
Plus TV
@plustvtz
Followers
6K
Following
3K
Media
17K
Statuses
21K
Welcome to the Official Twitter page for Plus Television, also find us on Instagram @plustvtz and Facebook @plustvtz
Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2017
Yanga yapata ushindi wa goli moja dakika za mwisho dhidi ya Dodoma Jiji, Chamazi Complex. FT: YANGA 1⃣ - 0⃣ DODOMA JIJI. #PlusXtraUpdates
0
1
3
tasnia ya filamu, mwanariadha mahiri, muigizaji na mtu mwema sana kuwahi kumfahamu”. “Tusingeweza kukamilisha filamu ya 'Predator' bila ya umahiri wake na muda mzuri wakati wote wa kazi ya utengenezaji wa filamu hio” amesema Arnold Schwarzenegger. R.I.P Legend🕊. #PlusXtraUpdates.
0
0
0
nao kazi mwishoni mwa msimu huu. Kinda huyo ameigomea ofa ya muda mrefu kutoka kwenye klabu ya Barcelona nchini Uhispania na kuamka kutimkia Uingereza. Je, amefanya maamuzi sahihi?. #PlusXtraUpdates.
0
0
0
Timu ya taifa ya Congo yatinga nusu fainali kwa kishindo:. FT: DR Congo 3⃣ - 1⃣ Guinea. #PlusXtraUpdates
0
0
1
Yanga na Kagera Sugar wagawana pointi baada ya kusuluhu katika uwanja wa Kaitaba. FT: Yanga 0⃣ - 0⃣ Kagera Sugar. #PlusXtraUpdates
0
0
2
Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa, Bertrand Traore (28) raia wa Burkina Faso amevunja mkataba na waajiri wake hao na kutimkia Uhispania kwenye klabu ya Villarreal akiwa kama mchezaji huru. #PlusXtraUpdates
0
0
0
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea, Armando Broja (22) raia wa Albania ametua kwenye klabu ya Fulham ya Uingereza kwa mkopo. Kinda huyo atakipiga katika klabu ya Fulham mpaka mwishoni mwa msimu huu 2023/24. #PlusXtraUpdates
0
0
1
Rapa wa kisasa Young Lunya a.k.a Mbuzi, ametuma salam ya freestyle kwenye ngoma ya Diamond Platnumz 'Mapozi' aliyomshirikisha Mr. Blue & Jay Melody. Je, unampa maksi ngapi?. #PlusXtraUpdates
0
0
1