Ruga Eval
@ruga_eval
Followers
285
Following
105
Media
28
Statuses
379
A journalist and a Content Creator
Nanyuki, Kenya
Joined November 2017
Ibada Ya Wafu Ya Johanna Ng’eno Ibada ya wafu ya aliyekuwa mbunge wa Emurua Dikirri Johanna Ng’eno na wengine watano inaendelea katika kanisa Africa Gospel Church eneo la Karen, Nairobi. Oburu Oginga azungumza. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
1
4
Mkesha Wa Mshumaa Wa Maziko Ya Ng’eno Wakazi wa Emurua Dikir wafanya ibada ya kumbukuzi ya watu sita waliofariki kwenye ajali ya ndege eneo la Mosop kaunti ya Nandi. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
2
4
’Tuheshimiane’ Wanasiasa Kimilili Waomba Viongozi wa UDA eneobunge la Kimilili wameshtumu vurugu zinazoshuhudiwa kwenye kampeni zinazoendelea huku wakitoa wito wa kampeni hizo kufanywa kwa amani. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
1
1
Matamshi Ya Linturi Yamtia Matatani Madai ya Mithika Linturi, kwamba baadhi ya viongozi wa Meru, wakiwemo wabunge na seneta, walikusanya kiasi cha Sh100m kufanikisha kung’atuliwa kwa Kawira Mwangaza, zimezua mjadala mkali siasani katika kaunti hiyo. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
2
8
Wazazi katika Shule ya Msingi ya Kutus wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu hali mbovu ya vyoo shuleni humo, wakisema vinahatarisha afya na usalama wa wanafunzi huku baadhi ya mashimo yakidaiwa wazi kiasi cha watoto kuangukia ndani. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
2
5
Ligi Kuu Ya FKF-PL Nairobi United itazamia kuandikisha ushindi dhidi ya KCB wakati pande hizo mbili zitakapokutana katika mechi ya ligi kuu nchini katika uga wa Ulinzi Complex. #NTVSpoti @ruga_eval
2
3
8
Afya Ni Dhahabu Busia: Ni afueni kwa wakazi katika mpaka wa Kenya na Uganda hasa wanawake na wakongwe ambao wanakabiliwa na changamoto za kiafya baada ya kupata huduma za matibabu bila malipo. #NTVMashinani @ruga_eval
1
1
1
Dawa Ya Kuzuia HIV: Kenya imepokea dozi 21,000 za Lenacapavir, dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV. Awamu ya kwanza ya utekelezaji itaanza mapema mwezi Machi ikilenga kaunti 15. Lenacapavir ni sindano ya kujikinga dhidi ya virusi vya HIV. #NTVJioni @ruga_eval @hellenaura1
0
1
2
Madhila Ya Ukame: Kufuatia ukame wa muda mrefu, masomo katika kaunti ya Turkana yanazidi kuzikwa katika kaburi la sahau. Njaa inawasukuma wanafunzi wengi kusalia nyumbani nyakati za masomo na baadhi ya madarasa kusalia mahame. #NTVJioni @ruga_eval
0
2
2
Mshikamano Wa Nairobi Na Serikali Kuu: Wakazi wawili wa jiji la Nairobi wameelekea mahakamani wakitaka mkataba wa ushirikiano uliotiwa saini kati ya serikali ya kaunti ya Nairobi na serikali ya kitaifa hapo jana kutupiliwa mbali. #NTVJioni @ruga_eval @david_muthoka7
0
1
9
Wana Nairobi Wanasemaje Kuhusu Mkataba Mpya? Wakazi na wafanyakazi wa jiji la Nairobi wanatumai kuwa makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya serikali kuu na ile ya kaunti ya Nairobi yataleta mabadiliko. #NTVJioni @ruga_eval
0
3
10
Kikosi Cha Polisi Wa Jiji: Waziri Murkomen amefafanua namna kitengo maalum cha polisi kinachopendekezwa kuanzishwa kitakavyotekeleza majukumu yake Nairobi. Hatua hii inafuatia agizo la Rais Ruto kwa Murkomen kuunda kikosi hicho mahsusi. #NTVJioni @ruga_eval @RuthSarmwei
0
5
15
Pingamizi Katika Upinzani: Ushindani mkali unaendelea kudhihirika ndani ya muungano wa upinzani kuhusu namna ya kumteua mgombea urais atakayepambana na Rais Ruto 2027. Mzozo huu umeibuka kati ya wafuasi wa Fred Matiang’i na Kalonzo Musyoka. #NTVJioni @ruga_eval @Karanja_Ibrah
1
4
32
Sifuna 'Avamia' Kitengela: Mkutano wa kisiasa ulioongozwa na Edwin Sifuna ulitibuliwa na polisi kabla ya kushika kasi mjini Kitengela kaunti ya Kajiado. Vitoza machozi vilitumiwa na polisi kufanya maelfu ya wakazi kufarakana. #NTVWikendi @ruga_eval @labaanshabaan
2
28
209
"Mimi Ndiye Naibu Rais!" Naibu Rais Kithure Kindiki anashikilia kwamba hatishwi wala hatabanduka kufuatia kiti hicho kumezewa mate kwenye uchaguzi ujao wa 2027. #NTVWikendi @ruga_eval @RuthSarmwei
11
6
46
Gachagua Amlenga Murkomen: Kiongozi wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amemnyooshea kidole cha lawama Waziri Murkomen kwa mashambulizi ya kihuni ambayo yamekuwa yakielekezwa kwake. #NTVWikendi @ruga_eval
1
3
16
Anatumia TikTok Kwa Hamasa Ya Afya: Daktari mmoja kijana amechagua kuutumia mtandao kama chombo cha kuokoa maisha. Patricia Arori sasa anabadilisha mazungumzo kuhusu afya ya uzazi kwa wasichana na wanawake nchini. #NTVWikendi @ruga_eval
0
1
5
Mzozo Wa Nyumba Za Bei Nafuu Mzozo umeibuka kuhusu kipande cha ardhi cha umma chenye ukubwa wa ekari 144 katika eneo la Nakeel, Rongai, kufuatia mpango wa serikali kuu wa kujenga nyumba za bei nafuu kwenye ardhi hiyo. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
1
5
Masomo Bila Malipo Mathira Zaidi ya wanafunzi elfu kumi na mbili katika eneo bunge la Mathira wamepata afueni baada ya kulipiwa karo ya shilingi elfu kumi na moja kila mmoja. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
1
8
Watalamu Wa Meno Waonya Wakenya Wakenya wametakiwa kutosubiri hadi wanapolemewa na matatizo ya meno kabla ya kutafuta ushauri wa wataalam wa afya ya mdomo. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
0
1
3