Sisi kama mashabiki wa arsenal Tanzania kwa pamoja tunapenda kutoa pole kwa shabiki mwenzetu
@Madeeseneda
kwa kufiwa na mzee wake,mazishi yamekwisha fanyika jioni ya leo katika makaburi ya magomeni na tuliwakilishwa na baadhi ya wana arsenal.
Innallilahi waina Ilahyi rajiun.🙏🏽