sebastian Kapala
@officialseba337
Followers
181
Following
17K
Media
601
Statuses
2K
Manager #The former seminarian who turned a servant. C.E.O @menu.point C.E.O @seba_cloth minister&parliamentarian of @mocuso government. Vicepresident@mocusoc
Kilimanjaro, Tanzania
Joined July 2020
Usimuaribie mtu malengo Usieweza kumtimizia malengo
0
0
0
Ninawakumbusha ndugu wanakijiji wenzangu kuwa furaha tuliyonayo sasa sio ya kudumu baada ya uchaguzi wabunge wataondoka na magari yao mazuri kwenda kwenye makazi yao ya miaka 5 uko dodoma usipoteze kura yako ,ulipoteza kaka,baba,mama,rafiki kisa ubovu wa barabara ,huduma afifu
0
0
0
BORA WALIOKATWA LEO KULIKO WATAKAOKATWA KESHO, MKATO BADO UNAENDELEA,
0
0
0
The parable of the Good Samaritan, found in Luke 10:25-37, tells the story of a traveler attacked by robbers, left half-dead. A priest and a Levite, both religious figures, passed by without helping. A Samaritan, a member of a group despised by the Jews, showed compassion........
0
0
0
Je ni watu wangipi umevunja nao undugu baada tu yakumkopesha pesa.
0
0
0
Ukiwa unajifunza kulima sio lazima upate mazao, jua kulima kwanza mengine baadaye!!!!
0
0
0
Siku mbaya na ngumu kwa muweka hazina. Ni siku ya mapato na matumizi..😮💨
0
0
0
Kiungo Pekee Kwenye Mwili wa Binadamu kisichochoka (MOYO) ...Moyo ukichoka tunatandika mkeka
0
0
0
NI RASIMI SASA NATANGAZA NIA YA KUCHUKIA FOMU JIMBO LA KIGOMA MJINI
0
0
0
Tunawashukuru wote wanaotunenea mema tusipokuwepo. MUNGU ANAJIBU DUA ZETU.
0
0
0
Unawezakuta Rafiki wa mpenzi wako ndio mke/ mme wako wa maisha ( RAFIKI)
0
0
0
Tunawashukuru wote waliotufunguli njia zamafanikio tunaendelea kupambana.
0
0
0
Days 337 of 365 Kila mwaka kuna tarehe na mwezi wa kifo chako unapita, Bila wewe kujua ila siku ikifika hautaivuka tena. .😭💔 Tunaishi mara moja tu. 😥
0
0
0
MAISHA Usishangae fundi ujenzi anaishi nyumba ya kupanga . Fundi kitanda analala chini.
0
0
0