Baadhi tumetoka kwenye familia maskini ,huku vifuani mwetu tumebeba majonzi na huzuni na tunapambana si kwa lengo la kujionyesha kwa watu,wala hatupo kwa kushindana na watu bali nia yetu ni kutaka kubadili ile hali iliyopo katika familia zetu✏
Je wajua,
Hawa ndo mastaa wasiokuwa na skendo na hawana mbambamba 😂 hata mziki wao umetulia na ukisikiliza una enjoy 😇pia uko smart mno.
Ukiachana na Nandy na Billnass NENO moja kwa hii couple maarufu hapa Tanzania..😊
Wazazi wako wanakuamini kuliko mtu mwingine yeyote duniani, Na ndio watu pekee wanapenda ufanikiwe zaidi, Wengine ukifanikiwa hata kidogo watakuchukia na kukuwekea vinyongo😒
Tusiwasahau wazazi wetu hata iweje✍
Unaweza kuwa kwenye nyakati bora sana za maisha yako kwa sasa, usijekusahau nyakati ngumu pia zipo. Tutatofautiana muda tuu ila wote tutazipitia. Unapokuwa na nyakati bora za maisha usiache kuishi vizuri na kila mtu hao ndio hazina ya baadae.✍