Kuna ule wakati ambapo mtoto wa kiume anagundua kuwa hakuna mtu yeyote anayekuja kumuokoa au kumsaidia majukumu yake na hapo ndipo anaamua kuwa mwanaume.
Unapoenda kuanza majukumu mbalimbali siku ya leo kumbuka kua anasa ilitengenezwa ili kukufanya uendelee kuwa maskini.
Tukawe na siku njema yenye mafanikio 🙏.
Kuna mwana tunampepea hapa. Jana demu wake kamwambia yupo tayari kua na jina la ukoo wao kwenye jina lake afu leo Demu kaja kutambulishwa na kaka yake mwana😂😂😂