smkami Profile Banner
Sir Major Profile
Sir Major

@smkami

Followers
2K
Following
6K
Media
1K
Statuses
5K

Petroleum and Industrial Services Expert | Businessman | Human Rights Monitor | Political Infuencer

Tanzania-East Africa
Joined June 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
@smkami
Sir Major
2 days
😡
0
1
9
@smkami
Sir Major
2 days
Naona mkata switch ameshaanza na You Tube!
2
0
31
@smkami
Sir Major
3 days
Loading............
0
0
10
@smkami
Sir Major
3 days
Kuna watu wana roho ngumu sana! Hata mimi najiuliza kile wewe unachojaribu kujiuliza!
0
1
12
@smkami
Sir Major
4 days
Kauli ya Bishop Dr Josephat Gwajima kwa taifa na viongozi. https://t.co/BISqkmMGBy
3
6
22
@smkami
Sir Major
4 days
Loading..............
0
0
9
@smkami
Sir Major
6 days
Iko hivi; Ujinga ni kutokujua, lakini upumbavu ni kujua ukweli na bado ukaamua kuupuuza. Sasa hivi taifa lina kazi na mzigo mkubwa wa kuelimisha wasomi kuliko wajinga!
@udomtheofficial
The University of Dodoma
6 days
Timiza haki yako kikatiba kwa kujitokeza kupiga kura!
2
1
13
@smkami
Sir Major
6 days
"Emancipate yourselves from mental slavery; none but ourselves can free our minds" "Jikomboweni kutoka katika utumwa wa kiakili; hakuna yeyote ila sisi wenyewe tunaoweza kuikomboa akili zetu" Bob Marley, “Wimbo wa Ukombozi (Redemption Song)
0
2
8
@smkami
Sir Major
7 days
"Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu"
0
5
18
@smkami
Sir Major
7 days
Free @HecheJohn Deputy Chairperson of CHADEMA.
2
54
227
@smkami
Sir Major
7 days
Picha hii inaongea kwa sauti kubwa na yenye jumbe nyingi zenye uhalisia ndani yake!
1
9
59
@smkami
Sir Major
8 days
Nachoka kabisa
0
0
0
@smkami
Sir Major
9 days
Baba yenu Sir Major Nachoka kweli kweli!
6
7
45
@smkami
Sir Major
10 days
Mambo yaliyoongelewa na magufuli ndio yaleyale ambayo kwa miaka mingi yamekuwa yakipigiwa kelele na chama kikuu cha upinzani CHADEMA. Swali: Yale yote Hayati Magufuli aliyoyasema bado yanafanyika au hayafanyiki katika mikutano ya CCM? Je, yeye aliona nini? Lengo haswa ni lipi?
0
29
65
@smkami
Sir Major
10 days
Hebu Tumalize Utata! Je, wewe ni mmoja kati ya Watanzania uliyemtuma Steve Mengele kusema haya?
8
1
14
@smkami
Sir Major
10 days
Kwamba huyu bwana ndio wakuwa waziri mkuu wa Tanzania?! Hivi Mwalimu na wenzako mnawaonaje au kuwachukuliaje Watanzania?!
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
11 days
Mwalimu: Mkinipeleka Ikulu, waziri mkuu wangu ni Kigaila
3
2
26
@smkami
Sir Major
10 days
Kuhusiana na sakata la nyumba lililomhusisha mjane Bi. Alice Haule na Mohamed Mstafa ambaye ametakiwa kujisalimisha katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam. Huyu mama ashukuru sana Mungu kwamba hiki ni kipindi cha uchaguzi. Ni hayo tu, Baba Yenu Sir Major sina la zaidi!
0
0
17
@smkami
Sir Major
12 days
Pale Bwege anapodhani kila mtu ni Bwege kama yeye una lipi la kumwambia?
7
2
17
@smkami
Sir Major
13 days
"Akapita katikati yao akaenda zake Galilaya"
1
2
29
@smkami
Sir Major
14 days
Tuache utani serikali imeboresha mfumo wa elimu nchini! Au wewe unaonaje?
3
0
8