds 5 Odds 10 👉Bonyeza link ujiunge na timu ya washindi💰 https://t.co/JjlWv5cz07 NB; mikeka ni bure✅
26
53
53
HAPPY BIRTHDAY TO ME ✍ Asante Mungu wangu kwa Siku hii tena Umri Umesogea na siku za kuishi ndo zinavozidi kupungua, Nipe Mwisho Mwema Mola wangu Inshallah
25
33
53
Je wewe ni ntumiaji wa voda? Kwa Tsh 10,000 tu unajipatia Gb 20 utakazo zitumua mwezi mzima. Ata kama laini yako ina deni nitakuunga bando bila shida. Na haichukui ata dkk 2 ntakua nimesha kuunga Mawasiliano 0657401752 Normal call only.
39
59
87
Kumekucha zile hesabu za KKS na KDS zitupatie leo breakfast, lunch na dinner 😁
28
48
265
Mwenye hekima huogopa, akajitenga na uovu; Bali mpumbavu ana ufidhuli,na kujitumai. Mithali 14:16
7
24
73
Ikumbuke siku ya bwana na kuitakasa Good morning God's people.
14
13
31
Wenye chakula hawana appetite na wenye appetite hawana chakula Wagonjwa wanaomba uzima na wazima wa afya wanajiua Wagumba wanalilia watoto na wasio wagumba wanatoa mimba Anayepewa upendo hauthamini na asiyependwa kutwa anayalilia mapenzi YA DUNIA MENGI
10
34
51