28_prb Profile Banner
P• Profile
P•

@28_prb

Followers
4K
Following
1M
Media
268
Statuses
44K

no hard feelings !

West side
Joined November 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@28_prb
P•
3 years
Sote Tufanikiwe Wazazi wetu wakiwa hai.
54
246
576
@28_prb
P•
23 minutes
kwani mmeacha kunywa pombe?.
0
4
5
@28_prb
P•
2 hours
mtafute tu.
3
1
15
@28_prb
P•
10 hours
umaskini ni uchawi.
3
5
17
@28_prb
P•
10 hours
RT @Thereal_taivina: Mi napenda Biz za Straight yani hii inakata sana.
0
3
0
@28_prb
P•
10 hours
ripoti za CAG ndio zinafanyaga watu waone hizi kodi tunasanyia kwenye mifuko ya watu wachache ambao hawajui ugumu wa utafutaji ndio maana wana misuse hela za umma.
2
4
19
@28_prb
P•
11 hours
kodi zipo nyingi na watu wanalipa lakini hazijawai kutufanyia wepesi zaidi ya kuongeza gharama kwenye bidhaa na huduma.
1
0
16
@28_prb
P•
11 hours
kupost bidhaa bila price tag nayo ni utapeli.
5
8
35
@28_prb
P•
13 hours
hustle zetu zikajipe.
2
4
12
@28_prb
P•
1 day
hapa utaona watu huoana na kuachana juu wengi wameingia kwenye ndoa kwa kufekiana alafu wanajipata wako real ndani ya ndoa suddenly zinaanza makele. unakuta date mlikua mnakula pizza na kuku wa kfc ila uhalisia unataka mpike dagaa na nyanyachungu, ile gender lazima izingue walai.
0
0
0
@28_prb
P•
1 day
najua mnajua hii wasee but lemmi say it again, kama unampenda mwanamke hadi unaexpect umuoe jitahidi usifake life yako hata kama the only way ya kumpata ni inabidi ufake jitahidi tu utumie mbinu ingine ila ubakie kuwa the real you tokea siku ya kwanza mnajuana.
2
8
50
@28_prb
P•
1 day
define TBT.
17
7
59
@28_prb
P•
1 day
ufunze moyo wako kupokea maumivu bila kupiga makelele na lawama out here kila mtu anakapatia, focus na kujitatulia mashida yako polepole.
2
6
27
@28_prb
P•
2 days
hustle zetu zikajipe.
2
11
25
@28_prb
P•
2 days
na kuna siku unaamka kila mwamba anaekuja anataka kukopa afu wote ukiwacheki ni wana unakua huna option hela zinahepa shwaa! 😂.
@Ninja_Damour
N I N J A
2 days
Wanangu mnaofanya Biashara , Mungu awakunjulie aisee. Biashara sio rahisi , kusubiri mtu ambae hamna miadi aje kununua kitu ah 🙌🏿.
1
0
5
@28_prb
P•
2 days
muandikie essay 😂.
@bright_ludwig
Bright. 🌴
2 days
@28_prb Hapokei.
1
0
5
@28_prb
P•
2 days
Mtafute tu.
3
1
16
@28_prb
P•
2 days
RT @say_please__: I wouldn’t go as far as calling them wachafu but I lived in mbeya yani every time I went to mwanjelwa lazma nikutane na m….
0
1
0
@28_prb
P•
2 days
😂😂.
@empiremotorstz
Empire Motors TZ
2 days
@28_prb Tumeachana miezi 2 iliyopita. 😁.
0
0
3
@28_prb
P•
3 days
life is a solo journey, learn to survive alone.
2
14
50
@28_prb
P•
3 days
hustle zetu zikajipe.
0
2
11