mtapawilson Profile Banner
Mtapa Ng'Wanandagula Profile
Mtapa Ng'Wanandagula

@mtapawilson

Followers
600
Following
2K
Media
251
Statuses
3K

Communications Specialist/Journalist Hubby/Dad of 3 Queens (Mamou, Mwana & Mairah)

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
"Riots do not develop out of thin air. Certain conditions continue to exist in our society which must be condemned as vigorously as we condemn riots. In a final analysis, a riot is the language of the unheard." - Martin Luther King Jr. (1967).
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
2 months
"Riot is the language of the unheard." - Martin Luther King Jr. (1967).
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
...kisha tunarudi ndani, tukitafakari hatma ya uhuru na usalama wetu. Historia ya 'kipande system' uliyoifuta mara tu baada ya kuwaaga wakoloni, leo hii imetumika kama chombo cha kusherehekea siku yako. Leo imepambwa na vizuizi vingi; ili kuvuka, lazima uonyeshe 'kipande'.
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
Dear TANGANYIKA, Leo ni siku ya kumbukizi yako adhimu, wakati ambao ulitangaza UHURU wako na kufungua enzi mpya ya taifa lenye matumaini ya kujitawala kwa UHURU na KAZI. Miaka 64 baadaye, tunaikumbuka siku yako tukiwa kama nguchiro juu ya kichuguu chake, tunachungulia nje...
1
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
Take note of this term, "CANDID EXCHANGE" — no sugarcoating, no pretending, just clear and sincere discussion.
@usembassytz
US Embassy Tanzania
4 months
Today, CdA Lentz engaged in a candid exchange with President Samia Suluhu Hassan about the present and future state of the U.S.-Tanzania bilateral relationship.
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
"Journalism should be more like science. As far as possible, facts should be verifiable. If journalists want long-term credibility for their profession, they have to go in that direction." - Wikileaks Founder, Julian Assange
@HildaNewton21
Hilda Newton
4 months
Anaandika Mtapa Ng'Wanandagula TIMU YA UCHUNGUZI WA CNN – TANZANIA Ripoti ya uchunguzi iliyotolewa na CNN iliandaliwa na wafuatao: 1. Larry Madowo Mwandishi Mwandamizi, mwenye uzoefu wa kuripoti masuala ya kimataifa hususani uchumi na siasa. Ana Shahada ya Mawasiliano ya Umma
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
...kimya wakati uhalifu wa mauaji ya kibinadamu unatekelezwa, ambapo vyombo vya habari vya kimataifa pekee ndivyo vilisimama kama sauti ya WANANCHI kwa kutoa taarifa kuhusu kilichokuwa kinaendelea, licha ya changamoto za kimazingira, ikiwemo kuzimwa kwa mtandao wa 'Internet'.
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
TUSI KWA VYOMBO VYA HABARI NCHINI Kitendo cha BUNGE letu kukaa kimya kwa dakika moja, ikiwa ni ishara ya kutoa heshima kwa maelfu ya raia waliopoteza maisha wakati wa uchaguzi, ni matusi makubwa kuhusu uwajibikaji wa vyombo vya habari rasmi vilivyopo nchini, ambavyo vilikaa...
1
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
4 months
MJOMBA wakati anadunduliza nauli ya kwenda mjini, alikuwa na busara sana. Lakini, alipopata nauli tu, akasahau na malengo ya safari.
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
"Mama! Mamaa! Amka. Amka Mamaa. Amka." - Sauti ya mwanamke huyu inaumiza na kuchoma ngoma ya sikio la kila binadamu mwenye utu 💔.
0
1
2
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
Kifo chake kinatajwa kuwa pigo kubwa kwa siasa za Kenya na Ukanda wa Afrika Mashariki, ambapo taarifa za awali kuhusu hali yake zilijaa utata mtandaoni kabla ya familia kuthibitisha kifo cha ODINGA, aliyekuwa nembo ya harakat za demokrasia, haki za binadamu na mageuzi ya kitaifa.
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
PUMZIKA KWA AMANI RAILA ODINGA 💔 #Nairobi: Kiongozi wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, amefariki dunia leo Oktoba 15, 2025, akiwa na umri wa miaka 80, wakati akipokea matibabu katika hospitali ya Ayurvedic eneo la Koothattukulam, Kerala nchini India.
1
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
3. "...Masikini yuko tayari kubahatisha, potelea mbali! Masikini hana cha kupoteza. Sana akipoteza, anaweza kupoteza umasikini wake. Lakini hana kingine cha kupoteza." - Mwl. J. K. Nyerere
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
2. "...Mnyonge hawezi kuwa mhafidhina. Majitu mahafidhina ni yale yaliyoshiba, hayataki mabadiliko, mabadiliko yatawaharibia mambo." - Mwl. J. K. Nyerere
1
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
5 months
HAPPY NYERERE DAY 2025 HAPPY NYERERE DAY 2025 1. "Watu wanaoogopa mabadiliko ni wanyonyaji, ni watu walioshiba. Lakini mnyonge lazima atake mabadiliko, mambo mabaya halafu yaende hivi hivi tu?..." - Mwl. J. K. Nyerere
1
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
6 months
Fikiria hapo ni mchana kweupe, tena mbele ya chombo kinachotafsiri sheria, lakini wasimamizi wa sheria wamenajisi sheria kiasi hicho. Je, umewaza ni kitu gani kingempata muhanga kama angekuwa gizani peke yake na wahusika tu?
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
7 months
Secure your spot to gain insights.
@TheCitizenTz
The Citizen Tanzania
7 months
Discover how collaboration can transform the future for people, society, and the planet. Hear from a panel of experts and take actionable insights this Thursday. Date: 14th August 2025 Time: 2:00 PM – 3:30 PM EAT Register now: https://t.co/tbYnKdxhp1 #PamojaTunaweza
0
0
0
@mtapawilson
Mtapa Ng'Wanandagula
8 months
Leo waheshimiwa nao wameonja maumivu ya 'NOT SELECTED FOR...' ambayo vijana wengi hukutana nayo wakati wa saili za ajira.
0
0
1
@YoungAfricansSC
Young Africans SC
10 months
454
299
2K
@SalumAwadh
SA
10 months
The reality of stock investing Link https://t.co/80YTledVas
2
14
76