Happy Birthday to my greatest ally and worst enemy. In other words, Happy Birthday to myself.
O’Allah i thank you with every breath i take. Alhamdulillah 🙏🏾
Asante sana kwa kuwa karibu nami katika kila hatua ya maisha yangu
Leo ni alama ya sura mpya katika safari yangu. Nina furaha kutangaza kwamba ninabadilika kutoka kuwa mtangazaji wa redio hadi kuwa Afisa Mtendaji katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa
#aprilfools
Ushuru wa parking, unatakiwa kulipa ki digitali. Usipolipa kila ticket moja (500) baada ya siku 14, faini utalipa 1,000 ila zikipita siku 14 zingine utalipa 30,000 😬😬😬. In other words, baada ya siku 28 utalipa 30,000
Nonviolence is a powerful and just weapon, which cuts without wounding and ennobles the man who wields it. It is a sword that heals.” Martin Luther king Jr 👏🏼
WTF???!!!! Usituzalie mtu kama HAMZA????’ kwanza tujue amekosewa nini mpaka kafanya hayo 🤷🏾♀️ mengine tutajua kama tunawazaa au tunawakataa toka wakiwa kwa baba zao
Huyu jamaa bado yuko ofisini !!!
Haya matusi aliyotukana family kwa kosa la mtu Mzima ndani ya family sio sawa
Huyu asaidiwe kazi imemshinda kabisaaa
Anakosa hata hekima ya kiutu uzima tu
MTOTO AKIMALIZA FORM SIX AINGIE KITAA KWANZA.
Ni bora Mwanafunzi amalize kidato cha sita aingie kujifunza apate exposure kisha arudi chuo kuamua anasoma nini - Mtweve Mwandishi
#Pb
TPA inasimamia, ina miliki na inakodisha shughuli za bandari na ina kodisha bandari, sasa hapa hakuna shughuli zozote za uuzwaji wa bandari, kitakachofanyika ni kwamba kuna iile unampa mtu ajenge bandari then aendeshe kwa muda flani then anakurudishia, na kuna ile unamkodishia .
Kataalamu, huruhusiwi kuchanjwa kama unaumwa, ni mpaka upone, na ukikitwa na korona ni mpaka baada ya miezi mitatu ndio uchanjwe (baada ya matibabu). Sasa hawa wanaoenda kuchomwa kwa mkusanyiko pale uwanjani, wanapimwa kwanza kabla ya kuchanjwa?! Au ndio tunaenda kuongeza vifo?!