GSM alikua hapokei simu zangu baada ya sakata kuwa gumu akaanza kunipigia na mm nikawa sipokei kama nilikua nakupigia hupokei leo unanipigia na mm si nakudharau tuu sipokei simu yako...!!Unanidharau wakati kipaji changu ndo kinakuweka mjini ..!!🙌🙌
Aloohh muangalie mtoto wenu 🙌