Sycilia Wakesho
@swakesho_
Followers
2K
Following
48
Media
13
Statuses
451
NewsAnchor|Editor NTV|Corporate MC|Child of the Most High🇰🇪 Instagram:@Swakesho_
Joined January 2014
Zipporah Achieng: Niligrow nikimeza dawa za HIV, nilijua niko na hivyo virusi nikiwa Class 4 nikajichukia. #NTVJioni @swakesho_
1
0
0
Very heavy traffic around Syokimau headed to town. If you are coming from Kitengela use the nearest expressway and thank me later #traffic #trafficawareness #Mombasaroad
0
0
1
Danstan Omari: Wagonjwa wengi hufa bila kujua kuwa wanaweza kufidiwa iwapo daktari atafanya makosa wakati wa matibabu. #AfyaYako @swakesho_
0
0
1
After 49 days !!!
Mgomo Wa Wahadhiri Kwisha! Mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma hatimaye umefika tamati. Hii ni baada ya serikali na vyama vya wahadhiri kukubaliana kuhusu malipo ya deni la Shillingi billioni 7.9. #NTVJioni @swakesho_ @loftymatambo
0
0
1
Waathiriwa Wa Maporomoko Watahiniwa: Katika juhudi za kuwawezesha wanafunzi walioathirika na maporomoko ya ardhi Elgeyo Marakwet, Wizara ya Elimu ilitangaza kuhakikisha kuwa kila mtahiniwa atapokea usaidizi mwafaka kukamilisha mitihani ya kitaifa. #NTVJioni @swakesho_
1
2
2
Afya Yako: Haki Ya Tiba Mama Teresia Wambui akatwa mkono baada ya kuwekwa sindano ya mrija katika harakati za kujifungua hospitalini Pumwani. #NTVJioni #AfyaYako @swakesho_ @labaanshabaan
0
3
6
Je, ni tunda lipi katika kijiji chako linatengeneza kinywaji unachokipenda? Jiunge na @swakesho_ kwenye #NTVMashinani
1
1
7
Tuwasiliane my people
Ni zao lipi la shambani umeona likiwa na kimo cha kustaajabisha? Jiunge na @swakesho_ kwenye #NTVMashinani
0
0
0
Ni zao lipi la shambani umeona likiwa na kimo cha kustaajabisha? Jiunge na @swakesho_ kwenye #NTVMashinani
1
1
11
DCP Walia Kuvurugwa na Serikali Chama cha DCP kimeishutumu serikali kwa vitisho vya kisiasa na hujuma baada ya mkutano wake huko Mbeere Kaskazini kuvurugwa siku ya Jumapili na kusababisha machafuko. polisi wanatuhumiwa kwa kurusha vitoza machozi kwenye umati wa watu
0
1
3
Watu wanne wamepata majeraha baada ya jiko la kutengeneza chang'aa Kulipuka Kipkelion. Je,ni kipi umeshuhudia kuhusiana na chang'aa eneo unakotoka? #NTVMashinani @swakesho_
1
2
2
Ugonjwa Wa Parkinson's: Wagonjwa wengi wanalalamikia ugumu katika kutambuliwa kwa ugonjwa huu kwa wakati unaofaa. Leo kwenye makala ya #AfyaYako tunaangazia ugonjwa huu wa kutetemeka. #NTVJioni @swakesho_
0
3
11
Ruto: Muturi Akanyage Kubwa Kubwa! Rais Ruto amemfuta kazi Waziri Wa Huduma Za Umma Justin Muturi na kukamilisha miezi kadhaa ya mivutano baina ya Rais na waziri huyo. Ruto amemteua mbunge Geoffrey Ruku katika nafasi hiyo ya Muturi. #NTVJioni @swakesho_ @Karanja_Ibrah
4
13
91
Toleo la pili la gazeti la biashara BD kwa nembo "Legal Minds Classic" ya golf ilikamilika Ijumaa kwa mashindano ya kusisimua, yakiwaleta pamoja wanasheria, viongozi wa biashara, na takwimu nyingine maarufu. #NTVWikendi @swakesho_ @MwakaFridah @loftymatambo
0
1
4
Michezo Ya Betika Bingwafest Mkondo wa mwisho wa michezo ya Betika BingwaFest msimu wa mwaka 2024/25 utafanyika kuanzia Ijumaa hii hadi Jumapili katika uwanja wa Nairobi Polo Club. #NTVMichezo @swakesho_
0
2
4
“When you change your thoughts, remember to also change your world.” —Norman Vincent Peale #Safaricom
#Motivation
0
0
2
President William Ruto dismisses his entire Cabinet and AG Justin Muturi, retains Prime Cabinet Secretary and Foreign CS Musalia Mudavadi; PSs to run ministries. https://t.co/zqThz5WaVp
standardmedia.co.ke
0
0
1
Human rights Activist from @HakiAfrica @husskhalid getting first aid after the #RejectFinanceBill2024 Demos this evening
1
84
205
Treasury allocates Sh13.4b for conversion of intern teachers contracts to permanent and pensionable terms; Junior Secondary School teachers were on strike over employment terms.
standardmedia.co.ke
0
0
0