@simbaqueens
Simba Queens πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
4 days
πŸ—£οΈ Esther Mayala kuelekea mchezo wetu wa kesho dhidi ya JKT Queens. πŸ†: Ngao ya jamii Wanawake 25/26 #NguvuMoja
0
3
45

Replies

@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
8 hours
©️ Shommy. #NguvuMoja
10
31
696
@SportsarenatzTz
SportsArenaTz
12 hours
πŸ’¬ Wakati mwingine uzalendo ni kusema ukweli kuhusu taifa lako. Ukweli huwa unasaidia. Nimejiuliza mara kadhaa, tulitaka tufuzu kwenda Kombe la Dunia kufanya nini? Twende Marekani, Canada au Mexico kufanya nini? . Zambia walitufunga pale Unguja hivi majuzi na kuondoa kabisa
47
32
492
@Iamfelixtz
FELIX JASON
5 hours
Updates ✍️ ➑️ Simba Sc πŸ‡ΉπŸ‡Ώ itaondoka na jumla ya watu 50 ikiwemo wachezaji 22, Technical Bench lenye watu 12 na viongozi wengine kuelekea Eswatini πŸ‡ΈπŸ‡Ώ kwaajili ya kuikabili Nsingizini Hotspurs Oktoba 19 ➑️ Kikosi kitaondoka kesho Alhamisi saa 4 asubuhi na kitafika Eswatini usiku
4
10
318
@MickyJnr__
Micky Jnr
5 hours
Simba SC will begin their journey to Eswatini tomorrow ahead of their CAF Champions League preliminary round clash against Nsingizini Hotspurs on Sunday. #CAFCLwithMicky β€’ #NguvuMoja 🦁
2
9
326