Sikilizeni wadogo zangu, Forex ni UTAPELI kama UTAPELI mwingine.
Hao kina ⌚jefu hawapati hela kwa kucheza Forex, wanapata hela kwa kukutoza wewe hela ya kukufundisha jinsi ya kucheza Forex.
Natafuta demu mjanja tufunge ndoa fake.. ukoo wetu mkubwa wakichanga 50k kila mtu plus washkaji ndugu jamaa na marafiki hatukosi 10M. Mgao nachukua 70% inayobaki yake, michango ya upande wake 50-50. Baada ya mwezi tunatengeneza tukio la fumanizi talaka inatoka. Njoo DM
Kamati kuu ya Chama cha Wanaume inatoa pongezi kwa mwanachama wake Juma (Jux) kwa kutekeleza kauli mbiu ya chama 'Vunja banda jenga Ghorofa'. Aidha, kamati inawakumbusha wanachama wake kutimiza kauli mbiu hii ili kuondoa gubu la Wasichana wanaoshindwa ku-move on pindi wanapoachwa
Nimeruhusiwa kutoka Hospital nilipata michubuko kidogo mkononi na mguuni, sijaelewa sababu iliyonifanya nizime.
Nimefika eneo la tukio wajomba wamesafisha kila kitu. Yote kheri lakini.
Nawashukuru wote kwa Maombi yenu. 🙏
Alipigwa KO na Jide (kwa mnaokumbuka 2012)
Anapigwa KO asubuhi na mapema 28/10 na Yosepha.
Tunaenda kumfanya walichomfanya Wajumbe wa CCM Muheza.
#HainagaMbeleko
Wakati natoka Mpanda kwenda Kasulu gari yangu awamu ya kwanza ilikwama hapa, hawa jamaa wanaoonekana pichani walinisaidia kusukuma pamoja na wengine hawapo pichani. Gari ilitelezea pembeni tope la magotini, waliingia na kunisukuma. Nilipotoka nilitaka kuwapa pesa WALIKATAA
List ya mitandao yenye kasi ya internet TZ.
1. Voda
2. Voda
3. Vodacom
4. Vodacom Tanzania
5. VodaCom
6. Voda
7. Voda
8. Vodacom
9. Vodacom
10. Voda
10000009. TTTC, Halotel, Airtel, Tigo na Zantel (Hawa ilitakiwa tcra iwafungie kutoa huduma ya internet).
Local tukisave hela account ikisoma 500k Jini Matatizo anavamia ukoo. Asubuhi unaamka na text 'Bibi yako kakimbizwa na fisi jana usiku kavunjika mgongo",
Mchana unapigiwa simu "Shangazi yako kalazwa alidondoka chooni", usiku "Mdogo wako kadondoka na bodaboda".
Hela yote kwishaa
Mchizi alinipa pande pisi flani tamu, kunioshea me bonge la afisa BOT. Siku zikaenda nikamiti na mtoto mzuri story na vijuice laini bite bite nini. Baadae akamtext mchizi "Huyo bwana boss kweli mbona kapauka?" Mchizi chap "ana allergy na AC".
Mungu amlinde mchizi. 🙏
Turudi kipindi cha Manji yupo Yanga, team ilikuwa inafanya vizuri mno. Vichakubimbi vikamfanyia fitina weee hadi akaondoka. Sasa Yanga haijulikani ni team ama furniture za GSM.
Sasa wewe unakopa hadi SANLG utaweza kweli kulipa mshahara wa Morrison?
Haina ubishi kwasasa Nyanda za juu kusini ndio NGOME ya Upinzani Nchini.
Mikoa ya Mbeya na Songwe CCM ikishinda zaidi ya Majimbo 3 nakunya mafungu mafungu kuanzia Sae hadi Mwanjelwa.
Majimbo 5 ambayo CHADEMA tunashinda saa 2 asubuhi;
Arusha Mjini
Kawe
Mbeya Mjini
Hai
Muheza
Majimbo mengine 7 haya saa 6 mchana;
Moshi Mjini
Nyamagana
Iringa Mjini
Ubungo
Bunda Mjini
Tarime Mjini
Tarime Vijijini
Ilikuwa miaka mitano ya 'Machinga' bila kukimbizana na migambo, miaka mitano ya bodaboda bila askari wa tigo.
Haya ni makundi makubwa yaliyobeba zaidi ya 70% ya vijana wote bongo.
Mtu akisema mzee alichukiwa na mitaa mwambie labda mitaa ya Belgium
Unanunua kiwanja unapunzika
Unakusanya tofali, cement na hela ya fundi unapiga msingi unapumzika
Unasogeza tofali unapumzika
Unajichanga hela ya cement na fundi unasimamisha ukuta unapumzika
Hatua kwa hatua baada ya miaka 4 unahamia kwenye nyumba yako.
KUPANGA NI KUCHAGUA
Nawaambia hakuna msanii bongo atakuja kupiga show kali kuliko Wanaume Family.
Wanaingia na Nyumbani ni Nyumbani, kati kati ya show inapigwa Dude la Kimataifa ya Chege kisha Hili Game ya Juma, mashabiki wanapagawa kabisa hadi show inavurugika ikipigwa Hakuna Kulala ya Juma
DarLux alifanya bonge moja la uwekezaji kwenye sekta ya usafirishaji Nchini.. kaangushwa na wasimamizi wake! Lugha chafu kwa wateja, kutokuzingatia muda, safari kuahirishwa mara kwa mara n.k
Hadi inasikitisha
Nimeanza tizi leo ili mdudu akinivaa anikute nipo fit.
Kimbia kama 2km hivi hema kama mbwa nikahisi muda wowote nautapika ulimi, piga simu boda anifuate.
Potelea pote kila nafsi itaonja mauti
Tamisemi vimepauka kwa kuhangaika sio jua la bongo. Usiku mmoja kiende tips, kidimbwi, element, triple 7, upepo garden, maison, carpe diem yaani havitulii kama digidigi 😂
Diamond anaachia ngoma kali kila mwezi
Alikiba yupo instagram analalamika watu wamezuia views zake youtube.
Hii ndio tofauti ya Mwanamuziki na Mcheza mpira
Safari yetu ya
#IjueBongo
kuizunguka TZ itakua na 4620km.
Hadi sasa hii ndio ratiba yetu, tumekubaliana safari yote itakua mchana tu. Vituo vya kupumzika na msosi vitapangwa kwenye safari.
Mwamba alianza na gia ya kupost fortuner new model, kila mkoa akienda anaita vijana heineken kama zote, birthday ya mkewe akatoa zawadi bmw.
Hata mimi ningetapeliwa mtu ana fortuner new model unaanzaje kuhisi atakutapeli 2M yako? 😂
Pisi za kipemba kali sana ishu kuoa lazima ujipange.. ijumaa wanajaa kwenye pick up familia nzima wanakuja kwako hapo sheikh jiandae vifuko vya basmati kama 3 nyama kilo nne juice zao zile za kuzimua na maji kuondoka jumapiliiiiiii 😂
Sasa hivi angekuwa na Crown yake nanasiii anatamba huko Ngudu Kwimba badala yake anaomba msamaha twitter.
Warusi watu wa kwanza kwenda mwezini hawa watu me nawaogopa sana 😂😂
Kwanini Watanzania wenye asili ya Asia wana maendeleo kuliko Watanzania wenye asili ya Tanzania? Viwanda vingi na majengo makubwa katikati ya miji asilimia kubwa yanamilikiwa na Wabongo wenye asili ya Asia. Ngozi nyeusi tunakwama wapi?
Dodoma ni Dar es Salaam ya baadae. Kama una kihela chako cha akiba kawekeze kwenye kiwanja, maeneo ya Msalato, Mkonze, Nala, Chamwino na miji mingine ya pembezoni bado kuna viwanja bei chini. Epuka story za uzeeni 'Sinza lilikuwa pori' wakati huo umepanga chumba kimoja.
2015 walimuonea mzee wetu mamvi walipiga kampeni bila kupumzika na mapush up juu.
2020 tumewapa CHUMA CHA PUA MWAMBA WA MIAMBA TUNDU A LISSU weeee pumzi zimekata ndani ya mwezi mapumziko kama yoteee 😂😂
Bongo demu ikiwa na kirangi cha mtume na kisura hakina chunusi inaanza kuchanganya vaseline na parachute inatia kwenye kopo utasikia "Jomoni naulizwa sana natumia mafuta gani, natumia haya mafuta ni mazuri hayana kemiko ni 50,000 tu Mikoani tunatuma"
Niliwaambia nikipata hela nitanunua gari? Nimeachana na huo mpango. Nikipata hela cha kwanza nahama uswazi wataniua kwa presha huu mtaa. Wamemzushia demu wangu anatembea na jamaa moja kijiji kizima tunajua lina ukimwi.