thebestfetty Profile Banner
thebestfetty Profile
thebestfetty

@fettythebest

Followers
365,449
Following
1,264
Media
290
Statuses
11,889

Radio Personality, Power Breakfast. Assistant Programs Controller (Clouds Fm)

ÜT: -6.784722,39.247535
Joined June 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Ramdham kareem fam
Tweet media one
165
97
5K
@fettythebest
thebestfetty
6 months
Aisee leo naona ni zamu yangu🤣. Hivi neno “libibi” au “lishangazi” ni tusi eeh! 🙌🏻 Ramadhan Mubarak
Tweet media one
206
91
2K
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Happy Birthday to my greatest ally and worst enemy. In other words, Happy Birthday to myself. O’Allah i thank you with every breath i take. Alhamdulillah 🙏🏾
Tweet media one
134
38
2K
@fettythebest
thebestfetty
6 months
Asante sana kwa kuwa karibu nami katika kila hatua ya maisha yangu Leo ni alama ya sura mpya katika safari yangu. Nina furaha kutangaza kwamba ninabadilika kutoka kuwa mtangazaji wa redio hadi kuwa Afisa Mtendaji katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa #aprilfools
93
56
773
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kamwe usidharau nguvu ya watu wajinga katika kundi kubwa
21
50
733
@fettythebest
thebestfetty
4 months
Hii ndio ile picha inayoongea maneno 1000
Tweet media one
19
54
692
@fettythebest
thebestfetty
6 months
Na ni CEO wa Fettylicious Natural Products. Niliamua kujipakulia minyama tu 👊🏼
45
52
590
@fettythebest
thebestfetty
3 years
🤔🤔🤔🤔 “mbunge wa sita kuja kuliongoza bunge, hatutaki wabunge wa vimemo hapa”
89
60
508
@fettythebest
thebestfetty
7 months
Haya mambo ya usofti softi haya mi ngangsta siyawezi. Sio mambo yangu 😀🏃‍♀️🏃‍♀️
38
41
519
@fettythebest
thebestfetty
7 months
Malkia wanguvu 23-24 weka tuweke
Tweet media one
14
19
453
@fettythebest
thebestfetty
6 months
TUME HURU YA UCHAGUZI. Asubuhi na mapema ndani ya PB
Tweet media one
27
44
456
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kila mtu anaishi kwa kuuza kitu, wewe unauza nini? Mi nauza Natural products (mafuta ya ndevu, sabuni, mafuta ya nywele, lotion....) good morning
37
14
296
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Sawa baba 🤣
Tweet media one
16
12
284
@fettythebest
thebestfetty
8 months
Unakifaham kitambulisho cha Askari kinafananaje? Tofauti yake na fake ni nini?
18
35
271
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kweli hajajiteuwa 🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️ hana makosa
17
32
153
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Itakuwa kweli alikuwa anahujumu
18
8
142
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Tweet media one
6
4
137
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Napenda sana kusikiliza watu ambao wanahasira sana lakini wanaongea kwa vituo na kicheko juu
6
5
133
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Hivi ukikutana na Kingo wa ukweli, Unaweza muuliza nini?, Good times @TheRidgeDar with Brother James Gayo (the illustrator & brain behind Kingo)"
Tweet media one
6
6
123
@fettythebest
thebestfetty
1 year
🤣🤣
Tweet media one
16
12
119
@fettythebest
thebestfetty
7 months
Gombania goli dakika hii Morroco
16
3
119
@fettythebest
thebestfetty
6 years
Why???
Tweet media one
9
2
115
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Ushuru wa parking, unatakiwa kulipa ki digitali. Usipolipa kila ticket moja (500) baada ya siku 14, faini utalipa 1,000 ila zikipita siku 14 zingine utalipa 30,000 😬😬😬. In other words, baada ya siku 28 utalipa 30,000
10
10
116
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Tweet media one
27
6
95
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Bismillah Rahman Rahim. Alhamdulillahi Rabbil Alamin
5
4
83
@fettythebest
thebestfetty
11 months
Kwani kuna nini, mbona nasikia mafataki kwa takriban dakika 15 sasa? 🙏🏽
10
0
89
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Nonviolence is a powerful and just weapon, which cuts without wounding and ennobles the man who wields it. It is a sword that heals.” Martin Luther king Jr 👏🏼
1
20
78
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Hakuna kitu naogop kama ule mwanga kabla ya radi maana najua kinachofata 😬
21
2
78
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Sometimes people lose their right to remain silent when pressured to remain silent. Criss Jami, Killosophy
2
15
74
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Maziwa halisi ya ng’ombe ambayo hayana vihifadhi wala kuchanganywa na chochote. Indeed the taste of true quality.
Tweet media one
6
5
77
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Uaidharau mtu kwa utofauti wa kipato
Tweet media one
3
6
73
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Hii “Maskani” ya chidi benz na TID 🤣🤣🤣🤣 hilarious asf
8
3
70
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Tweet media one
Tweet media two
10
4
67
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Tuiitaje hii
Tweet media one
30
3
63
@fettythebest
thebestfetty
3 years
0768 004 021
6
5
61
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kila panapojengwa madara ya shule hivi na nyumba za waalim huwa zinajengwa?!
10
3
57
@fettythebest
thebestfetty
6 years
Wood art by us
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
5
59
@fettythebest
thebestfetty
9 years
Alhamdulillah all kulli Hal
Tweet media one
8
8
60
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Nikaona hili litakuwa cherema😳😳😳 halitaiva . Nikaliacha. Sijawahi kuona kiazi kina mizizi kiasi hiki.
Tweet media one
27
1
55
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Mzee analalamika kwanini aambiwe anywe kistaarabu wakati hela yake. Unaweza kunywa ukaenda kazini?? 😂😂😂
1
4
55
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Wahadzabe kuhesabiwa lazima wapelekewe bangi na gongo, saitakuwaje?!
9
1
55
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Get wwll soon brother
Tweet media one
2
13
53
@fettythebest
thebestfetty
5 years
Kweli kabisa, wivu ni darasa la mwisho kuhudhuria kabla ya kuwa mchawi
6
6
52
@fettythebest
thebestfetty
10 years
Tweet media one
17
17
51
@fettythebest
thebestfetty
3 years
WTF???!!!! Usituzalie mtu kama HAMZA????’ kwanza tujue amekosewa nini mpaka kafanya hayo 🤷🏾‍♀️ mengine tutajua kama tunawazaa au tunawakataa toka wakiwa kwa baba zao
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Huyu jamaa bado yuko ofisini !!! Haya matusi aliyotukana family kwa kosa la mtu Mzima ndani ya family sio sawa Huyu asaidiwe kazi imemshinda kabisaaa Anakosa hata hekima ya kiutu uzima tu
98
66
301
9
4
50
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Tupo nae wakati huu @zittokabwe ndani ya PB
Tweet media one
1
3
52
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Tweet media one
1
6
54
@fettythebest
thebestfetty
3 years
🤣🤣🤣🤣 we will know, we dont know
Tweet media one
3
5
53
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Tafakari
Tweet media one
12
6
51
@fettythebest
thebestfetty
9 years
List ya watu maarufu duniani wenye followers wengi Instagram. Wakwanza wenye list ni Beyonce Mwenye followers... http://t.co/sdWqkfS91G
2
3
45
@fettythebest
thebestfetty
1 year
🤣🤣🤣🤣
2
7
51
@fettythebest
thebestfetty
5 months
Kwa mnaojua, hivi ku-record tukio kwenye public na kupost mtandaoni, ni kosa kisheria?
5
1
51
@fettythebest
thebestfetty
1 year
MTOTO AKIMALIZA FORM SIX AINGIE KITAA KWANZA. Ni bora Mwanafunzi amalize kidato cha sita aingie kujifunza apate exposure kisha arudi chuo kuamua anasoma nini - Mtweve Mwandishi #Pb
Tweet media one
6
5
41
@fettythebest
thebestfetty
3 years
R.I.P Babu wa loliondo
Tweet media one
4
1
48
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Wanaume kazi mnayo 🤣🤣🤣 haya kuna maharage yanaitwa JESCA hebu myatafute 🤣🤣
10
2
48
@fettythebest
thebestfetty
3 years
🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
10
0
48
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Kwa matumizi ya chakula mtu mmoja kwa siku moja inatosha?!
Tweet media one
10
0
46
@fettythebest
thebestfetty
1 year
TPA inasimamia, ina miliki na inakodisha shughuli za bandari na ina kodisha bandari, sasa hapa hakuna shughuli zozote za uuzwaji wa bandari, kitakachofanyika ni kwamba kuna iile unampa mtu ajenge bandari then aendeshe kwa muda flani then anakurudishia, na kuna ile unamkodishia .
8
3
46
@fettythebest
thebestfetty
12 years
Tweet media one
30
14
41
@fettythebest
thebestfetty
10 years
Dar-Es-Salaam mko tayariiiii? http://t.co/0vQch2iwKF
132
17
44
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Morning
Tweet media one
21
4
45
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Tweet media one
6
1
42
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Aah kina mwaisa watakuwa wamemwaga mlenda pale sio bure
7
2
44
@fettythebest
thebestfetty
6 years
🤣🤣🤣🤣🤣
0
0
42
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Mkataba umeshasainiwa na pande zote mbili, lakini kama haujaridhiwa na bunge hauwezi kutekelezwa… mkurugenzi wa mamlaka ya bandari.
2
3
42
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Happy new month mshkaji wetu. Baada ya kutoboa kwenye michongo yako, time ya kuvimba sasa mwanangu, tushachakarika sana. Hii ni NOWVIMBA
Tweet media one
1
4
43
@fettythebest
thebestfetty
3 years
@iamZature Ukivaa helmet (kofia ngumu) haimaanishi uendeshe hovyo barabarani
9
2
40
@fettythebest
thebestfetty
9 years
Tofauti ya shule na maisha ni, shuleni unafundishwa kisha unapewa mtihani. Maishani unapewa mtihani kujifunza badae.
13
18
41
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Muandishi kumbe mjeda pia 🥱
9
1
42
@fettythebest
thebestfetty
8 years
Daaah, hata sijui nianzie wapi 🙁, I hope mliona mabadiliko kwa zaidi ya wiki tatu kwenye acc hii, jamaa anaejiita...
3
2
41
@fettythebest
thebestfetty
1 year
0768 004 021
Tweet media one
2
3
40
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Happy new month, Malkia wote wa nguvu hongereni, mapambano yaendelee na tuendelee kusababisha.
1
3
41
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Garagara nalo 😬🤷🏾‍♀️🏃🏼‍♀️ anaitwa Lody Musuc wimbo unaitwa KUBALI
10
1
40
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Polepole, lazima apite kwanza chuo cha diplomasia pale kurasini, baada ya hapo ataonana na Raisi kabla ya kuelekea malawi.
5
1
40
@fettythebest
thebestfetty
10 years
asanteee " @iddrisaabubar : Mdada nakubali an kazi zako"
46
11
40
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Tweet media one
0
2
39
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kwani warembo wanashida gani?! 🤣
Tweet media one
6
4
36
@fettythebest
thebestfetty
9 years
Nitawamiss watu wangu, bt thanks kwa love yenu..tuko pamoja. http://t.co/RefEJXVDFj
16
10
37
@fettythebest
thebestfetty
2 years
🤣🤣 sio poa aisee 🤣🤣
7
2
38
@fettythebest
thebestfetty
7 years
🤣🤣🤣
Tweet media one
4
2
37
@fettythebest
thebestfetty
4 months
Yunyusi, zingatia neno nyusi🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Tweet media one
3
0
40
@fettythebest
thebestfetty
3 years
“Wakati nyie mnashangilia, ndugai is laughing aaal the way to the bank, he is going to be very well taken care of” Tundu lisu
3
1
37
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Happy new year
4
0
37
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kuna kesi gani raia kamfungulia askari na akashinda??
8
2
37
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Hivi kukimbiza fursa za uteuzi unatakiwa kuanzia wapi???
7
2
37
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Watoto wamelala trend 🤣🤣🤣 mpaka mmepewa jina la X 🤣🏃‍♀️
1
1
36
@fettythebest
thebestfetty
2 years
Kinatoka chuma kinaingia chuma 😳 Tanzania 🤔
5
1
36
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Tweet media one
2
5
37
@fettythebest
thebestfetty
3 years
🤣🤣🤣🤣🤣 mwana atakuwa anaazimaga pesa huyu 🤣🤣🤣
6
2
34
@fettythebest
thebestfetty
9 years
I am feeling myself. Last night #ktma2015 http://t.co/Y2aNEnsVgJ
8
5
34
@fettythebest
thebestfetty
9 years
Daaaah. Offisin nimetoka Saa 16:15 mpaka sasa 17:53 Nipo shoppers. SMH mechokaaaaaaa http://t.co/MrFQz8AZaF
Tweet media one
15
6
35
@fettythebest
thebestfetty
1 year
Kuanzia leo, unaweza kuingia katika akaunti hiyo hiyo ya WhatsApp kwenye hadi simu nne. 📲
4
3
34
@fettythebest
thebestfetty
10 years
In Lagos Nigeria with the best female presenter from South Africa babes # amazing #charming . http://t.co/HxSevomvTt
Tweet media one
5
8
33
@fettythebest
thebestfetty
3 years
🙌🏻
Tweet media one
6
3
33
@fettythebest
thebestfetty
8 months
Aisee
9
6
32
@fettythebest
thebestfetty
6 years
Wood art by us
Tweet media one
0
0
33
@fettythebest
thebestfetty
3 years
Kataalamu, huruhusiwi kuchanjwa kama unaumwa, ni mpaka upone, na ukikitwa na korona ni mpaka baada ya miezi mitatu ndio uchanjwe (baada ya matibabu). Sasa hawa wanaoenda kuchomwa kwa mkusanyiko pale uwanjani, wanapimwa kwanza kabla ya kuchanjwa?! Au ndio tunaenda kuongeza vifo?!
5
2
33
@fettythebest
thebestfetty
10 years
Watu wangu wa ukweli.. kma vipi dondosha like za kutosha kwenye hii page basi Dilimoto
9
3
33