Sir Major
@smkami
Followers
2K
Following
6K
Media
1K
Statuses
5K
Petroleum and Industrial Services Expert | Businessman | Human Rights Monitor | Political Infuencer
Tanzania-East Africa
Joined June 2010
Kuna watu wana roho ngumu sana! Hata mimi najiuliza kile wewe unachojaribu kujiuliza!
0
1
12
Kauli ya Bishop Dr Josephat Gwajima kwa taifa na viongozi. https://t.co/BISqkmMGBy
3
6
22
"Emancipate yourselves from mental slavery; none but ourselves can free our minds" "Jikomboweni kutoka katika utumwa wa kiakili; hakuna yeyote ila sisi wenyewe tunaoweza kuikomboa akili zetu" Bob Marley, “Wimbo wa Ukombozi (Redemption Song)
0
2
8
Picha hii inaongea kwa sauti kubwa na yenye jumbe nyingi zenye uhalisia ndani yake!
1
9
59
Mambo yaliyoongelewa na magufuli ndio yaleyale ambayo kwa miaka mingi yamekuwa yakipigiwa kelele na chama kikuu cha upinzani CHADEMA. Swali: Yale yote Hayati Magufuli aliyoyasema bado yanafanyika au hayafanyiki katika mikutano ya CCM? Je, yeye aliona nini? Lengo haswa ni lipi?
0
29
65
Hebu Tumalize Utata! Je, wewe ni mmoja kati ya Watanzania uliyemtuma Steve Mengele kusema haya?
8
1
14
Kuhusiana na sakata la nyumba lililomhusisha mjane Bi. Alice Haule na Mohamed Mstafa ambaye ametakiwa kujisalimisha katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam. Huyu mama ashukuru sana Mungu kwamba hiki ni kipindi cha uchaguzi. Ni hayo tu, Baba Yenu Sir Major sina la zaidi!
0
0
17
Pale Bwege anapodhani kila mtu ni Bwege kama yeye una lipi la kumwambia?
7
2
17
Tuache utani serikali imeboresha mfumo wa elimu nchini! Au wewe unaonaje?
3
0
8