somebarry Profile Banner
somebarry Profile
somebarry

@somebarry

Followers
34,161
Following
3,670
Media
9,907
Statuses
149,509
Explore trending content on Musk Viewer
@somebarry
somebarry
4 years
Lichama limewafanyisha kazi watu miaka mitano bila kuongeza mshahara linabakije madarakani? Tusiwe wapuuzi tarehe 28 tukalitoe
52
127
1K
@somebarry
somebarry
2 years
Bongo hela ipo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
76
117
1K
@somebarry
somebarry
4 years
Sikilizeni wadogo zangu, Forex ni UTAPELI kama UTAPELI mwingine. Hao kina ⌚jefu hawapati hela kwa kucheza Forex, wanapata hela kwa kukutoza wewe hela ya kukufundisha jinsi ya kucheza Forex.
114
64
1K
@somebarry
somebarry
2 years
Natafuta demu mjanja tufunge ndoa fake.. ukoo wetu mkubwa wakichanga 50k kila mtu plus washkaji ndugu jamaa na marafiki hatukosi 10M. Mgao nachukua 70% inayobaki yake, michango ya upande wake 50-50. Baada ya mwezi tunatengeneza tukio la fumanizi talaka inatoka. Njoo DM
103
71
1K
@somebarry
somebarry
2 years
2013 usela mavi umenijaa kuna bro sijui alitweet nini nikampa "tulia we kuma" week haikuisha nimechill zangu ghetto napasha kiporo polisi hao wakanichukua hadi kituoni, yule bro akaja akaniangaliiiiaaaa akawaambia polisi basi mwacheni. Dah!
144
42
1K
@somebarry
somebarry
5 years
Msanii mkubwa kama Harmonize kulipa 500M hadi auze nyumba zake zaidi ya 3 basi mziki bongo bado hauwalipi.
161
30
1K
@somebarry
somebarry
2 years
Nikikumbuka Idrisa alishinda $300,000 halafu kaishia kua mama lishe roho inaniuma kichizi. Vijana msiendekeze sana 'CHINI'
103
40
950
@somebarry
somebarry
5 years
Kamati kuu ya Chama cha Wanaume inatoa pongezi kwa mwanachama wake Juma (Jux) kwa kutekeleza kauli mbiu ya chama 'Vunja banda jenga Ghorofa'. Aidha, kamati inawakumbusha wanachama wake kutimiza kauli mbiu hii ili kuondoa gubu la Wasichana wanaoshindwa ku-move on pindi wanapoachwa
Tweet media one
98
119
922
@somebarry
somebarry
4 years
Nimeruhusiwa kutoka Hospital nilipata michubuko kidogo mkononi na mguuni, sijaelewa sababu iliyonifanya nizime. Nimefika eneo la tukio wajomba wamesafisha kila kitu. Yote kheri lakini. Nawashukuru wote kwa Maombi yenu. 🙏
97
38
805
@somebarry
somebarry
4 years
Alipigwa KO na Jide (kwa mnaokumbuka 2012) Anapigwa KO asubuhi na mapema 28/10 na Yosepha. Tunaenda kumfanya walichomfanya Wajumbe wa CCM Muheza. #HainagaMbeleko
Tweet media one
20
71
771
@somebarry
somebarry
4 years
Wakati natoka Mpanda kwenda Kasulu gari yangu awamu ya kwanza ilikwama hapa, hawa jamaa wanaoonekana pichani walinisaidia kusukuma pamoja na wengine hawapo pichani. Gari ilitelezea pembeni tope la magotini, waliingia na kunisukuma. Nilipotoka nilitaka kuwapa pesa WALIKATAA
Tweet media one
72
43
770
@somebarry
somebarry
4 years
Kuna Msanii anajaza viwanja kule WEST AFRICA, mwingine yupo Urambo Tabora huko ndani ndani anapiga show za kiingilio mayai mawili ya kuku.
107
43
704
@somebarry
somebarry
4 years
Unajenga kabisa parking kwa ki-IST?
Tweet media one
76
17
697
@somebarry
somebarry
3 years
Bora aliyepita alichukua wanaomsifia, huyu wa sasa anaangalia nani ana account instagram
52
22
634
@somebarry
somebarry
3 years
Air hostess atatutoa roho.. 2025 ifike akapumzike
71
38
644
@somebarry
somebarry
5 years
List ya mitandao yenye kasi ya internet TZ. 1. Voda 2. Voda 3. Vodacom 4. Vodacom Tanzania 5. VodaCom 6. Voda 7. Voda 8. Vodacom 9. Vodacom 10. Voda 10000009. TTTC, Halotel, Airtel, Tigo na Zantel (Hawa ilitakiwa tcra iwafungie kutoa huduma ya internet).
179
58
618
@somebarry
somebarry
2 years
Moja kati ya maajabu ya Ngorongoro ni ng'ombe wawili kuweza kuzungumzia ongezeko la ng'ombe wenzao.
@mshambuliaji
Maulid Kitenge
2 years
HALI MBAYA HIFADHI YA NGORONGORO
882
231
2K
85
95
631
@somebarry
somebarry
2 years
Hela ina kawaida ya kujitangaza ukiona mtu anaitangaza ujue hakuna kitu hapo. 😅
19
52
611
@somebarry
somebarry
2 years
Bro ukidate kidemu cha kibongo jihesabie umekopa FINCA na muda wa marejesho umefika
33
41
590
@somebarry
somebarry
2 years
Billionaire Shillah anafanya miujiza vilema wanatembea, vipofu wanaona, viziwi wanasikia, masikini wanatajirika. Picha inajieleza mlemavu wa miguu kasimama na katembea 😅😅. Hallelujah!
Tweet media one
134
20
544
@somebarry
somebarry
4 years
Local tukisave hela account ikisoma 500k Jini Matatizo anavamia ukoo. Asubuhi unaamka na text 'Bibi yako kakimbizwa na fisi jana usiku kavunjika mgongo", Mchana unapigiwa simu "Shangazi yako kalazwa alidondoka chooni", usiku "Mdogo wako kadondoka na bodaboda". Hela yote kwishaa
65
59
552
@somebarry
somebarry
4 years
Update: Nguo, na vitu vyangu vyote nimevipata kuna mtu alinihifadhia ikiwa pamoja na hela zote(sikuamini aisee). Na wote tunaendelea vizuri
57
39
535
@somebarry
somebarry
4 years
Hivi saddam wa kuwait angeweza kweli kumtoa Nduli Idd Amini Dada? Maana rona tu katuachia manyoya
61
19
509
@somebarry
somebarry
3 years
Jamani nimepewa Mic sauti haitoki 😂😂😂😂😂😂😂😂 uchawi upo
52
13
509
@somebarry
somebarry
3 years
Mchizi alinipa pande pisi flani tamu, kunioshea me bonge la afisa BOT. Siku zikaenda nikamiti na mtoto mzuri story na vijuice laini bite bite nini. Baadae akamtext mchizi "Huyo bwana boss kweli mbona kapauka?" Mchizi chap "ana allergy na AC". Mungu amlinde mchizi. 🙏
72
15
515
@somebarry
somebarry
4 years
Turudi kipindi cha Manji yupo Yanga, team ilikuwa inafanya vizuri mno. Vichakubimbi vikamfanyia fitina weee hadi akaondoka. Sasa Yanga haijulikani ni team ama furniture za GSM. Sasa wewe unakopa hadi SANLG utaweza kweli kulipa mshahara wa Morrison?
21
64
501
@somebarry
somebarry
4 years
Haina ubishi kwasasa Nyanda za juu kusini ndio NGOME ya Upinzani Nchini. Mikoa ya Mbeya na Songwe CCM ikishinda zaidi ya Majimbo 3 nakunya mafungu mafungu kuanzia Sae hadi Mwanjelwa.
Tweet media one
23
57
501
@somebarry
somebarry
4 years
Majimbo 5 ambayo CHADEMA tunashinda saa 2 asubuhi; Arusha Mjini Kawe Mbeya Mjini Hai Muheza Majimbo mengine 7 haya saa 6 mchana; Moshi Mjini Nyamagana Iringa Mjini Ubungo Bunda Mjini Tarime Mjini Tarime Vijijini
48
55
491
@somebarry
somebarry
5 years
Ukiacha sehemu unayoishi sasa, ni sehemu gani nyingine inakuvutia kuishi kwa hapa bongo? Me Madaba, Ruvuma.
216
21
468
@somebarry
somebarry
3 years
Ilikuwa miaka mitano ya 'Machinga' bila kukimbizana na migambo, miaka mitano ya bodaboda bila askari wa tigo. Haya ni makundi makubwa yaliyobeba zaidi ya 70% ya vijana wote bongo. Mtu akisema mzee alichukiwa na mitaa mwambie labda mitaa ya Belgium
39
95
476
@somebarry
somebarry
2 years
Kama kawa tukiwa na muda wa ziada tunayachosha matapeli instagram 😂
Tweet media one
Tweet media two
95
26
455
@somebarry
somebarry
2 years
Unafikiri bwana'ake karo anavaa hizo nguo za kubana kama mpira wa baiskeli?
31
13
466
@somebarry
somebarry
5 years
Hii ilitokea mwaka jana kijijini kwetu.. raia zilielewana hakuna mtu kugusa battery wala kusogea na sigari iliyowashwa. Wese tu
Tweet media one
53
40
451
@somebarry
somebarry
5 years
Unanunua kiwanja unapunzika Unakusanya tofali, cement na hela ya fundi unapiga msingi unapumzika Unasogeza tofali unapumzika Unajichanga hela ya cement na fundi unasimamisha ukuta unapumzika Hatua kwa hatua baada ya miaka 4 unahamia kwenye nyumba yako. KUPANGA NI KUCHAGUA
34
73
441
@somebarry
somebarry
3 years
Debe la mahindi 4,000. Kutajirika kwenye kilimo bongo labda ujiongeze kwenye ngada.
42
25
437
@somebarry
somebarry
4 years
Tulikuwa na bonge la kocha aisee! Tukafukuza bila sababu yoyote ya msingi, tukaleta hii lusako ya kizungu.
48
32
434
@somebarry
somebarry
2 years
Lakini dada zangu suala la kupika na kufua inategemea umeolewa na nani, ukiolewa na kina bihemo hadi mawe utavunja.
39
22
435
@somebarry
somebarry
2 years
Hata ukimkamata atasema ye hauzi magari anauza nanasi kwahiyo utalipwa 1500 yako ya nanasi basi.
25
9
425
@somebarry
somebarry
4 years
Sikilizeni wanangu tarehe 28 tukampigie kuru Tundu A Lissu. HII NI LAZIMA SIO OMBI
17
43
420
@somebarry
somebarry
3 years
Katuni lazima kapiga sana ngozi free humu. Umaarufu kitu kizuri sana
35
9
412
@somebarry
somebarry
5 years
Diamond aina ya video ni ile ile tangu kwenye Number One, anachobadili ni nguo tu. Hana jipya tena 🚮
62
30
396
@somebarry
somebarry
5 years
Album 10 zilizoacha alama Music Bongo; 1. Machozi Jasho na Damu - Jay 2. Ugali - Nature 3. Fainali Uzeeni - Twanga 4. Masudi - Marijani 5. Kaza Roho - Msondo 6. Mteule Uwe Macho - Rose 7. Mapito - Bahati 8. Ukumbusho - Maneti 9. Mambo Yapo Huku - Muungano 10. NM - TOT Plus
81
60
397
@somebarry
somebarry
5 years
Ukiweza kumudu gharama za vodacom ujue life umelipatia
55
35
396
@somebarry
somebarry
5 years
Wamrudishe mapema hachelewi kusema Cairo ni mkoa wake. "Thitaki kuona watu wanaishangilia Kenya kwenye mkoa wangu wa Cairo"
12
49
392
@somebarry
somebarry
5 years
Nawaambia hakuna msanii bongo atakuja kupiga show kali kuliko Wanaume Family. Wanaingia na Nyumbani ni Nyumbani, kati kati ya show inapigwa Dude la Kimataifa ya Chege kisha Hili Game ya Juma, mashabiki wanapagawa kabisa hadi show inavurugika ikipigwa Hakuna Kulala ya Juma
28
43
396
@somebarry
somebarry
2 years
Soko la magari used bongo Crown zinauzwa kwa bei ya hasara sana. Tatizo nini? Mabovu mabovu au wabongo wanashindwa kuyahudumia?
40
16
398
@somebarry
somebarry
4 years
DarLux alifanya bonge moja la uwekezaji kwenye sekta ya usafirishaji Nchini.. kaangushwa na wasimamizi wake! Lugha chafu kwa wateja, kutokuzingatia muda, safari kuahirishwa mara kwa mara n.k Hadi inasikitisha
92
17
389
@somebarry
somebarry
3 years
Nimeanza tizi leo ili mdudu akinivaa anikute nipo fit. Kimbia kama 2km hivi hema kama mbwa nikahisi muda wowote nautapika ulimi, piga simu boda anifuate. Potelea pote kila nafsi itaonja mauti
63
25
395
@somebarry
somebarry
2 years
Tamisemi vimepauka kwa kuhangaika sio jua la bongo. Usiku mmoja kiende tips, kidimbwi, element, triple 7, upepo garden, maison, carpe diem yaani havitulii kama digidigi 😂
50
36
387
@somebarry
somebarry
4 years
Nilisahau kuipost hii 😅. HomeSweetHome* #PichaZaSimu #NoFilter
Tweet media one
38
33
393
@somebarry
somebarry
3 years
Yanga badala wasajili wachezaji wanasajili waongeaji, au ndugu zetu wanataka kuanzisha band? Yanga Modern Taarab
37
28
388
@somebarry
somebarry
5 years
Diamond anaachia ngoma kali kila mwezi Alikiba yupo instagram analalamika watu wamezuia views zake youtube. Hii ndio tofauti ya Mwanamuziki na Mcheza mpira
42
50
377
@somebarry
somebarry
4 years
Shule zimefungwa si ndio? Kwanini yale mabillion ya elimu bure kila mwezi yasipelekwe kwenye kupambana na corona?
29
43
388
@somebarry
somebarry
5 years
Tanzania nchi tajiri aisee ina Ikulu hadi Hamburg, Germany
30
30
378
@somebarry
somebarry
5 years
Kama ulinunua S10 zaidi ya million mbili nakukumbusha sasa hivi zinauzwa 1.5 mpyaaa 😂😂😂😂
45
33
373
@somebarry
somebarry
4 years
Safari yetu ya #IjueBongo kuizunguka TZ itakua na 4620km. Hadi sasa hii ndio ratiba yetu, tumekubaliana safari yote itakua mchana tu. Vituo vya kupumzika na msosi vitapangwa kwenye safari.
Tweet media one
Tweet media two
68
131
369
@somebarry
somebarry
7 months
Maana halisi ya PISI KALI. Mungu fundi
39
67
364
@somebarry
somebarry
4 years
Mlichagua push up badala ya busara na maarifa. Haya baunsa wenu kajificha bush pambaneni sasa. Mxiiiuuu
37
50
353
@somebarry
somebarry
2 years
Siku nzuri ya kusafisha macho, local kaeni mbali tunajua mwezi sasa mnaoga maji ya chumvi msituharibie siku.
23
16
343
@somebarry
somebarry
5 years
Top 10 Miji iliyokucha: 1. Dar 2. Mwanza 3. Arusha 4. Mbeya 5. Dodoma 6. Moshi 7. Morogoro 8. Tanga 9. Kahama 10. Tunduma. *Mbeya ajiangalie Dodoma anakuja kwa kasi kubwa sana. *Dar hana mpinzani *Arusha itamchukua miaka 100 kumfikia Mwanza
77
36
336
@somebarry
somebarry
4 years
Sijawahi kuchangia mchango wowote mitandaoni, ila hii nachangia kiroho safi. Yaani wanakufyatulia risasi kisha wanakuhumu. Aisee!
7
61
339
@somebarry
somebarry
5 years
Wanunua magari bongo wanapenda kuigana sana. Opa kila mtu Opa Opa Opa ikaja Verossa kila mtu Verossa wakahamia Mark X sasa wapo kwenye Crown
60
15
342
@somebarry
somebarry
5 years
Kuna pisi kweli ya kutumia 5M lakini sio hiyo. Labda 5M ya Zimbabwe
38
20
325
@somebarry
somebarry
5 years
Uganda waseme ukweli walipewa bei gani na TFF. Hawa sio wa kufungwa na taifa stars 😂😂😂😂
32
30
326
@somebarry
somebarry
3 years
Dah noma sana!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
71
16
331
@somebarry
somebarry
6 years
Serikali iwakusanye watoto wote wa kichina iwasomeshe, si unajua tuchina ni tutundu baadae tukikua tunaweza anzisha likiwanda la bombadia 😂😂
25
74
322
@somebarry
somebarry
5 years
Mbeya ilitakiwa iwe Russia au Finland huko bahati mbaya kipande kikadondokea bongo . (Picha mali ya shabiby)
Tweet media one
41
36
327
@somebarry
somebarry
5 years
Wasukuma wanalipa pesa kuunganishwa Whatsapp, Twitter na Instagram. Hizi raia zimechelewa sana 😂😂😂
Tweet media one
82
40
317
@somebarry
somebarry
4 years
Kabla ya muungano inawezekana akawa tweep aliyetafuna pisi nyingi kuliko. GOAT
18
6
315
@somebarry
somebarry
4 years
Kilimo, Uyole, Mbeya. #IjueBongo #PichaZaSimu
Tweet media one
18
43
326
@somebarry
somebarry
3 years
"Tumeshinda vita vya Corona kwa namna yetu(kupiga nyungu). Wapinzani walitutabiria mabaya wameaibika" - Kigwangalla
64
75
321
@somebarry
somebarry
2 years
Mwamba alianza na gia ya kupost fortuner new model, kila mkoa akienda anaita vijana heineken kama zote, birthday ya mkewe akatoa zawadi bmw. Hata mimi ningetapeliwa mtu ana fortuner new model unaanzaje kuhisi atakutapeli 2M yako? 😂
26
19
313
@somebarry
somebarry
3 years
Wasichana hawana shukrani pisi kaacha Rumion kaenda kupandishwa Nganga Express tena siti ya mwisho kabisa.
Tweet media one
57
17
305
@somebarry
somebarry
3 years
Pisi za kipemba kali sana ishu kuoa lazima ujipange.. ijumaa wanajaa kwenye pick up familia nzima wanakuja kwako hapo sheikh jiandae vifuko vya basmati kama 3 nyama kilo nne juice zao zile za kuzimua na maji kuondoka jumapiliiiiiii 😂
30
13
303
@somebarry
somebarry
5 years
Ni apps gani ulizonazo kwenye simu yako? Twitpic your homescreen nasi tudake mbili tatu...
198
33
295
@somebarry
somebarry
2 years
Sasa hivi angekuwa na Crown yake nanasiii anatamba huko Ngudu Kwimba badala yake anaomba msamaha twitter. Warusi watu wa kwanza kwenda mwezini hawa watu me nawaogopa sana 😂😂
28
17
300
@somebarry
somebarry
5 years
Kwanini Watanzania wenye asili ya Asia wana maendeleo kuliko Watanzania wenye asili ya Tanzania? Viwanda vingi na majengo makubwa katikati ya miji asilimia kubwa yanamilikiwa na Wabongo wenye asili ya Asia. Ngozi nyeusi tunakwama wapi?
90
49
289
@somebarry
somebarry
4 years
Umeona nini? Kama umeona basi mbinguni tutaenda wachache
Tweet media one
115
20
287
@somebarry
somebarry
3 years
Mafuta ya kupikia ishu sana Mbeya.. vitunguu vikilia chwaaaaa majirani wanakuwekea kikao
22
10
286
@somebarry
somebarry
4 years
Jombi tunashushaga mkono chini kwenye kiuno. Shingo achia vibaka
43
24
290
@somebarry
somebarry
5 years
Miji 10 yenye pisi kali: 1. Dar 2. Arusha 3. Dodoma 4. Bukoba 5. Tanga 6. Moshi 7. Babati 8. Singida 9. Mwanza 10. Mtwara
62
23
278
@somebarry
somebarry
4 years
Kasulu Town, Kigoma. #IjueBongo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
50
41
291
@somebarry
somebarry
2 years
Kidemu kinachotoka familia njaa njaa kikiolewa na tajiri huwa kinaona kila rafiki wa mumewe chawa anaishi kwa kutengemea hela ya mumewe 😂😂
13
23
289
@somebarry
somebarry
5 years
Akiwa demu wangu sinunui sahani.. msosi nalia kwenye kwapa tu
Tweet media one
47
35
284
@somebarry
somebarry
3 years
Dodoma ni Dar es Salaam ya baadae. Kama una kihela chako cha akiba kawekeze kwenye kiwanja, maeneo ya Msalato, Mkonze, Nala, Chamwino na miji mingine ya pembezoni bado kuna viwanja bei chini. Epuka story za uzeeni 'Sinza lilikuwa pori' wakati huo umepanga chumba kimoja.
16
51
290
@somebarry
somebarry
5 years
Mwana kawaida tu pisi imemuelewa.. huku local zinatufosi tubebe mavyuma kama wendamahoka kisa six pack kesho zinataka ndevu
Tweet media one
42
26
277
@somebarry
somebarry
4 years
2015 walimuonea mzee wetu mamvi walipiga kampeni bila kupumzika na mapush up juu. 2020 tumewapa CHUMA CHA PUA MWAMBA WA MIAMBA TUNDU A LISSU weeee pumzi zimekata ndani ya mwezi mapumziko kama yoteee 😂😂
16
30
284
@somebarry
somebarry
3 years
Vijana kumbukeni kuhudumia watoto wenu mkiachana na mama zao. Mnafanya tuonekane mababa wa kambo tuna gubu
11
21
277
@somebarry
somebarry
4 years
Siwezi kuchagua Rais anaegeuza kofia kihuni
29
22
269
@somebarry
somebarry
4 years
Kiingilio bure na wameshindwa kukijaza kiuwanja cha watu 15000. Kweli fiesta limebaki jina
28
7
267
@somebarry
somebarry
5 years
"Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai".- Jasusi la Twitter
Tweet media one
54
22
270
@somebarry
somebarry
4 years
Local sweethearts wameshiriki thread moja tu 'mama na mtoto' ile nyingine wameiogopa. Ngozi zishapaushwa na vumbi la bodaboda
34
18
262
@somebarry
somebarry
2 years
Bongo demu ikiwa na kirangi cha mtume na kisura hakina chunusi inaanza kuchanganya vaseline na parachute inatia kwenye kopo utasikia "Jomoni naulizwa sana natumia mafuta gani, natumia haya mafuta ni mazuri hayana kemiko ni 50,000 tu Mikoani tunatuma"
37
23
269
@somebarry
somebarry
2 years
Niliwaambia nikipata hela nitanunua gari? Nimeachana na huo mpango. Nikipata hela cha kwanza nahama uswazi wataniua kwa presha huu mtaa. Wamemzushia demu wangu anatembea na jamaa moja kijiji kizima tunajua lina ukimwi.
22
10
265
@somebarry
somebarry
2 years
Au katishiwa polisi? Maana wasukuma kama wahindi waoga wa polisi kinoma
14
15
267
@somebarry
somebarry
5 years
Hivi nani alianzisha huu mfumo kijana ukipata ajira au kufungua biashara ni lazima ujenge? Huu mfumo unatutesa sana vijana.
33
33
260
@somebarry
somebarry
4 years
Hela anazopata sanchi sio wa kunyolea vuzi kwa topaz aisee! Hiyo clip 🚮
33
5
255
@somebarry
somebarry
4 years
Una apps zipi kwenye simu yako? Share nasi tupate mbili tatu...
60
20
248
@somebarry
somebarry
5 years
Tweet media one
23
14
253
@somebarry
somebarry
5 years
Ni kwamba hakuna mwana TOT mwenye japo kirange rover cha 2004? Naona vimakonda tupu?
Tweet media one
25
10
252